Habari zenu wakuu.
Hizi ndizo kauli walizo ambiwa wanafunzi wa udaktari na machief kipindi cha mitihani ya vitendo(practical). Kama ifuatavyo
1: Hiyo diagnosis inabidi tuiandikie kitabu chake...
Naandika hivi kwa sababu hii nchi ina mshangazo mkubwa sana!
Watu waliokuwa likizo bila malipo, na wengine walioomba kurudi kwenye kazi zao, au ajira mpya, kiukweli kuingia kwenye payroll...
Iko wazi, kwa kila mtumiaji wa map zinazopatikana ktk simu zetu amewah kupima speed pale anapokuw safarini. Sasa swali langu ni.
Ikiwa uko baharini(boti/meri) au angani(ndege/parachuti) hii...
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha Iringa (Tumaini) kuna jambo moja linaendelea hapa chuoni halituridhishi kama wanafunzi.
Chuo kimeanzisha mfumo wa kutoza watu penalt sababu ya kuchelewa...
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Tiba kishiriki cha Tumaini (KCMC) wamekuwa katika kipindi kigumu cha masomo yao, hasa wakati huu wanapokaribia kufanya mitihani kutokana na kushindwa kumaliza kiasi...
Wadau habari ya jioni!
samahani kuna dogo aliomba, mkopo mwaka jana alikosa. Sasa anataka kuomba mkopo tena. Lakini ameshalipia elfu 30 lakini akijaribu kulog in mfumo haufunguki. Shida ni nini wadau?
Wakuu poleni na majukum,
Nimeombwa ushauri hapa nikaona nililete kwenu maana humu kila kila aina ya wabobezi.
Huyu kina anataka asome kozi za afya na matokeo yake ni haya :
PHYSICS. " F"...
Ingawa wengi kwa knowledge ya kibinaadamu "ILI KULETA USAWA FLANI HIVI BILA UBAGUZI WOWOTE" watakwambia kozi zote ni sawa inategemea na kichwa chako lakini ukweli juu ya hili utabaki pale pale...
Naombeni kujua tofauti kati ya bachelor of sciences with education na bachelor of education in science na ni maeneo gani tofauti wahitimu wa kozi hiyo wanaweza kuajiliwa na ni ipi bora kwa ajira...
Wanafunzi wengi wanaoingia vyuoni hujiuliza: "Kozi ipi itanipa ajira au fursa nzuri baadaye?" Katika mazingira ya sasa ya Tanzania na dunia kwa ujumla, hizi hapa ni kozi tano zinazotabiriwa kuwa...
Habari wakulu.
Bila shaka wengi wetu tunatamani watoto.wetu wasome shule sahihi, salama na hatimaye ahitimu katika ubora.
Ni kawaida kuona kuwa mwanenu amehitimu shule zake na akaamua kuingia...
Nikiwa mdau wa elimu, nasikitishwa na ucheleweshaji wa mfumo wa usajili wa private candidates ambao haujafunguliwa tangu mwezi wa saba hadi leo tarehe 8 Agosti.
Pia, reference number bado...
Mimi ni mwalimu Miaka kadhaa kazini
Nina mpango wa kwenda kufundisha vyuo vya kati kama assistant Lecturer.
GPA yangu ya undergraduate ni 3.5 (Bachelor of arts with education Linguistics and...
Rita wamekuwa wazembe kuhsughulikia changamoto za wateja wao, niliripoti terehe 19/06/2025 kwenye maonyesho ya wiki ya utumishi wa umma Dodoma kuwa nilifanya maombi ya kuverify cheti cha kuzaliwa...
Msaada anayefahamu shule za bei nafuu za secondary Tanzania ambazo ni za bweni na ni za private lakin pia ni mchanganyiko na ambazo ada yake ni kati ya 1m-2m
Msaada tafadhali
Hesabu za Simultaneous equation zinaweza kusoviwa kwa njia nne ambazo ni
1) Substitution method
2)Elimination method
3)Graphical method
4)Matrix method.
Hivyo thread zijazo tutatazama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.