Hapo nyuma kidogo nilileta thread hapa jamvini juu ya ufisadi wa walimu wa shule za msingi na sekondari Dar es Salaam, hakuna aliyechangia lakini wachache waliisoma.
Nawapongeza IPP media...
Wadau wote waliomaliza Azania high school kidato cha sita mwaka 1997 mpo wapi?Tutafutane dunia imekuwa kama kijiji ili tubadilishane mawazo na mitazamo.Nawasilisha hoja na michango ya mawazo...
The 'Educated' SlaveKwaku Person-Lynn
One of the most miscalculated assumptions is that when a person receives a college degree, whether undergraduate or graduate, that individual is now...
Hello JF,
I need to know the Population figures for Tanzania in categories below
1. By end 2009
2. By end 2010 (Projected)
I have tried to search in Natinal Bureau of statistics website but...
Watu wamekuwa wakitatizwa na matatizo ya kimaisha kama vile (kijamii i.e mapenzi, kikazi, kifamilia, kiuchumi na kisiasa). Almost kila mmoja wetu ameshapitia dhahma moja au nyingi kutokana na...
Hi wana JF
Kutokana na baadhi ya watu kutokufahamu vizuri jinsi ya kuomba scholarship, Nimeona itakuwa vizuri kuweka baadhi ya procedure hapa vile vile anayetaka kusoma na kupata ufahamu zaidi...
Mnaweza kuutafakari vipi msemo ufuatao kama ulivyotundikwa katika website ya www.us.camfed.org
"When you educate a girl in Africa, everything changes. Shell be three times less likely to get...
wajameni, nafikiri huu ndo muda muafaka kuomba scholarship mbalimbali ili watu wasome mwaka huu au mwakani. humu JF najua kuwa wataalamu wengi sana wa kuona link za scholarship, tunaomba basi...
Siku za karibuni tumeshuhudia matokeo mabovu katika ngazi mbalimbali za elimu, kidato cha nne, sita na kidato cha pili. Pia matokeo ya mtihani wa darasa la saba hayaridhishi. Pia tumeshuhudia...
MKOA wa Singida umepata mafanikio makubwa mno kwa upande wa ujenzi wa shule za sekondari za kata. Shule hizi ambazo wakati mwingine zinajulikana kwa jina la shule za wananchi, zimejengwa kwa kasi...
Niliona vijana wakijitetea kwenye TBC1 kwa nini wanafeli mitihani ya form four Mbeya:
Walimu wa kike wanafaa vimini darasani na kuwadistruct wanafunzi attention zao hata hawaelewi kitu
Walimu wa...
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh.
Matokeo duni ya shule za Sekondari yanasababishwa na Serikali kutoshughulikia matatizo yanayochangia wanafunzi kufeli.
Hayo...
Friday, February 12, 2010 10:41 AM
MSICHANA Joyce Aloyce [18] mkazi wa Shekilango jijini Dar es Salam, ametoweka nyumbani kwao baada ya kupata majibu yake ya kidato cha...
Nimesikitishwa sana na matokeo ya kidato cha nne. Katika matokeo hayo zaidi ya 82% ya wanafunzi waliofanya mtihani, wamepata division zero au four!!!!!! Tunaenda wapi??? Ni lazima tujiulize...
Hello fellow member!
I need help on ideas about challenges faced by both general Teachers and pupils with hearing impairment(deaf pupils) in general classes' settings, plz kama kuna mtu mwenye...
Hivi kuna mvumbuzi au scientist wa nguvu like elbet eistern, Galileo, Isaac newton, Kekule, Kalman , sharpov, n.k ambaye ni black?
Kama yupo anaitwa nani na alifanya nini?
Kama hakuna ni...
Nafikiri serikali ya Tanzania(SISIEM ),inabidi itoe heshima ya hali ya juu
kwa chuo hiki kwa kuelimisha Viongozi wetu wengi kuanzia Mh Lukuvi (BA degree ) Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam ,Mbunge wa...
1.Maskini,waoga na washamba-SUA
2.Matajiri,wajanja na wenye akili-MZUMBE
3.Wenye akili chache,wavivu na matozi,master duu-CBE DAR
4.Malaya, wasanii,wauza sura na wasio jiweza kiakili-IFM
5.Upeo...