Discuss the rules of insanity and clearly explain any exception under the rule. In your answer explain whether If who received a divine order in his sleep to sacrifice his child of five years of...
naombeni msaada kwa wale wanaoijua BBAWITH EDUCATION ya pale st john's universty
pindi unapofika muda wa kuspecialize(semister ya pili mwaka wa2) ambapo kuna electives kama
*human resources...
Mkuu wa chuo cha kiislamu morogoro Hajjat Mwantumu Malale akitoa cheti kwa mwanafunzi bora wa chuo hicho!
Graduates hao!
Swali ni kwamba: hivi siasa inaweza ikasababisha hawa graduates...
Habari zenu wana wa jf...nahitaji kujua mtu mwenye bachelor degree ya NTA level 6 na mtu wenye bachelor degree ya NTA level 8 ni yupi kati yao anaweza kusoma masters kwa haraka zaidi?..au ni sifa...
Greyfade Company Ltd is organizing one week training to equip participants with the skills, knowledge and techniques of designing, developing and maintaining good websites without even being...
Jamani ushauri wenu ni muhimu nachukua bachelor of public administration in records and archieves management ni kozi mpya vp wanajamii ina market tanzania?
"THE PRINCIPAL GOAL OF EDUCATION IN THE SCHOOLS SHOULD BE CREATING BOYS AND GIRLS WHO ARE CAPABLE OF DOING NEW THINGS NOT SIMPLY REPEATING WHAT OTHER GENERATIONS HAVE DONE MEN AND WOMEN WHO ARE...
Habari za alfajiri wana Jf, najitokeza kwenye jukwaa hili kuomba msaada wa kutafsiriwa mail niliyotumiwa na rafiki yangu anayekaa Ujerumani. Naomba aliyetayari kunisaidia aniambie ili nim Pm huo...
Habari wana jamii forum! Nisaidieni hili swali, provide the critical analysis of the free market structures can play an attractive role in the development of neo-colonial african countries by...
Katika hali inayodhihirisha kuwa kuna binadamu walizaliwa bila haya, aliyewahi kuwa Meya wa jiji la DSM Abbas Kimbisa, ametoa pendekezo kwenye kikao cha CCM kinachofanyika DODOMA kukibadili jina...
Uamuzi wa kufunga Shule ya Sekondari ya Kibiti ulitoka na maamuzi ya Bodi ya Shule hiyo katika kikao chao walichofanya Jumatano ya 14/11/2012, na utekelezaji wake kufanyika Alhamisi ya 15/11/2012...
Wanajamvi taarifa nilizonazo ni kuwa wale Wanafunzi wa8 ambao walikuwa wakiwaongooza wanafunzi wenzao wa Kiislamu kumshinikiza Mkuu wa Shule hiyo atoke au ahamishwe leo wamesimamishwa masomo...
Mimi ni mhitimu wa UDOM kwa mwaka 2011. Tuliambiwa tulipie Tsh 45,000/= kukiwa na mchanganuo wa Tsh. 25,000/= kwa ajili ya malipo ya majoho na Tsh. 20, 000/= kama dhamana ya Joho, yaani...
+++ AFRIKA KOMMT! Scholarship Programme 2013-2015 +++ Open for Applications +++
Afrika Kommt! (Africa is Coming) is an initiative of leading German DAX-listed enterprises and large family-run...
Na Daniel Mjema : moshi:
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) lina mpango wa kuanzisha vyuo vikuu vitatu vitakavyokuwa vyuo vikuu vishiriki vya chuo kikuu cha Makumira...
Bodi ya shule ya sumve high school imewarudisha nyumbani wanafunzi wote wa kidato cha sita baada ya kugomea adhabu waliyopewa na makamu mkuu wao wakidai wanataka kwanza wasikilizwe matatizo yao
Wadau,
Wale tuliogonga pepa za NBAA leo, poleni sana. Maana kitu cha MA kilisimama sana, na wale wa Module E naona IF ilikua ndefu mno.
Masaa matatu yasingetosha kumaliza yale maswali yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.