Msaada wenu jamani. Kuna dogo anasoma ualimu wa shule ya msingi na ameniuliza hili
"Mtaala tunaona kuwa ni mpango ulioandaliwa kwa ajiri ya kufundishia na
kujifunzia kwa lengo la kuwapatia walengwa maarifa,stadi na mielekeo.
Je mtaala unaandikwa? Baadhi ya wakufunzi wanasema hauandikwi na
wengine unaandikwa. .naomba uniambie unavyoelewa"
kweli hata mimi ni sawa na hao wakufunzi wake tu, maana sina jibu. Nilisoma kozi moja inaitwa Curriculum Development (CT200 au 201 kama sikosei) pale UDSM. Lakini kweli sikuwahi kuhangaika kujiuliza swali analouliza dogo. Na kweli ukiangalia sijawahi kuona Curriculum in a written form (kumbuka Curriculum siyo Syllabus!).
Naombeni msaada kwa anayejua. Najua kabisa kuna Lecturers wa hizo kozi kwenye hili jukwaa. Naomba jibu jamani. Hawa jamaa Tanzania Institute of Education nao kwenye site yao hakuna chochote. Wametoa list tu ya syllabus basi.
"Mtaala tunaona kuwa ni mpango ulioandaliwa kwa ajiri ya kufundishia na
kujifunzia kwa lengo la kuwapatia walengwa maarifa,stadi na mielekeo.
Je mtaala unaandikwa? Baadhi ya wakufunzi wanasema hauandikwi na
wengine unaandikwa. .naomba uniambie unavyoelewa"
kweli hata mimi ni sawa na hao wakufunzi wake tu, maana sina jibu. Nilisoma kozi moja inaitwa Curriculum Development (CT200 au 201 kama sikosei) pale UDSM. Lakini kweli sikuwahi kuhangaika kujiuliza swali analouliza dogo. Na kweli ukiangalia sijawahi kuona Curriculum in a written form (kumbuka Curriculum siyo Syllabus!).
Naombeni msaada kwa anayejua. Najua kabisa kuna Lecturers wa hizo kozi kwenye hili jukwaa. Naomba jibu jamani. Hawa jamaa Tanzania Institute of Education nao kwenye site yao hakuna chochote. Wametoa list tu ya syllabus basi.