Katoma
Senior Member
- Mar 11, 2008
- 133
- 10
Dili kwa vijana wa Tanzania, hasa hasa kwa wale waliomaliza Form 6 au wapo Form 6 sasa hivi. Ningependa kuwajulisha kuwa maombi ya kujiunga na vyuo vya Finland yameanza na deadline ni February 12.
Vyuo vingi vinafundisha kozi kwa kiingereza.
Procedure ni simple sana:
1. Tafuta vyuo na kozi unazotaka kusoma kwa ajili ya BA au BSc.
list ya vyuo na website zao waweza kupata kupitia anuani:
http://www.minedu.fi/OPM/Koulutus/ammattikorkeakoulutus/ammattikorkeakoulut/?lang=en
2. Jaza fomu online kupitia anuani:
https://www.admissions.fi/
(kujaza fomu na kuituma online inachukua kama dakika 10 hivi)
3. Tuma makabrasha yote kabla ya tarehe 19 February 2010 4.15 pm Finnish time.
vyeti vya kutuma ni:
(a) A copy of the original form 4 and/or form 6 certificate
(b) Majibu ya mtihani wa kiingereza wa TOEFL (soma chini kuhusu TOEFL)
kama haujafanya mtihani wa TOEFL (Test of English as a Foreign Language), fanya hima uende pale British Council mitaa ya Posta ili kujiandikisha. Waambie watume majibu directly kwenda chuo ulichochagua as your first choice, (utajua anuani ya chuo baada ya kufanya application online).
Why spend millions kusoma UK, US au Asia wakati unaweza kusoma bure Ulaya kwa kiingereza?
Kila la heri
Vyuo vingi vinafundisha kozi kwa kiingereza.
Procedure ni simple sana:
1. Tafuta vyuo na kozi unazotaka kusoma kwa ajili ya BA au BSc.
list ya vyuo na website zao waweza kupata kupitia anuani:
http://www.minedu.fi/OPM/Koulutus/ammattikorkeakoulutus/ammattikorkeakoulut/?lang=en
2. Jaza fomu online kupitia anuani:
https://www.admissions.fi/
(kujaza fomu na kuituma online inachukua kama dakika 10 hivi)
3. Tuma makabrasha yote kabla ya tarehe 19 February 2010 4.15 pm Finnish time.
vyeti vya kutuma ni:
(a) A copy of the original form 4 and/or form 6 certificate
(b) Majibu ya mtihani wa kiingereza wa TOEFL (soma chini kuhusu TOEFL)
kama haujafanya mtihani wa TOEFL (Test of English as a Foreign Language), fanya hima uende pale British Council mitaa ya Posta ili kujiandikisha. Waambie watume majibu directly kwenda chuo ulichochagua as your first choice, (utajua anuani ya chuo baada ya kufanya application online).
Why spend millions kusoma UK, US au Asia wakati unaweza kusoma bure Ulaya kwa kiingereza?
Kila la heri