DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,663
- 3,881
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.
Nina swali kuhusu hii Bsc in Data Management inayotolewa pale Open University of Tanzania.
1- Competency, unaweza kutoka ukiwa competent enough kwa nature ya shule ya distance learning to be specific pale OUT?
2- Baada ya ku-graduate, chances za kupata ajira au kujiajiri ikoje, thank you.
Regards,
Da Hustla.
Nina swali kuhusu hii Bsc in Data Management inayotolewa pale Open University of Tanzania.
1- Competency, unaweza kutoka ukiwa competent enough kwa nature ya shule ya distance learning to be specific pale OUT?
2- Baada ya ku-graduate, chances za kupata ajira au kujiajiri ikoje, thank you.
Regards,
Da Hustla.