Wadau wa JF hebu mnisaidie hili, hivi hizi kamera za cctv zinaweza kweli kubaini mtu aliyeiba mtihani toka ofisi za Baraza la mitihani na kutoka nao nje?. Kwa sababu kunatakiwa awepo mtumishi...
Wana JF,
Salaam.
Naomba kujua ni njia ipi ambayo ni nzuri na salama kwa utunzaji wa VYETI AU NYARAKA haswa vyenye thamani kama degree kubwa na kuendelea,ili kuepuka vitu kama moto,kuloa au kuwa...
Nataka kusoma masters ya Public health kwa hapa Tanzania.
Naomba wana jamii mnisaidie ni chuo gani kwa hapa Tanzania naweza kupata chuo nikasoma.
Kuhusu qualification i have the qualification to...
Hivi Tanzania kuna 'child prodigies' (watoto/vijana wenye upeo mkubwa kiakili usiolingana na umri wao) ambao wameweza kuwika katika anga mbali mbali ukubwani?
Je, kuna program zozote zilizopo...
Disclaimer: If you are not interested in 'Political' Philosophy or 'Astronomy' and 'Theology' kindly opt out of this thread!
According to Bluray, the singularity is near. Now before we even...
Habarini wajameni;
Nina ndugu yangu alizembea kusoma akaishia la saba.
Sasa ameibuka anataka soma. Nasikia waweza soma na kupata cheti za form 4 ndani ya 2 years. Je hiyo form 4 utakaopata kwa...
A Member of Parliament has been expelled from a university over examination malpractice.Mr Barnabas Tinkasiimire, an NRM MP for Buyaga County in Kibaale, was on Monday discontinued by the Islamic...
Hii thread nimeianzisha kwa ushauri wa Max aliyesema kama ninataka nianzishe ili apate kunijibu.
Kila mtu ana uhuru wa kujadiliana ila sitopenda copy and paste
Nataka vile mtu alivyosoma mwenyewe...
Wakubwa, nimesumbuka sana kuongea na wataliano kwenye makampuni yangu ya utalii hapa Arusha. kwa sasa nimehamia hapa bongo ya Daslam. nataka kusoma kitaliano kidogo, naombeni ushauri, ni sehemu...
Habari wana jamii
Nimejitokeza na kero hii ambayo imekua ikiwaesa sana wanachuo wa chuo kikuu cha Tumaini Iringa
Kuna mfanyakazi mmoja anafanya kazi ya kutoa transcript za matokeo pale chuoni, kwa...
Scholarship Description
The International Peace Research Association Foundation invites applications for the Dorothy Marchus Senesh Fellowship in Peace and Development Studies for Third World...
Eti wandugu what are key issues (things to note) on dissertation presentation?
Tafadhali naombeeni msaada kwa waliowahi kufanya au kufanyiwa?
Natanguliza shukrani.
Hello Colleagues! Mimi ni mwanafunzi nafanya masomo kwa njia ya distance, nimepewa assignment ya IT naomba fame work on how to get started. huna hili swali linauliza hivi '' How current and future...
Wahadhiri, wanafunzi OUT kujitetea mara mbili
Imeandikwa na Gloria Tesha; Tarehe: 17th November 2009 @ 22:00 Imesomwa na watu: 31; Jumla ya maoni: 0
WAHADHIRI wanne na wanafunzi...
Habari wanajamii. Huwa mara chache nafuatilia mahojiano ya wanafunzi wa shule mbalimbali za Sekondari nchini katika Bunge la Wanafunzi. kipindi hiki huwa kinarushwa na TBC1 kila Jumapili.
Kwa...
1. Totalitarianism (total rule)
Ruled by an ideology that penetrates every nook and cranny of its society. The regime is often headed by a cult of personality type leader. The government gets...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.