mwaka 2009/2010 nilipokuwa first year tulimkuta Mr Kiswaga (ccm) akiwa raisi wa DARUSO ingawa inasemekana alipitishwa na watawala kimizengwe. nilishtuka sana kuambiwa kuwa umma wa wanaudsm...
Nina mdogo wangu udom, cha kushangaza anapewa mkopo toka bodi lakin mpaka sasa anadai wamepewa baadhi! Huu ni unyanyasaji na usumbufu kwa wazazi, why udom si bure kuna tatizo
Kwenye taarifa ya star tv wamemuonesha mwalimu mmoja wa shule ya msingi ambaye anafanya kazi hiyo baada ya masaa ya kazi. Nimesahau jina na halmashauri yake. Imeniumiza sana kwa kweli, tena...
Tufanye nini kumaliza janga hili...Mkopo kwa elimu ya juu unakwisha kabla ya semista kufika katikati???
Mwenye mbinu bunifu?
Nini zaidi kifanyike kumaliza janga hili??
Wenye mkopo tu ndo wajibu...
Chanzo cha habari hii ni redio mlimani jijini Dar es salaam.
Mkuu wa shule bagamoyo alimdangaya mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa pwani.
Tatizo ni mgogoro wa kiimani baina ya wanafunzi wakiislam na...
Katika kile na kutoamini ulilolitoa kwenye vyombo vya habari, umeshindwa kutumia busara
Mgogoro katika sekondari ya Bagamoyo si kama ulivyoambiwa na kuchukua hatua kutangaza nilichosikia
kupitia...
Maajabu ya chumvi
(kutoka http://maajabuyamaji.net) Stori kuhusu chumvi:
Tunapata chumvi nyingi kwenye vyakula vyetu siku hizi. Chumvi nyingi itasababisha shinikizo la...
Leo hii raisi mstaafu,Benjamini Mkapa,anatarajiwa kuwa mgeni rasmi ktk mahafali ya tatu ya chuo kikuu cha st. Johns hapa Dodoma maeneo ya Kikuyu.Maandaliza yanakwenda vizuri na sherehe inatarajiwa...
Wapendwa, nimeisoma hii naona nishare na wenzangu ambao bado wanasoma Chuo hiki. Yaani kwa PhD to have 42 graduates kwa wakati mmoja hata mimi nashangaa. Kumbuka kwamba chuo hiki hata hapa kwetu...
Great thinkers naombeni mnisaidie jamani.
Nimlimaliza secondari mwaka jana nikapata div 4 ya 26.
English - c
bios - c
math- f
kisw- d
[phys- d
chem- d
geog- d
civ- d
history - d.
Shida yangu...
Kwa uchunguzi mdogo uliofanyika watoto wa maskini hufanya vizuri katika mitihani ya kidato cha nne na sita.Lakini asilimia kubwa hawaendelei na elimu ya chuo kikuu na hii imetokana na kuwa...
1) Every partner acting on behalf of the firm acts as agent for the firm and list for other partners required.
a)Discuss the validity of this statement
Mimi ni mwalimu niliyejiendeleza kutoka ngazi ya certificate hadi hatua ya shahada,
tatizo ni kuwa nimeshinikizwa kuhamia sekondari bila hata kulipwa stahili zangu za uhamisho na kwa upande wa...
Discuss the rules of insanity and clearly explain any exception under the rule. In your answer explain whether If who received a divine order in his sleep to sacrifice his child of five years of...
naombeni msaada kwa wale wanaoijua BBAWITH EDUCATION ya pale st john's universty
pindi unapofika muda wa kuspecialize(semister ya pili mwaka wa2) ambapo kuna electives kama
*human resources...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.