Naomba kujua shule nzuri kwa wasichana

Mama Edina

JF-Expert Member
Dec 18, 2022
747
1,814
Habari wakulu.

Bila shaka wengi wetu tunatamani watoto.wetu wasome shule sahihi, salama na hatimaye ahitimu katika ubora.

Ni kawaida kuona kuwa mwanenu amehitimu shule zake na akaamua kuingia kitaani kuhulsle hata kama hatapata best job ila apate kaelimu kamtoe tongo.

Ka uzungu akajue, vijana mnaita kutema yai.

Kama kuna kaubunifu na ujanja wa duniani asiachwe.


Hapa nalenga shule za kawaida sekondari for girls tu. Katika hifadhi kichwan mwangu naijua
.

1. Mazinge juu
2. Marian girls
3.

Kwa ufupi sina zaidi ya hizo.
Msaada wenu.

Mimi wenu Mama Edina
 
Back
Top Bottom