Jukwaa la Historia

On JF:

1.Jesu Mutwa Aholilwe, Aholilwe Nenuli:/ Kwa Muhindza Muhangala mu Nasaleti:/ 2. Umalija na Josefu, Valimwindamo vikwimba:/ Vikwimba Haleluja Mutwa ve! :/ 3.Vanyamwandza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
The use of gun salutes for military occasions is traced to early warriors who demonstrated their peaceful intentions by placing their weapons in a position that rendered them ineffective...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Biashara ya Benki ilianza mwaka 2000BC. Siria, Misri mpaka India. Hii ilikuwa enzi ya utawala wa Roma na biashara hii ilishamiri katika iliyokuwa himaya ya Alexandra the Great. Wafanyabiashara...
5 Reactions
12 Replies
3K Views
Makabila mengi ya hapa Tanzania yana historia inayowatofautisha na Makabila mengine. Kwa muda sasa (takribani miaka mitano) nimekuwa nikifanya kazi hapa Morogoro chimbuko halisi la Waluguru. Kuna...
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Nilikuwa naangalia video hii (ina ubora wa chini sana) lakini ujumbe unafika. Video inaonyesha matukio yaliyotokea siku ya kukaribisha askari wa Tanzania waliokuwa wakirudi kutoka vitani Uganda...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Katika historia ya ulimwengu, hali ya mwafrika imekuwa ikidunishwa mno. Ni kawaida Afrika kuhusishwa na magonjwa, vita, ujinga au mambo mengine mabaya. Sio rahisi kuangalia vyombo vya magharibi...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
WASIFU WA SHEIKH ABDILATIF ABDALLA Umetolewa na Prof. David P. B. Massamba tarehe 13 Aprili, 2012, kabla ya kumkaribisha Abdilatif Abdalla kutoa Mhadhara Maalumu (“Nafasi ya Wasanii Katika...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Miji mikongwe zaidi duniani! Kadri idadi ya watu inavyoongezeka duniani, kwa baadhi ya nchi hulazimu kuunda mikoa mipya au miji mipya ili kuendana na kasi ya ukuaji huo kwa ajili ya kurahisisha...
9 Reactions
25 Replies
9K Views
Gazeti la Uhuru la leo Jumanne 18 Desemba 2018 limachapa makala ya mwendelezo kuhusu mgomo wa makuli wa Dar es Salaam mwaka 1947 mgomo na harakati ambazo ndizo zilipelekea Abdul Sykes kuja...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Give a brief account of Uganda -tanzania war of 1978/79.focus on the causes, stages of the war ,brigade name ,comanders participate in tz and lessons. Please anyone who can help me this contact me...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Bwana Edward Heath alikuwa mwanasiasa aliyefanikiwa kuingoza nchi yake chini ya chawa cha Conservative kuanzia 1970-1974. Pamoja na mafanikio yake makubwa ni maisha katika maisha yake binafsi...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Katika kufuatilia historia yangu, ukoo wangu na baadhi ya watu maarufu wanaonizunguka ndipo nikagundua kuwa, kumbe 'Nyerere' ni jina la utani! Nyerere ambaye alikuwa ni chifu wa pili wa Butiama...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Kitabu hicho hapo juu ni moja ya vitabu katika mradi wa Oxford University Press (OUP) wa kufundisha wanafunzi wa shule za msingi lugha ya Kiingereza lakini pia wakati huo huo kuwafundisha...
4 Reactions
10 Replies
3K Views
Leo katika maziko ya Mzee Kitwana Kondo niliombwa nizungumze maneno machache kuhusu mzee wangu huyu. Ukweli ni kuwa nilikuwa nimeshtukizwa kwani sikutaarifiwa kabla kuwa niko katika orodha ya...
3 Reactions
17 Replies
4K Views
Unakumbuka Tarehe na Mwezi Kama Wa Jana Mnamo Mwaka 1961 Lt. Alexander Gwembe Nyirenda Ndio Alikua Mzalendo Wa Kwanza Kupandisha Bendera Ya Tanganyika Juu Ya Mlima KILIMANJARO Miaka 57 Iliyopita...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nani angeamini kuwa baada ya Rais kuitumikia nchi kwa miaka minne na kuweka miundo mbinu ya demokrasia bila kuiba hata shilingi moja angejikuta akifadhiliwa na mama yake kwenye mabanda...
1 Reactions
222 Replies
72K Views
Mohamed Said Historia, Siasa na Maendeleo Tanzania Mwanzo Uchunguzi Taazia Nyakati Makala Historia Mohamed Said June 07, 2017 0 Amenipigia simu mhariri wa gazeti moja...
14 Reactions
39 Replies
8K Views
Mohamed Said: NYERERE DAY 2017: TUNAMKUMBUKA BABA WA TAIFA NA MASHUJAA WENZAKE
4 Reactions
1 Replies
3K Views
Kurasa kutoka shajara ya Mwandishi, May 1991, London Leo alfajir nilikuwa napitia maktaba yangu nikakumbana na shajara (diary) yangu ya 1991. Hapo juu ni ukurasa wa tarehe 9 May. Huyo...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Nani anayajua majina ya wanawake hawa wanne wanachama wa mwanzo wa TANU na wanawake waliomsindikiza Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam safari ya kwanza UNO 1955...
4 Reactions
24 Replies
7K Views
Back
Top Bottom