Elimu bure Finland!! Vijana changamkeni

Katoma

Senior Member
Mar 11, 2008
133
10
Dili kwa vijana wa Tanzania, hasa hasa kwa wale waliomaliza Form 6 au wapo Form 6 sasa hivi. Ningependa kuwajulisha kuwa maombi ya kujiunga na vyuo vya Finland yameanza na deadline ni February 12.
Vyuo vingi vinafundisha kozi kwa kiingereza.

Procedure ni simple sana:

1. Tafuta vyuo na kozi unazotaka kusoma kwa ajili ya BA au BSc.
list ya vyuo na website zao waweza kupata kupitia anuani:

http://www.minedu.fi/OPM/Koulutus/ammattikorkeakoulutus/ammattikorkeakoulut/?lang=en


2. Jaza fomu online kupitia anuani:

https://www.admissions.fi/

(kujaza fomu na kuituma online inachukua kama dakika 10 hivi)

3. Tuma makabrasha yote kabla ya tarehe 19 February 2010 4.15 pm Finnish time.

vyeti vya kutuma ni:
(a) A copy of the original form 4 and/or form 6 certificate
(b) Majibu ya mtihani wa kiingereza wa TOEFL (soma chini kuhusu TOEFL)

kama haujafanya mtihani wa TOEFL (Test of English as a Foreign Language), fanya hima uende pale British Council mitaa ya Posta ili kujiandikisha. Waambie watume majibu directly kwenda chuo ulichochagua as your first choice, (utajua anuani ya chuo baada ya kufanya application online).

Why spend millions kusoma UK, US au Asia wakati unaweza kusoma bure Ulaya kwa kiingereza?

Kila la heri
 
Good news for we as we use to call ourselves poor country for this aid of highlearning is a big help. Thanx for info.
 
Mkuu samahani labda kama nimelewa vibaya nimejaribu kwenda kwenye hiyo website wanasisitiza kwamba financial aid to foreigners will be limited to people who are working there,staying with families or immigrating otherwise kama unaomba nafasi ukiwa na nia moja tu ya kusoma bila sababu nyingine yeyote,wewe huruhusiwi..Kwa hivyo kusoma kuendane na wewe kuwa raia wa Finland kwa kuhamia,kufanya kazi au kufuata familia,unaweza kunisaidia kama nimeelewa vibaya boss...
 
Mkuu samahani labda kama nimelewa vibaya nimejaribu kwenda kwenye hiyo website wanasisitiza kwamba financial aid to foreigners will be limited to people who are working there,staying with families or immigrating otherwise kama unaomba nafasi ukiwa na nia moja tu ya kusoma bila sababu nyingine yeyote,wewe huruhusiwi..Kwa hivyo kusoma kuendane na wewe kuwa raia wa Finland kwa kuhamia,kufanya kazi au kufuata familia,unaweza kunisaidia kama nimeelewa vibaya boss...

Kwa uelewa wangu ni kwamba living expenses unajitegemea mwenyewe. Wanafunzi wengi wanapata part-time job wakati wakiwa huko. Kwahiyo mshahara wako utakuwa ni kujikimu huko na sio kuhangaika kulipia ada kama ilivyo kwa wengi wetu tuliosoma US ama UK.
 
Pamoja na yote mimi nikushukuru tu ndugu yangu Katoma kwa kufanya jitihada za kutaka watu wengine wafanikiwe,umeonyesha uzalendo ..lets hope for the best...
 
Why spend millions kusoma UK, US au Asia wakati unaweza kusoma bure Ulaya kwa kiingereza?

Kila la heri
vya bure wakati mwingine vina gharama kubwa kuliko za vyuo vya UK, Asia, USA etc....
 
Kaka mimi TOEFL siijafanya na pesa sina kabisa yani ni mtoto wa masikini kabisa,hapo inakuwaje hawa jamaa hawezi kunipa tu admission afu baadae nikapiga hiyo Toefl,maana matokeo yangu yako poa sana tu na nataka kusoma Finland.
Afu mambo ya pesa ya Nauli na pesa ya kuishi huko inakuwaje?
sijaelewa elimu bure yani hakuna ada kabisa ua inakuwaje hapo ebu weka wazi kidogo!!!!!!!!!
 
Ni kwamba haulipi ada. Nauli na gharama zako za kuishi huko unajitegemea.
 
Kaka mimi TOEFL siijafanya na pesa sina kabisa yani ni mtoto wa masikini kabisa,hapo inakuwaje hawa jamaa hawezi kunipa tu admission afu baadae nikapiga hiyo Toefl,maana matokeo yangu yako poa sana tu na nataka kusoma Finland.
Afu mambo ya pesa ya Nauli na pesa ya kuishi huko inakuwaje?
sijaelewa elimu bure yani hakuna ada kabisa ua inakuwaje hapo ebu weka wazi kidogo!!!!!!!!!

Hiyo TOEFL ni kwa ajili ya kujua uwezo wako wa Kiinglishi ambayo ndo lugha ya kufundishia, sasa watakupa vipi admission kama hawajui uwezo wako wa lugha? Fanya makaratee upate hela ya hiyo TOEFL.

Hakuna ada, hiyo ndege na kuishi ni kivyako. Although kunaweza kukawa na scholarships vilevile za kukusaidia na hizo gharama, maana maisha ni gharama sana hizi nchi za Scandinavia.
 
Ni kweli elimu ni bure kwa sasa hapa Finland, Na jamaa wanakaribisha maombi kutoka kokote duniani, tatizo applicants ni wengi mno kiasi kwa kupata nafasi inakuwa ni ngumu sana,mwaka jana walipokea maombi 3500 kutoka kwa Nigeria and Ghana tu,Jumla ya foreigners walioapply ni 7,200(yle.fi\news) wakati waFinnish wenyewe walia-apply 2000, na katika kila darasa wanataka ratio ya citizen 3,foreigner 1, so chances ni ndogo kwa mtanzania aliyemaliza High School kwa mfumo wetu huo wa elimu duni. ( Sikatishi tamaa,bali andaa documents zilizoshiba,)

pili ni kwamba wanategemea uwe na 6,000 euros kwenye account yako..yaani 500euros per month. Iko kiwango inabidi kiwepo kwenye personal account yako ili uwe qualified kupata student visa.

Tatu ni kwamba si rahisi kupata ajira kama mkuu alivyoainisha hapo, ajira nyingi zinatolewa pale utakapoweza kuongea ki-Fin(lugha yao) kwani kila kitu kipo in Finnish or Swedish( English haitambuliki wala haipendwi hapa,,,jamaa they are very proud of their culture)...Ingawa shuleni wanafundisha course za kiingereza ili watu wao waweze ku-internationalize.

Nne ni kwamba gharama za maisha ni kubwa mno, a room in a shared apartment is around 300euros for students,

Ubaguzi wa rangi pia ni tatizo, mabaani,,kwenye bus,,train na sehemu nyinginezo,,hawakupigi ila wanakushangaa kama vile ni sanamu ya kinyago..

Kwa mtanzania wa kawaida,,,culture shock itakuwa kubwa mno mwanzoni,,kwani jamaa wana tamaduni tofauti mno na kwetu.

Hali ya hewa pia ni tofauti mno na nyumbani,,huku baridi na giza ni miezi nane( august-march)

Nimeona bora nianishe mambo hayo,,kwani uzuri wa kuishi nchi kama Uk au Us ni kwamba hamna language barrier,,so adoption yako inakuwa mara nyingi smooth if u work hard..

Vile vile nimeona ni bora nianishe baadhi ya matatizo kwa wanaotaka kuja,,kwani watanzania wengi wanakuja bila maandalizi ya kutosha, then wanataabika sana mwanzoni na kuzani watu wana watosa wakati ndio hali halisi.
 
Ni kweli elimu ni bure kwa sasa hapa Finland, Na jamaa wanakaribisha maombi kutoka kokote duniani, tatizo applicants ni wengi mno kiasi kwa kupata nafasi inakuwa ni ngumu sana,mwaka jana walipokea maombi 3500 kutoka kwa Nigeria and Ghana tu,Jumla ya foreigners walioapply ni 7,200(yle.fi\news) wakati waFinnish wenyewe walia-apply 2000, na katika kila darasa wanataka ratio ya citizen 3,foreigner 1, so chances ni ndogo kwa mtanzania aliyemaliza High School kwa mfumo wetu huo wa elimu duni. ( Sikatishi tamaa,bali andaa documents zilizoshiba,)

pili ni kwamba wanategemea uwe na 6,000 euros kwenye account yako..yaani 500euros per month. Iko kiwango inabidi kiwepo kwenye personal account yako ili uwe qualified kupata student visa.

Tatu ni kwamba si rahisi kupata ajira kama mkuu alivyoainisha hapo, ajira nyingi zinatolewa pale utakapoweza kuongea ki-Fin(lugha yao) kwani kila kitu kipo in Finnish or Swedish( English haitambuliki wala haipendwi hapa,,,jamaa they are very proud of their culture)...Ingawa shuleni wanafundisha course za kiingereza ili watu wao waweze ku-internationalize.

Nne ni kwamba gharama za maisha ni kubwa mno, a room in a shared apartment is around 300euros for students,

Ubaguzi wa rangi pia ni tatizo, mabaani,,kwenye bus,,train na sehemu nyinginezo,,hawakupigi ila wanakushangaa kama vile ni sanamu ya kinyago..

Kwa mtanzania wa kawaida,,,culture shock itakuwa kubwa mno mwanzoni,,kwani jamaa wana tamaduni tofauti mno na kwetu.

Hali ya hewa pia ni tofauti mno na nyumbani,,huku baridi na giza ni miezi nane( august-march)

Nimeona bora nianishe mambo hayo,,kwani uzuri wa kuishi nchi kama Uk au Us ni kwamba hamna language barrier,,so adoption yako inakuwa mara nyingi smooth if u work hard..

Vile vile nimeona ni bora nianishe baadhi ya matatizo kwa wanaotaka kuja,,kwani watanzania wengi wanakuja bila maandalizi ya kutosha, then wanataabika sana mwanzoni na kuzani watu wana watosa wakati ndio hali halisi.

Asante kwa kuainisha "the negatives".
1. UK na USA nako wanataka uwe na kiasi cha kujitosheleza katika account kabla ya kwenda masomoni. Wanafunzi lukuki wameenda ingawa hawana uwezo kama walivyoainisha katika Bank statement zao? 2. Ubaguzi upo kila sehemu, hata TZ.

Mi naona kama mtu unania ya kwenda nchi za watu, ishu kama ubaguzi haziwezi kukustua, kwani it is the fact of life.

Waache vijana wajitume, kwani katika kila opportunity kuna vipingamizi kadhaa. Cha muhimu ni namna utakavyojiinua kupambana na hivyo vipingamizi.
 
Baadhi ya vijana wa Kitanzania wanaosoma Finland. Huu ni wakati wa Summer wakijifurahisha.
grill.JPG
 
Aisee mbona wamejibanza huko machakani?? Halafu hamna hata kampani ya wenyeji kidogo. Hiyo nchi itakuwa ya wabaguzi na haifai kuishi.
 
kijana tunashukuru kwa taarifa lakini mbona umetuma taarifa wakati muda umebaki kidogo sana? Mbona hukutujulisha mara walipotangaza 11 JAN? Wengine walio sehemu za mbali kama Kanyigo, Liwale, Mbinga, Mpanda nk c mambo hayo yatawapaitia mbali sana. Wakati mwingine ukipata taarifa nzuri itume/tujulishe kwa wakati (Information is power)
 
kijana tunashukuru kwa taarifa lakini mbona umetuma taarifa wakati muda umebaki kidogo sana? Mbona hukutujulisha mara walipotangaza 11 JAN? Wengine walio sehemu za mbali kama Kanyigo, Liwale, Mbinga, Mpanda nk c mambo hayo yatawapaitia mbali sana. Wakati mwingine ukipata taarifa nzuri itume/tujulishe kwa wakati (Information is power)

Komred, hili tangazo limewekwa hapa 20th January 2010, na hii si mara ya kwanza kwa ishu kama hii kusambazwa mtandaoni. Kama wewe ni mchakarikaji utawahi deadline. Ila kama ni mtafuta "excuses" litakupita. You have to act.
 
Back
Top Bottom