Kama una GPA ya 3.8 na kuendelea Soma masters ya accounting and finance, au MBA. Kama huna GPA ya 3.8 Soma CPA.Wakuu kwems?
mimi ni mwl kwa 10 years now, (accounts and Business) nawaza ipi itanipa faida, kusoma CPA au kuongeza masters + PhD? ipi inaweza kunipa faida kwa sasa.
niko government schools.
natanguliza shukrani
Sababu mkuu?!Kama una GPA ya 3.8 na kuendelea Soma masters ya accounting and finance, au MBA. Kama huna GPA ya 3.8 Soma CPA.
Nipe madesa na Mimi na hamu ya kupata CPAKama una GPA ya 3.8 na kuendelea Soma masters ya accounting and finance, au MBA. Kama huna GPA ya 3.8 Soma CPA.
Mara nyingi lengo la kusoma masters ni kujiandaa kuwa mwalimu wa vyuo vikuu. Ambapo ili uweze kukidhi vigezo ni lazima uwe na GPA ya 3.8 kwenye shahada yako ya kwanza.Sababu mkuu?!
Ahsante mkuu,Barikiwa.Mara nyingi lengo la kusoma masters ni kujiandaa kuwa mwalimu wa vyuo vikuu. Ambapo ili uweze kukidhi vigezo ni lazima uwe na GPA ya 3.8 kwenye shahada yako ya kwanza.
Wakati CPA ni sifa ya kitaaluma inayorahisisha kupata ajira katika sekta ya uhasibu na ukaguzi wa hesabu. Aidha, CPA mwenye leseni ya kufanya kazi (practising certificate) anaweza kuanzisha kampuni yake ya uhasibu au ukaguzi na kusaini taarifa za kitaaluma kwa kutumia muhuri wake, jambo ambalo haliwezekani bila idhini hiyo ya kitaaluma.
Dhima ya masters ni kuwa mbobezi kwenye eneo FulaniMara nyingi lengo la kusoma masters ni kujiandaa kuwa mwalimu wa vyuo vikuu. Ambapo ili uweze kukidhi vigezo ni lazima uwe na GPA ya 3.8 kwenye shahada yako ya kwanza.
Wakati CPA ni sifa ya kitaaluma inayorahisisha kupata ajira katika sekta ya uhasibu na ukaguzi wa hesabu. Aidha, CPA mwenye leseni ya kufanya kazi (practising certificate) anaweza kuanzisha kampuni yake ya uhasibu au ukaguzi na kusaini taarifa za kitaaluma kwa kutumia muhuri wake, jambo ambalo haliwezekani bila idhini hiyo ya kitaaluma.
Fanya ile kitu Roho inapenda mfano Mimi Huwa na amua kusoma kitu kwa passion yangu sio lazima ni pate KAZI auAhsante mkuu,Barikiwa.
Kama vile,tupe madini!Dhima ya masters ni kuwa mbobezi kwenye eneo Fulani
Sio LAZIMA ukafundishe chuo kikuu Kuna areas nyingi za mtu kuweza ku practice elimu yake ya degree ya pili
Sawa mkuuFanya ile kitu Roho inapenda mfano Mimi Huwa na amua kusoma kitu kwa passion yangu sio lazima ni pate KAZI au
Fanya kitu unacho ona ni sahihi ndugu yangu.
Leo nimepata kitu ya kufanya CPA qualifications ninazoooSawa mkuu
Kila la kheriLeo nimepata kitu ya kufanya CPA qualifications ninazooo
Anza na masters halafu baadae soma hiyo CPA.shida ya CPA mtu inaweza kufanya miaka hata sita bila kuipata hivyo itakuchelewesha wewe gonga masters yake halafu CPA soma kama hobiWakuu kwems?
mimi ni mwl kwa 10 years now, (accounts and Business) nawaza ipi itanipa faida, kusoma CPA au kuongeza masters + PhD? ipi inaweza kunipa faida kwa sasa.
niko government schools.
natanguliza shukrani
Kusoma KAZI kwa sisi wengine wenye majukumu ni kaziKila la kheri