Mdogo wangu anaweza kupangiwa mkopo

Mdogo wangu anaweza kupangiwa mkopo

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,748
Reaction score
5,119
Cv yake hii
Amesoma private school O-level
A-level amesoma shule ya kata kombi PCB
Shule ya msingi amesoma private school

Nb, anaomba mkopo ngazi ya diploma
 
Cv yake hii
Amesoma private school O-level
A-level amesoma shule ya kata kombi PCB
Shule ya msingi amesoma private school

Nb, anaomba mkopo ngazi ya diploma
Daaah pole sana hapo 60% anaweza kukosa .labda kama alikuwa ana ufadhili kwenye masomo yake

Yani mkopo shida kubwa wanacheki hali ya mtu ya kimaisha sana .maybe angekuwa hana wazazi/mzazi , kileme kwa mzazi, tasafu inge saidia sana.

Sema aombe tu hivyo hivyo kama atakosa batch zote asubiri dirisha la kukata rufaa inaweza ikasaidia . Lakin kama yumban pako fresh kwa nn hiyo nafasi wasiachiwe ambao hawana uwezo kabisa😂😂😂😂
 
Cv yake hii
Amesoma private school O-level
A-level amesoma shule ya kata kombi PCB
Shule ya msingi amesoma private school

Nb, anaomba mkopo ngazi ya diploma
Kwa ushauri wangu, kama nyumbani Vicente vya kubadilisha mboga vipo, asichukue huo mkopo.

Mkopo ni mateso makubwa sana mkuu.
 
Cv yake hii
Amesoma private school O-level
A-level amesoma shule ya kata kombi PCB
Shule ya msingi amesoma private school

Nb, anaomba mkopo ngazi ya diploma
Yani kwa mfumo wa siku hizi mkopo unatolewa kwa wahitimu walio soma serikali 2 kwanzia primary mpka advance baada ya hapo ndo walio soma private watapewa lakin ni very layer sana mana wa private wanawekwa kama reserve tu maybe ni special group, au orphan otherwise kupata ni mtiti japo aombe mungu ni mwema anaweza bahatika
 
Back
Top Bottom