Mponjoli
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 668
- 152
Wadau naomba kuwasilisha mada yangu ijadiliwe hapa JF na pia watu watoe maoni ni namna gani tutakomesha hili suala.
Kuna mtundo umezuka pale UDSM kwenye ofisi inayohusika na utoaji wa transcript na vyetu kwa wahitimu. Mara nyingi unapoomba kupatiwa transcript yako inachukua muda mrefu sana kuhudumiwa.
Kimsingi, inatakiwa ichukue maximum of 7 days kupata transcript yako,lakini kinyume na hapo, pale jamaa wako in
efficient sana na inachukua zaidi ya mwezi kupata transcript yako.
Hivi karibuni umejitokeza mtindo wa kudai choochote ili transcript yako iwahi kutoka. Kuna watumishi pale ukiwapa pesa kidogo unapewa transcript yako baada ya siku moja.
Kinachoshangaza kwa sasa wanaprocess transcript za mwezi December wakati ilitakiwa mtu aliyefanya application last week apate transcript this week.
Kibaya zaidi ni kuwa,kuna watu wanatoa chochote na wanachukua transcript after one week.
UDSM tumesoma kwa shida sana lakini hata vyeti vyetu kuchukua inakuwa shida hivyo hivyo.
Najua wadau wengi mmekutana na usumbufu huu, naomba tuchange mawazo ni namna gani tutakomesha hili suala pale.
Transcript ni haki ya mtu,kwanini kusiwe na utaratibu mzuri wa kutoa? Kuna watu wanatoka mikoani kufuata transcript zao lakini inawachukua zaidi ya mwezi kwa sasa,inabidi warudi bila transcript huku wakiwa wametimiza masharti yote ya kupata.
Lini ofisi za serikali zitakuwa efficient na kuacha kuweka mazingira ya rushwa kiasi hiki?
Kuna mtundo umezuka pale UDSM kwenye ofisi inayohusika na utoaji wa transcript na vyetu kwa wahitimu. Mara nyingi unapoomba kupatiwa transcript yako inachukua muda mrefu sana kuhudumiwa.
Kimsingi, inatakiwa ichukue maximum of 7 days kupata transcript yako,lakini kinyume na hapo, pale jamaa wako in
efficient sana na inachukua zaidi ya mwezi kupata transcript yako.
Hivi karibuni umejitokeza mtindo wa kudai choochote ili transcript yako iwahi kutoka. Kuna watumishi pale ukiwapa pesa kidogo unapewa transcript yako baada ya siku moja.
Kinachoshangaza kwa sasa wanaprocess transcript za mwezi December wakati ilitakiwa mtu aliyefanya application last week apate transcript this week.
Kibaya zaidi ni kuwa,kuna watu wanatoa chochote na wanachukua transcript after one week.
UDSM tumesoma kwa shida sana lakini hata vyeti vyetu kuchukua inakuwa shida hivyo hivyo.
Najua wadau wengi mmekutana na usumbufu huu, naomba tuchange mawazo ni namna gani tutakomesha hili suala pale.
Transcript ni haki ya mtu,kwanini kusiwe na utaratibu mzuri wa kutoa? Kuna watu wanatoka mikoani kufuata transcript zao lakini inawachukua zaidi ya mwezi kwa sasa,inabidi warudi bila transcript huku wakiwa wametimiza masharti yote ya kupata.
Lini ofisi za serikali zitakuwa efficient na kuacha kuweka mazingira ya rushwa kiasi hiki?