Tunapenda kuwasilisha kero yetu kama wanafunzi wa masomo ya Ubingwa na Ubingwa Bobezi katika Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS).
Wakati wa kujiunga na masomo...
Ninaomba kuwasilisha ombi kwa Serikali kuhusu hali ya miundombinu katika Shule ya Msingi Bumu iliyopo Mkoa wa Morogoro, Wilaya ya Mvomero, Tarafa ya Mgeta, Kata ya Langali, Kijiji cha Bumu.
Hii...
Ninaomba kuwasilisha kero kuhusu hali mbaya ya miundombinu katika Shule ya Sekondari ya Pendamoyo Secondary School, iliyopo Temeke Municipal, mtaa wa Pendamoyo (ukitokea Sokota kuelekea Msikiti wa...
Shule ya Msingi NANJANGA iliyopo kata ya Ngunja Halmashauri ya Tandahimba haina nyumba ya mwalimu kitu ambacho kinalazimika mwalimu mkuu kulala ofisini.
Muda wa kazi ukiisha, ofisi inageuzwa kuwa...
Wazazi na wanafunzi tunalalamikia tabia ya baadhi ya walimu wa Shule za Msingi Gmhasa iliyopo Ilala, Dar es Salaam kuwashinikiza watoto kuhudhuria shule siku za mwisho wa wiki (Jumamosi), pamoja...
Wadau, wakiwemo baadhi ya wazazi wa wanafunzi katika shule moja ya sekondari ya wasichana iliyopo Wilaya ya Kigamboni, Mkoa wa Dar es Salaam (jina linahifadhiwa), wametoa wito kwa mmiliki wa shule...
Chuo cha Afya cha Chato ada yake ni Shilingi 1.7M kwa Kozi za Clinical Dentistry na Radiography wakati vyuo vingine vya serikali ada ni Shilingi 1.2M maximum, kwanini chuo hicho kiwe na ada kubwa...
Kutoka Jiji la Mbeya, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa baadhi ya wazazi kuhusu shule za msingi zinazowatoza wanafunzi wa madarasa ya mitihani (Darasa la Nne na Darasa la Saba) fedha kwa ajili ya...
Ninaomba kuwasilisha kero kuhusu uhaba mkubwa wa walimu wa somo la Literature katika shule nyingi za serikali kwa ngazi ya kidato cha tano na sita.
Serikali ilianzisha kombi mpya za masomo...
Sisi wanafunzi na wahitimu wa programu za Technical Education in Engineering (Civil, Electrical na Mechanical) katika Mbeya University of Science and Technology (MUST), tunakabiliwa na changamoto...
HII NDIO LIST YA HUDUMA UTAKAZOPATA KWETU
HUDUMA KATIKA MASUALA YA AJIRA
1. KUJISAJILI AJIRAPORTAL
2. KUJISAJILI TAESA
3. KUJISAJILI KATIKA BANK PORTALS
4. KUANDAA APPLICATION LETTER
5. KU EDIT...
Mimi mwanafunzi wa degree institute of social Work campus ya dar es salaam.
Nimeathirika kisaikolojia baada ya kuzuiwa kufanya mtihani wa continuous assessment (CA) kwasababu sijalipa ada kwenye...
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) leo, tarehe 1 Juni 2026, kimewaapisha viongozi wapya waliochaguliwa kuiongoza Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOSO) kwa mwaka wa uongozi 2026/27...
Baadhi ya Maafisa wa NACTVET wanafelisha vyuo vya kati, kuchelewesha kua-prove maombi yao ili wasipate AVN Number kwa wakati washindwe kwenda vyuo vikuu, lakini wanafanya hivyo ili kupewa rushwa...
WanaJF salamu,
Ninaleta mada hii mbele yenu nikiwa na majonzi na masikitiko makubwa kutokana na hali halisi inayojiri katika Chuo cha Maji (Water Institute) kwenye Muhula huu wa Pili (Semester...
Wakuu naombeni msaada wenu wa kimawazo kwenye hili.
Mimi ni mwalimu wa physics na chemistry ila sijabahatika kupata ajira serikalini, sasa kuna shule mbili nafundisha let say shule X na shule Y...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.