Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Habari zenu wakuu, Nilikuwa naomba msaada kwa anayeelewa Degree ya Metrology and Standardization sehemu atazoweza kufany kazi pamoja na basic salary yake.
3 Reactions
35 Replies
10K Views
Wakuu mimi nimesoma bachelor of science with education, nina gpa ya 4.4 na kwa sasa niko mtaani nina duka la cosmetics. Sasa wazazi wamenipa shavu kuwa niende masters nikajiendeleze wakati...
2 Reactions
15 Replies
889 Views
Mwaka juzi, kama mwezi wa kumi, nilikuja hapa JamiiForums kuomba ushauri kuhusu kusoma Masters mara tu baada ya kumaliza Degree yangu ya kwanza. Asilimia kubwa ya wadau waliniponda. Baadhi...
23 Reactions
31 Replies
2K Views
Anonymous
Naomba kuuliza mamlaka husika je hawaioni hii changamoto katika shule hii. tatizo la maji mtaa wa kanindo limekua ni tatizo kubwa ni muda sasa japo kua mradi wa maji uko mtaa jirani wa Sawa. na...
0 Reactions
0 Replies
471 Views
Habari wanajamvi, Kwa masikitiko makubwa nawaomba mnisaidie kunielekeza ni shule gani hapa Dar es salaam inauwezo mkubwa kuwasaidia watoto wenye Uelewa mdogo yaani slow learners?? Kijana wangu...
7 Reactions
77 Replies
3K Views
Unapokuwa unaandika research proposal au dissertation ya masters au undergraduate, process ya kutafuta related studies zinazoendana na objectives au title yako huwa ni kazi ambayo sio rahisi hata...
0 Reactions
2 Replies
397 Views
Wana jamvi naombeni mwenye soft copy ya kitabu cha shamba la wanyama (ANIMAL FARM) anisaidie au anielekeze namna yakukipata.
0 Reactions
13 Replies
11K Views
Leo tuangalie kazi za kitaaluma za Maprofesa wetu kimataifa eg. Google scholar. 1. Anthony Mshandete, 2439 citations https://scholar.google.com/scholar?hl=en&as_sdt=0%2C5&q=mshandete&btnG= 2...
6 Reactions
19 Replies
3K Views
Naomba mwanafunzi mwaka pili au wa tatu UDSM anaesoma hii course tuwasiliane. Asanteni 🙏🙏
1 Reactions
3 Replies
380 Views
Habari Kwa wale wanaohitaji kwenda kusoma USA na Canada kuanzia Masters na Kuendelea Unaweza kutimiza ndoto zako kwa kupata mkopo kupitia Taasisi za kimataifa zinazotoa mikopo No collateral...
1 Reactions
1 Replies
411 Views
Anonymous
Mfano Shule ya Wavulana iliyopo Mitaa ya Kawe (jina kapuni), mwajiriwa mwenye Shahada analipwa mpaka 530k baada ya makato inabaki 360k ingali ada kwa Kila Mwanafunzi kwa mwaka ni Sh 12m, hii haina...
0 Reactions
0 Replies
164 Views
Jamani huyu ni last born kwenye familia yetu kapata division 2 ya kumi na moja,dogo anataka chuo asome mbeya na vyuo ambavyo ana vitamani ni mzumbe na T.I,A changomoto iliyopo ni kwamba dg o...
0 Reactions
0 Replies
301 Views
Anonymous
Website ya Utumishi ilikuwa msaada kwa watumishi kuona nafasi za mafunzo yenye ufadhili nje ya nchi. Lakini mwaka huu hakuna mafunzo yanayoonekana kwenye sehemu ya mafunzo, post ya mwisho ni ya...
1 Reactions
0 Replies
176 Views
Nakumbuka mwaka 2009 wakati ndo nimemalza 4m 6, mzumbe university walikua wanaringa kuchukua wanafunzi 2naotegemea Heslb na badala yake wakawa wanachukua wa2 wenye dv 3 wengi kwa kigezo cha kwamba...
1 Reactions
143 Replies
13K Views
Walimu Mbeya DC kutoka CWT kuhamia vyama vingine vya Wafanyakazi ni changamoto. Tumejaza fomu za kujitoa wamegoma kabisa, ukienda kufuatilia wanasema huu Mwaka wa uchaguzi hawawezi kututoa, muda...
1 Reactions
1 Replies
969 Views
Anonymous
Ajira mpya za Walimu Msingi na Sekondari Mwaka wa fedha ulioisha hawajalipwa fedha za kujikimu tangu Februari 2025, Viongozi wakiulizwa hawatoi majibu ya kueleweka ni kusema tu mtalipwa. Kwa...
0 Reactions
2 Replies
671 Views
Wakuu nilikuwa naomba kujua kiundani juu ya kozi hii ya electrical and biomedical engineering. Je, unaposoma cozi hiyo utajishughulisha na ufundi wa vifaa vya tiba au na umeme kwa ujumla. Ahsanteni
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Kuna sababu gani yakutumia wiki nzima au wiki mbili kabisa kufanya verification ya cheti cha kuzaliwa? Kwamba muombaji asubiri hadi hizo wili mbili au moja ndio aendelee kufanya application kweli...
2 Reactions
3 Replies
271 Views
Nijuavyo mimi Kiswahili ni mchanganyiko wa lugha nyingi mfano kisukuma, kichaga, kihaya (kibantu) kiingereza, kijerumani, kiarabu n.k huu mchanganyiko ukaunda lugha moja ambayo ni kiswahili. Huu...
0 Reactions
0 Replies
247 Views
Hellw jf,kuna shida bado tunapata.Bado tunapata changamoto ya kupata AVN number na matokeo yametumwa,ukifika nacte kuongea nao wanakujib vibaya wakitumia lugha mbaya.Ni sawa ni taasis ya serikali...
2 Reactions
14 Replies
802 Views
Back
Top Bottom