Ze Blessed
Senior Member
- Aug 12, 2012
- 123
- 13
Kwa wale wa sua mchanganuo wa ada umeshatoka tayari, labda niwasaidie kwa wale wa agricultural eng,
meal n acmdatin 1,980,000.
Field work 620,000.
Special facult 175,000.
Buk n statinary 200,000.
Hapo kuna ela ya ada ambayo bod wamekulpia mf. Mm wamenilpia 907,800, so iliyobaki kwenye ada ni 355,200 ndo natakiwa nilipe ambapo ni asilmia 71.8.
Note huo mgawanyo ni kwa kila mwanachuo ila tunatofautiana kwenye field na special facult.
Nawasilisha
meal n acmdatin 1,980,000.
Field work 620,000.
Special facult 175,000.
Buk n statinary 200,000.
Hapo kuna ela ya ada ambayo bod wamekulpia mf. Mm wamenilpia 907,800, so iliyobaki kwenye ada ni 355,200 ndo natakiwa nilipe ambapo ni asilmia 71.8.
Note huo mgawanyo ni kwa kila mwanachuo ila tunatofautiana kwenye field na special facult.
Nawasilisha