Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza . Naweza pata chuo kinachofundisha hizo lugha hapo juu? Natanguliza shukurani
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Kuna jambo moja ambalo ninaliona kama changamoto kuu kwa vijana wetu wengi – mindset ya “kusoma ili kuajiriwa.” Hii tabia inatufanya tukwame kwenye foleni ya kusubiri nafasi za kazi ambazo mara...
1 Reactions
2 Replies
720 Views
Anonymous
Habari, Mimi ni Muhitimu WA chuo Taasisi ya watu wazima IAE kampasi ya mwanza nimemaliza Mwaka Jana 2024 lakini toka tumalize Hadi Leo hatujapa AVN na tukihoji wanatoa majibu ambayo hayaeleweka...
0 Reactions
5 Replies
434 Views
Hellw jf,kwa usaili wa online updates tunapata wap maan ni week moja sasa tokea waseme tutajulishwa kwny akaunt zetu na tovuti lakini ni bila bila,hamna kitu.
0 Reactions
1 Replies
263 Views
Matokeo ya Form 6 yametangazwa, lakini kwa wazazi na walezi wa mikoz ya kanda ya mashariki na Kanda ya Ziwa, haya si matokeo ya furaha bali ya mateso. Kigoma, atavi, Tabora, Kagera, Geita...
6 Reactions
72 Replies
3K Views
Anonymous
Katika kijiji cha Mongola Ndege kata ya Ukonga kuna wimbi kubwa la watoto kutopelekwa shule kwa kisingizio kuwa wamefeli darasa la saba ama kutokuwa na fedha ya kuwasomesha Hii kero inanikwaza...
1 Reactions
3 Replies
339 Views
Habari zenu wanajamvi, hivi tangazo linaloonesha venue za kufanyia interview somo la uchumi ajira portal limeshatoka?
0 Reactions
0 Replies
223 Views
Je, ni vyuo vyote vya ualimu wanafunzi wanaosoma diploma in science and mathematics hawapewi fedha za kujikimu maarufu kama MA Kwa wale walioomba mkopo wa HESLB? Yaani unakuta umewekewa robo ya...
0 Reactions
0 Replies
258 Views
Anonymous
Mimi nafanya kazi za Stationery Online application Changamoto wanayokutana nayo Watoto wanaoomba mikopo Elimu ya Juu ni kuhusu suala la mashirika ambayo yanawafadhili kipindi wapo sekondari...
0 Reactions
0 Replies
151 Views
Habari zenu jamani Mimi nimwanafunzi nilie maliza form four mwaka wa Jana nilimpata division III ya 24 selection zilivyo toka nimepangiwa nikasomee iyo kozi hapo juu katika chuo Cha Korogwe...
0 Reactions
1 Replies
405 Views
Wakuu hili somo la calculus kwangu NI gumu Tu level zangu za elimu sijawahi kulipenda ingawaje najua ni fundamental kwenye ulimwengu wa engineering..kwa wale wanaoweza kulipasua mnawezaje?
4 Reactions
37 Replies
1K Views
Kitabu hiki ni muhimu.... a compulsory subject kwa kidato cha Tano Historia ya Tanzania na Maadili Academic Communication
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu,nishaurini kozi nzuri ya kusomea VETA kati ya zifuatazo au kama kuna nyingine nzuri zaidi mniambie kuna ndugu kaomba nimshauri - Electronics - Leather goods and shoe making - Auto...
0 Reactions
25 Replies
11K Views
"Galanos school penda watoto....twakupenda twakusifu!.." mnaukumbuka huo wimbo?, Headmaster alikua T. Z. KINALA, namkumbuka sana mwl wa michezo Msocha. Tulikuwa tukitoroka tunaenda disco Club...
0 Reactions
47 Replies
10K Views
Ni matumaini yangu kuwa mpo salama kabisa...niwape pole nyingi kwa kumpoteza mwanaharakati nguli, mwandamizi wa Marehemu warumi mwenyezi Mungu ampe pumziko zuri nina imani warumi ametangulia...
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Habari za majukumu wakuu nina mdogo wangu amemaliza form four mwaka huu ana division point 28,kwa masomo ya arts je??naweza kumpeleka veta asome kozi gani ambayo anaweza pata ajira serikalini...
1 Reactions
25 Replies
52K Views
Habari za wakati huu ndugu, jamaa na marafiki humu ndani ya JF. Mimi ni kijana (22) Nimetoka chuo mwaka huu ila nina nia ya kwenda VETA kuchukua fani yoyote ambayo inaweza kunisaidia. Kwa...
5 Reactions
24 Replies
4K Views
Ni jambo la kusikitisha na la kushangaza kuona jinsi ambavyo Wizara ya Elimu na baadhi ya taasisi zake zimeanza kuingilia kwa nguvu na pupa maandalizi ya mitaala ya vyuo vikuu, ikiwemo hatua ya...
0 Reactions
1 Replies
543 Views
Je, hali na hatima ya uhuru wa kitaaluma katika vyuo vikuu vya Afrika ikoje? Ni kwa jinsi gani na kwa nini vyuo vikuu barani Afrika vimepoteza uhuru wao wa masomo hapo kwanza? Je, ni aina gani...
0 Reactions
1 Replies
398 Views
Anonymous
Mfumo wa Bodi ya Mikopo HESLB, ni zaidi ya wiki sasa tunapata shida katika kutuma maombi, nawapigia simu zao hawapokei, tupewe hata maelekezo tujue nini kinaendelea, ni kero kubwa aise. Ni kwamba...
0 Reactions
1 Replies
475 Views
Back
Top Bottom