Mwl.wa kemia nipo hapa

Mwl.wa kemia nipo hapa

Blank page

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2015
Posts
6,158
Reaction score
6,301
Habari wakuu.....mim ni mkemia nipo hapa kwa ajili ya kuitumia taaluma yangu ya ukemia na uwezo wangu wa kufundisha mim ni mwanafunz wa chuo mwaka wa 2 naenda course ya b.chem lakini pia niko na uzoefu wa kufundisha shule za sekondari takribani miezi 7 na nimefundisha shule tofauti nikiwa mkoani Mbeya nilipomaliza kidato cha sita na nikiwa likizo kipind hiki nipo chuo.lakini kwa sasa nipo likizo mkoani Iringa-iringa mjini hivo naomba kuwa temporary teacher katika shule yoyote ya sekondari hapa mjini kwa muda wa mwezi mmoja na nusu au tution centre yoyote inayohitaji mwalimu wa kemia.
Nawasilisha wakuu....Tujenge pamoja taifa.
 
Kwanini tusishirikiane tufanye biashara ya kutengeneza sabuni za maji disinfectants tuyauzie mahoteli na wamama

Kwa ajili ya koshea vigae,masinki,vyombo,kufulia etc

Tunautumia ujuzi wako wa chemistry

Tukifanikiwa tutapanua tuanze kufanya in middle scale
 
Kwanini tusishirikiane tufanye biashara ya kutengeneza sabuni za maji disinfectants tuyauzie mahoteli na wamama

Kwa ajili ya koshea vigae,masinki,vyombo,kufulia etc

Tunautumia ujuzi wako wa chemistry

Tukifanikiwa tutapanua tuanze kufanya in middle scale
iyo miradi pia ipo mkuu nafany natengeneza sabun n chemicals hapa mtaani lakin bado haitoshi natak niendlwe kuitumia taaluma yangu sehem mbalimbali na shulen nako nimeamua nifanye application yake.kuwasaidia wanafunz waje kuwa kama mim
nawasilisha
 
Unajua kuugawa ubao ww na kuandaa lesson plan au unavamia tu
Yap mkuu vitu vyote hivyo najua kuvifanya sijakurupuka wala si kama nimevamia no sio ivo nina uhakika na uwezo wa kufanya yote hayo.
 
ww siyo mw.l hujasomea taaluma ya ualimu ww mw.l feki serious
Mkuu mbona tanzania kuna uhaba wa walimu wa sayansi na huwa wanatumia watu wenye professions tofauti ili kuweza kuwasaidia wanafunzi katika masomo hayo,hivo mimi sijasomea lakini hiyo kazi ninaiweza vizuri huku nikiendlea na kazi yangu ya ukemia.
 
iyo miradi pia ipo mkuu nafany natengeneza sabun n chemicals hapa mtaani lakin bado haitoshi natak niendlwe kuitumia taaluma yangu sehem mbalimbali na shulen nako nimeamua nifanye application yake.kuwasaidia wanafunz waje kuwa kama mim
nawasilisha
o level na a level ulipataje chem?
 
O Level nilipata B 2012,na A Level B 2015 mkuu.
ile chem niligonga A azania kwa ngozye enzi zile.Kuna jamaa anaitwa peter naye aligonga A 6 ikiwemo ya chem.ila dah form 6 niligonga B+ mana niliwekeza sana phy na math Mzumbe sec.
 
ile chem niligonga A azania kwa ngozye enzi zile.Kuna jamaa anaitwa peter naye aligonga A 6 ikiwemo ya chem.ila dah form 6 niligonga B+ mana niliwekeza sana phy na math Mzumbe sec.
Poa mkuu,hongera san ase...
 
Back
Top Bottom