Kuna jamaa yangu anatafuta silabasi (Syllabus) za somo la muziki katika shule za sekondary za o level na o level. Yupo nje ya Tanzania kwahiyo yeyote mwenye kuwa nayo au kutoa ushauri wa wapi kwa...
Dar es Salaam ni makao makuu ya kila kitu kwa nchi yetu Tanzania, hata kama tutajidai makao makuu yapo Dodoma. Harakati za maendeleo ya nchi karibu kila kona ya maisha kitovu chake kipo DSM...
Hello Great THINKERS!! Nimeangaliaa kwenye TV jinsi KOVA anavyoliongelea swala la Jerry Muro nikapata shida sana na Inteligence ya huyu kamanda. Nani anajua CV yake academically?
Habari Wanajf,
Ninaomba kama kuna member anaweza kunisaidia kupata kitabu cha hisabati darasa la tano kilichochapishwa na Ben & Company.
Mdogo wangu anakiitaji sana kiweze kumsaidia kumudu...
MBEYA INSTITUTE OF SCIENCE AND TECHNOLOGY
(Accredited by National Council for Technical Education)
ADMISSION TO BACHELOR DEGREE PROGRAMMES FOR THE ACADEMIC YEAR 2008/2009...
Asalaam jamani kuna swali nataka niulize tunasikia kwamba zipo shule nyingi za private ambazo zinapandisha bei ya elimu kila mwaka je nini kinafanyika kuzuiahili itafika wakati hatutaweza kubeleka...
Jamani ninajaribu kujifunza sheria ya ushahidi nikakutana na swali lifuatalo
(a) A agreed in writing to sell a house to B for shillings 10,000/= or shs 15,000/=. Can evedence be given which price...
Dili kwa vijana wa Tanzania, hasa hasa kwa wale waliomaliza Form 6 au wapo Form 6 sasa hivi. Ningependa kuwajulisha kuwa maombi ya kujiunga na vyuo vya Finland yameanza na deadline ni February 12...
Ni asubuhi yapata saa 12.25 nimejipumzisha nyumbani mara nasikia hodi, kutoka nje ni kundi la watu wapatao 11 miongoni mwao yuko katibu,mkit,balozi etc wakijitambulisha kwao kwamba ni serikali ya...
You don't have to be an expert in anything to impress a child with your knowledge, and leave an indelible impact. From tying a necktie to driving a car, here's a list of things you can teach them...
NYERERE PROGRAMME OF THE AFRICAN UNION
AFRICA INDIA CAPACITY BUILDING SCHOLARSHIPS
The Nyerere Programme of the African Union has received support under the Plan of Action for the...
Wapendwa wote wa JF kama kuna mtu anafahamu walipo hawa wafuatao naomba anijulishe.
1. Harrieth Mtuy
2. Gloria Mziray
3. Hidaya Ukondwa
4. Hasina Musa
5. Ashura Kazinja
6. Elizabet Kabigi...
Avoiding College Scholarship Scams
Protect yourself and your money
By Deborah Hardy CONGRATULATIONS! You have won a $10,000 scholarship for college. To obtain your award, please forward a $100...
AP This undated black and white photo released by the Carpenter Family on Tuesday, Jan. 26, 2010, shows
CONCORD, N.H. It was Harriet Richardson Ames' dream to earn her bachelor's...
SOM, the graduate school and research institute of the Faculty of Economics and Business of the University of Groningen (The Netherlands) has available
13 PhD positions in Economics and...
Ndugu wana jf nina ndugu yangu(msichana (21)) aliyehitimu kidato cha nne upande wa arts .
Kwenye mtihani wake alipata D 3 na F 4.
Ninachoonba toka kwenu ni ushuri wa kwamba je?
1) anaweza kufanya...
VIONGOZI WA TAHLISO WAJITAMBULISHA KUPITIA VYOMBO VYA HABARI.
Wednesday, 20 January 2010
Mr.Lawrence Mwantimwa Rais wa Tumaini University Dar es salaam,wa katikati ni Mr.Noel Issaya Katongo...
Wadau naomba kuwasilisha mada yangu ijadiliwe hapa JF na pia watu watoe maoni ni namna gani tutakomesha hili suala.
Kuna mtundo umezuka pale UDSM kwenye ofisi inayohusika na utoaji wa transcript...