Davis chelsea
Member
- Jul 28, 2011
- 93
- 10
Ukisoma bachelor of science in chemisty au in biology ni lazima ujekua mwalimu wa hayo masomo husika au unaweza piga ishu nyingine kutokana na hizo course?
Kuna baadhi ya nchi degree ya Chemistry ni hatua moja wapo inayokufanya wewe uwe na kigezo cha kwenda kusomea degree ya Phamacy, vile vile huwezi kwenda medical school mpaka angalau uwe na degree ya Bio-Chemistry.Ukisoma bachelor of science in chemisty au in biology ni lazima ujekua mwalimu wa hayo masomo husika au unaweza piga ishu nyingine kutokana na hizo course?
kwani kushika chaki dhambi? Yanin kutoka nduki?Utashka chaki hadi yesu arudi mkuu,toka nduki.
<br />Utashka chaki hadi yesu arudi mkuu,toka nduki.