Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Ushauri wangu kwa vijana wa form 6 na wengine wote ambao bado hawajafikia elimu ya chuo kikuu. Tanzania ya sasa haihitaji Degree, zimeshakuwa nyingi sana mtaani mpaka copy za vyeti zinafungiwa...
112 Reactions
219 Replies
20K Views
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ni chuo bora Tanzania. Kiko mbali mno kwa ubora kulinganisha na vyuo vingine. Kikubwa zaidi ni kuwa wanaodahiliwa Mlimani ni vipanga watupu. Bila Div One & Two ni...
18 Reactions
277 Replies
11K Views
Cv yake hii Amesoma private school O-level A-level amesoma shule ya kata kombi PCB Shule ya msingi amesoma private school Nb, anaomba mkopo ngazi ya diploma
1 Reactions
7 Replies
532 Views
Habari zenu wakuu. Nilimaliza form four mwaka 2018 kwa ufaulu wa division 3 ya 24, lakini nilikua na F moja ya Mathematics hata hivyo nikachagulia na TAMISEMI kusomea coz ya marketing ndiyo...
3 Reactions
21 Replies
6K Views
Anonymous
Sasa ni mwezi na nusu toka tulipowezeshwa semina ya mtaala mpya wa kidato cha tano na sita lakini mpaka sasa hatujapewa hela zetu, ni mwezi na nusu toka tulipoahidiwa kulipwa lakini bado...
1 Reactions
0 Replies
229 Views
Moja kwa moja.. Namuombea dogo mkopo kwenye kipengele Cha kuweka namba ya Napa karibia siku ya Tatu inasema hivyo , nimemwambia anitumie barua ya Napa yenye hiyo namba labda alivyonitumia...
1 Reactions
5 Replies
554 Views
Habari wakuu, Samahani sana naomba kupata msaada wa ushauri juu ya hili:- "Kuna ndugu yangu alifaulu vizuri mwaka jana na kupata nafasi ya kwenda Advanced Tanga, ila hakuweza kwenda kutokana na...
3 Reactions
7 Replies
458 Views
DIVISION 1 - 61,120 DIVISION 2 - 49,385 DIVISION 3 - 14,870 DIVISION 4 NA 0 - 760 Watu wanasema elimu imerahisishwa kuna vitabu mitandaoni lakini haibadilishi uhalisia kuna wanafunzi hawapo...
2 Reactions
28 Replies
1K Views
Ndugu, Nimependa kukushirikisha jambo hili ambalo, kimsingi, katika ulimwengu wa sasa halikwepeki kabisaaa... Jambo hili ni kama kichwa cha mada hii kinavyosema hapo juu. Nina amini kuwa...
1 Reactions
1 Replies
258 Views
Waungwana naombeni ushauri mimi ni muhitimu wa diploma ya Business administration . Nlishindwa kuendelea pindi tu nlivyomaliza kwasababu ya changamoto za matokeo (Nacte) nina mpango wa kufanya...
2 Reactions
48 Replies
6K Views
Salamu!! Wale wote wenye hamu na uelewa wa kutosha nimeona DUCE wametoa master ya Arts with Education ambapo utasoma master ya ualimu na somo moja la kufundishia ambapo yapo matano unatakiwa...
3 Reactions
9 Replies
4K Views
Naibu waziri wa Elimu bwana Mulugo amesema kuwa serikali ya Tanzania Bara ina mpango wa kuanzisha utaratibu wa kuwa na Mtihani wa Taifa kwa wanafunz wa darasa la 2, Amesema lengo la kuja na...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Katika Hali isiyo ya kawaida baada ya walimu wanachama wa CHAKUHAWATA kujikuta wamekatwa mara mbili kwenye mishahara yao ya mwezi huu JULY baada ya MAMA kufanya yake,walimu hao wamejikuta...
0 Reactions
9 Replies
811 Views
Hizi shule(mzumbe,pugu,kisimiri,ilboru,kibaha and the likes) japokua siku izi nyingi zimepoteza sifa zake aisee kama una moyo mwepesi usiende huko unaweza kupata depression au pressure ukashindwa...
103 Reactions
437 Replies
38K Views
Mimi nataka kujua ni kwa nini matokeo ya Kidato cha Sita mwaka 2008 yamefichwa hayaonekani ila miaka mingine kama 2007 na 2009 yanaonekana.
10 Reactions
102 Replies
14K Views
Hivi ni baada ya kufanya utafiti kwa baadhi ya shule ambapo wanafunzi wanaosoma masomo ya sanaa (Arts) wamekuwa wakizuiliwa kusoma somo la Hesabu. Kwa ujumla huu ni ukiukwaji mkubwa wa sera ya...
0 Reactions
6 Replies
419 Views
Habari wadau Naomba kufahamu kama kuna anayejua iwapo bodi ya mikopo wanatoa Pia na wanaofanya masters.
0 Reactions
17 Replies
782 Views
Wakuu mm ni mgeni humu Jamii Forums na hii ndo thread yangu ya kwanza kuandika. Nina shida moja, mm ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka huu na nimesoma PCM nimepata Division II ya 10 Physics D...
3 Reactions
12 Replies
954 Views
Shalom shalom Licha ya kuwa na elimu duni wanayotoa pia kupata GPA kubwa na kali imekua anasa kwa vyuo vya serikali Tanzania kuliko hata HAVARD na vyuo vingine vikubwa duniani na sababu kubwa...
3 Reactions
14 Replies
822 Views
Elimu ya chuo inamjenga kijana kujiimarisha zaidi katika kile anachosomea, lakini kumekuwa na msomgamano wa masomo mengi ya ziada ambayo kwenye soko la ajira hayatambuliki. Kwa mfano mwanachuo...
1 Reactions
9 Replies
427 Views
Back
Top Bottom