kwa wale wa mathematics!,

halaf ndo utakua eng baadae duh.kweli math sio mapishi angalia mie ninavyo kupa njia mbili afu 1 october nakuja hapo hapo.coet na mie ndo nakuja kuanza mwaka wa kwanza chem & prcssn eng.naanza na njia ya kwanza1.umepewa 2logx=x/25.let y=2logx then y=x/25 chora table of result then graph dem af angalia intersection utapata jibu.njia ya pili2.umepewa 2logx=x/25 then 2logx-x/25=0,then let f(x)=y=0,then f(x)=2logx-x/25.chora graph ya f(x) af angalia sehemu katika graph ambapo f(x)=0 it is the answer.note EVERY PROBLEM HAS SOLN or SOLNS
 
OLNS[/QUOTE]. Hongera na karibu coet. Ila coet ukija hiz njia zako feki tupa kule. Swali halina njia .am 4th yr coet
 
Jibu ni 100 ila kwa njia ya Trial&Error... Chora table, row ya kwanza 2logx, table ya pili x/25 then kwenye column anza kutumia akili ya kuzaliwa unajaza numbers hadi upate same soln... kwa sasa sina njia nyingine..... Mzumbe High School PCM
 
. Hongera na karibu coet. Ila coet ukija hiz njia zako feki tupa kule. Swali halina njia .am 4th yr coet[/QUOTE]

dogo hizo MT ulizosoma hapo coet ndo unaona umesoma kila kitu.course zenyewe sijui kama zinazidi nne halafu ni MT for non major.sijui kama umesoma course ya analysis hata moja dio maana unasema hivi.
 
. Hongera na karibu coet. Ila coet ukija hiz njia zako feki tupa kule. Swali halina njia .am 4th yr coet

dogo hizo MT ulizosoma hapo coet ndo unaona umesoma kila kitu.course zenyewe sijui kama zinazidi nne halafu ni MT for non major.sijui kama umesoma course ya analysis hata moja dio maana unasema hivi.[/QUOTE]

you have 2 b srous
 
swali lolote lenye jibu lina njia wakubwa!!
Chemsheni ubongo!!
 
hilo swali balaa nilienda shule fulani kupiga tempo nikapewa na madogo ila nilifoji njia ikaja 100.....kwani niliona nitadhalilika hapa mjini na ukizingatia nimepga pcm alaf nasoma eng..........
 
I'll be back!!!
I am back now!!

2Logx = x/25

Divide by x both sides
(2/X)logx = 1/25

logx [SUP](2/x)[/SUP] = 1/25


Remove log sign
10[SUP](1/25) [/SUP]= x[SUP](2/x)

[/SUP]Take √ both sides(but √ means power 1/2)
so, from √10[SUP](1/25) [/SUP]=√x [SUP](2/x)[/SUP]

we will get
10[SUP]1/25(1/2)[/SUP] = x[SUP]2/x(1/2)

[/SUP]simplify on exponents
10[SUP]1/50[/SUP] =x[SUP]1/x

[/SUP]10[SUP]2/2*1/50[/SUP] =x[SUP]1/x[/SUP] note 2/2=1, so will not change the value of exponent
10[SUP]2(1/100)[/SUP] =x[SUP]1/x

[/SUP]100[SUP]1/100[/SUP] = x [SUP]1/x[/SUP]

x = 100
O-Level, Azania '96 - '99

 
I am back now!!

2Logx = x/25

Divide by x both sides
(2/X)logx = 1/25

logx [SUP](2/x)[/SUP] = 1/25


Remove log sign
10[SUP](1/25) [/SUP]= x[SUP](2/x)

[/SUP]Take √ both sides(but √ means power 1/2)
so, from √10[SUP](1/25) [/SUP]=√x [SUP](2/x)[/SUP]

we will get
10[SUP]1/25(1/2)[/SUP] = x[SUP]2/x(1/2)

[/SUP]simplify on exponents
10[SUP]1/50[/SUP] =x[SUP]1/x

[/SUP]10[SUP]2/2*1/50[/SUP] =x[SUP]1/x[/SUP] note 2/2=1, so will not change the value of exponent
10[SUP]2(1/100)[/SUP] =x[SUP]1/x

[/SUP]100[SUP]1/100[/SUP] = x [SUP]1/x[/SUP]

x = 100
O-Level, Azania '96 - '99


Good nimekubali
 
I am back now!!

2Logx = x/25

Divide by x both sides
(2/X)logx = 1/25

logx [SUP](2/x)[/SUP] = 1/25


Remove log sign
10[SUP](1/25) [/SUP]= x[SUP](2/x)

[/SUP]Take √ both sides(but √ means power 1/2)
so, from √10[SUP](1/25) [/SUP]=√x [SUP](2/x)[/SUP]

we will get
10[SUP]1/25(1/2)[/SUP] = x[SUP]2/x(1/2)

[/SUP]simplify on exponents
10[SUP]1/50[/SUP] =x[SUP]1/x

[/SUP]10[SUP]2/2*1/50[/SUP] =x[SUP]1/x[/SUP] note 2/2=1, so will not change the value of exponent
10[SUP]2(1/100)[/SUP] =x[SUP]1/x

[/SUP]100[SUP]1/100[/SUP] = x [SUP]1/x[/SUP]

x = 100
O-Level, Azania '96 - '99


Aminia mkuu,
Ulivyosema you will be back nlifikiri umeingia mitini!!
 
I am back now!!

2Logx = x/25

Divide by x both sides
(2/X)logx = 1/25

logx [SUP](2/x)[/SUP] = 1/25


Remove log sign
10[SUP](1/25) [/SUP]= x[SUP](2/x)

[/SUP]Take √ both sides(but √ means power 1/2)
so, from √10[SUP](1/25) [/SUP]=√x [SUP](2/x)[/SUP]

we will get
10[SUP]1/25(1/2)[/SUP] = x[SUP]2/x(1/2)

[/SUP]simplify on exponents
10[SUP]1/50[/SUP] =x[SUP]1/x

[/SUP]10[SUP]2/2*1/50[/SUP] =x[SUP]1/x[/SUP] note 2/2=1, so will not change the value of exponent
10[SUP]2(1/100)[/SUP] =x
[SUP]1/x

[/SUP]100[SUP]1/100[/SUP] = x [SUP]1/x[/SUP]

x = 100
O-Level, Azania '96 - '99


mboni inaonekana kama copy and paste hiyo mzee hasa kuanzia hapo kwenye bluu
 
Back
Top Bottom