ruston8919
Member
- Mar 31, 2012
- 68
- 14
ndugu zangu wale PC'S vyet vya form 6 mwaka 2011 vimerudi baraza la mitihani na ili kupat wanadai 20,000 yani kuna usumbufu ndugu zangu, so ushari wangu fuatilieni mapema mim mwenyewe ni mhusika na kesho ndo naenda baraza kujaribu.