Jocasta
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 474
- 588
Mimi ni mwalimu Miaka kadhaa kazini
Nina mpango wa kwenda kufundisha vyuo vya kati kama assistant Lecturer.
GPA yangu ya undergraduate ni 3.5 (Bachelor of arts with education Linguistics and literature)
Naomba kuuliza ndugu zangu, kati ya Master's degree nilizoweka Hapo juu ni ipi itanifanya ndoto zangu kutumia?
Chuo tarajiwa ni Open university of Tanzania.
Msaada tafadhali
Nina mpango wa kwenda kufundisha vyuo vya kati kama assistant Lecturer.
GPA yangu ya undergraduate ni 3.5 (Bachelor of arts with education Linguistics and literature)
Naomba kuuliza ndugu zangu, kati ya Master's degree nilizoweka Hapo juu ni ipi itanifanya ndoto zangu kutumia?
Chuo tarajiwa ni Open university of Tanzania.
Msaada tafadhali