Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Anonymous
Tunapenda kuwasilisha kero yetu kama wanafunzi wa masomo ya Ubingwa na Ubingwa Bobezi katika Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS). Wakati wa kujiunga na masomo...
0 Reactions
0 Replies
70 Views
Anonymous
Ninaomba kuwasilisha ombi kwa Serikali kuhusu hali ya miundombinu katika Shule ya Msingi Bumu iliyopo Mkoa wa Morogoro, Wilaya ya Mvomero, Tarafa ya Mgeta, Kata ya Langali, Kijiji cha Bumu. Hii...
1 Reactions
3 Replies
187 Views
Anonymous
Ninaomba kuwasilisha kero kuhusu hali mbaya ya miundombinu katika Shule ya Sekondari ya Pendamoyo Secondary School, iliyopo Temeke Municipal, mtaa wa Pendamoyo (ukitokea Sokota kuelekea Msikiti wa...
1 Reactions
4 Replies
147 Views
Anonymous
Shule ya Msingi NANJANGA iliyopo kata ya Ngunja Halmashauri ya Tandahimba haina nyumba ya mwalimu kitu ambacho kinalazimika mwalimu mkuu kulala ofisini. Muda wa kazi ukiisha, ofisi inageuzwa kuwa...
1 Reactions
2 Replies
89 Views
Anonymous
Wazazi na wanafunzi tunalalamikia tabia ya baadhi ya walimu wa Shule za Msingi Gmhasa iliyopo Ilala, Dar es Salaam kuwashinikiza watoto kuhudhuria shule siku za mwisho wa wiki (Jumamosi), pamoja...
2 Reactions
7 Replies
168 Views
Anonymous
Wadau, wakiwemo baadhi ya wazazi wa wanafunzi katika shule moja ya sekondari ya wasichana iliyopo Wilaya ya Kigamboni, Mkoa wa Dar es Salaam (jina linahifadhiwa), wametoa wito kwa mmiliki wa shule...
0 Reactions
4 Replies
154 Views
Anonymous
Chuo cha Afya cha Chato ada yake ni Shilingi 1.7M kwa Kozi za Clinical Dentistry na Radiography wakati vyuo vingine vya serikali ada ni Shilingi 1.2M maximum, kwanini chuo hicho kiwe na ada kubwa...
0 Reactions
3 Replies
135 Views
Anonymous
Kutoka Jiji la Mbeya, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa baadhi ya wazazi kuhusu shule za msingi zinazowatoza wanafunzi wa madarasa ya mitihani (Darasa la Nne na Darasa la Saba) fedha kwa ajili ya...
0 Reactions
2 Replies
110 Views
Anonymous
Ninaomba kuwasilisha kero kuhusu uhaba mkubwa wa walimu wa somo la Literature katika shule nyingi za serikali kwa ngazi ya kidato cha tano na sita. Serikali ilianzisha kombi mpya za masomo...
1 Reactions
0 Replies
211 Views
Anonymous
Sisi wanafunzi na wahitimu wa programu za Technical Education in Engineering (Civil, Electrical na Mechanical) katika Mbeya University of Science and Technology (MUST), tunakabiliwa na changamoto...
0 Reactions
1 Replies
189 Views
HII NDIO LIST YA HUDUMA UTAKAZOPATA KWETU HUDUMA KATIKA MASUALA YA AJIRA 1. KUJISAJILI AJIRAPORTAL 2. KUJISAJILI TAESA 3. KUJISAJILI KATIKA BANK PORTALS 4. KUANDAA APPLICATION LETTER 5. KU EDIT...
0 Reactions
0 Replies
101 Views
Form four division 1 ya 17 Physics C Chemistry B Biology A Mathematics C Geography B Nimesoma political science ila uchawa nimekataa
8 Reactions
63 Replies
1K Views
Natafuta mawasiliano ya mwalimu au mwanafunzi wa tusheni mchikichini karume naomba msaada.
0 Reactions
1 Replies
67 Views
Wakuu naomba kujuzwa kama kuna chuo cha serikali kilichopo Mbeya kinachotoa kozi ya ICT kwa level ya certificate.Ahsante
0 Reactions
0 Replies
90 Views
CPA's Naomba kujua ety under IAS 8.change on depression method is it a chance on account policy au change on account Estimates
0 Reactions
0 Replies
68 Views
Anonymous
Mimi mwanafunzi wa degree institute of social Work campus ya dar es salaam. Nimeathirika kisaikolojia baada ya kuzuiwa kufanya mtihani wa continuous assessment (CA) kwasababu sijalipa ada kwenye...
0 Reactions
1 Replies
125 Views
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) leo, tarehe 1 Juni 2026, kimewaapisha viongozi wapya waliochaguliwa kuiongoza Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOSO) kwa mwaka wa uongozi 2026/27...
0 Reactions
2 Replies
123 Views
Anonymous
Baadhi ya Maafisa wa NACTVET wanafelisha vyuo vya kati, kuchelewesha kua-prove maombi yao ili wasipate AVN Number kwa wakati washindwe kwenda vyuo vikuu, lakini wanafanya hivyo ili kupewa rushwa...
0 Reactions
2 Replies
174 Views
WanaJF salamu, Ninaleta mada hii mbele yenu nikiwa na majonzi na masikitiko makubwa kutokana na hali halisi inayojiri katika Chuo cha Maji (Water Institute) kwenye Muhula huu wa Pili (Semester...
0 Reactions
11 Replies
246 Views
Wakuu naombeni msaada wenu wa kimawazo kwenye hili. Mimi ni mwalimu wa physics na chemistry ila sijabahatika kupata ajira serikalini, sasa kuna shule mbili nafundisha let say shule X na shule Y...
1 Reactions
20 Replies
259 Views
Back
Top Bottom