Kuna changamoto inayotusumbua sisi wanafunzi wa Chuo cha City College. Kila tunapotaka kufanya uhamisho kwenda vyuo vingine tunazuiliwa na kuambiwa kuwa chuo hakiruhusu kufanya uhamisho.
Hata...
Civilian-Coin Nalimi Kisandu, professionally known as Civilian-Coin is a Tanzanian researcher, journalist, artist, and former political figure. He was born on June 28, 1980, at the district...
Ndugu Katibu Mtendaji,
Napenda kuwasilisha kero na malalamiko yangu pamoja na ya waombaji wengi wanaotumia mfumo wa Central Admission System (CAS) kwa ajili ya kuomba kujiunga na vyuo vya afya...
Habari wanajf.
Natafuta Vyuo vya uchoraji Tanzania,
Kuna mto anapend kuchora na anataka akasomee kozi inayohusiana na kuchora.
So far nimeona kozi ya Performing and visual arts pale Tasuba...
Tunaomba Serikali iingilie kati kuhusu maslahi ya Wafanyakazi wa Shule ya sekondari Mchungaji Mwema iliyopo Wilaya ya Ngara, mkoani Kagera
Wafanyakazi wa shule hiyo tunakabiliwa na changamoto...
Habarini za kazi , Wahitimu wa diploma ya Clinical medicine wa chuo cha Kilimanjaro college of health and allied Sciences (KICOHAS)tulihitimu mwaka 2025 mwezi wa nane mpaka leo hatujapata vyeti...
Tunaomba sauti ya wazazi ifikishwe kwa mamlaka za elimu katika Mkoa wa Mwanza kuhusu suala linalohusu baadhi ya shule kuendelea na masomo hata wakati wa likizo rasmi za wanafunzi.
Kumekuwa na...
Habar wakuu,
Nilikuwa naomba kuuliza vipi kuhusu iyo kozi niliyo iandika hapo juu ambayo inatolewa Ardhi University. Iko poa kwenye swala la ajira na pia inahusiana na nini sana sana?
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kupitia Ndaki ya Biashara na Uchumi (CoBE), leo tarehe 3 Juni katika Ukumbi wa CT1, kimeendesha mjadala maalumu kuhusu nafasi ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi...
Natafuta musaada kubadili combination kwa kijana wangu.
Ndoto yake ni kusoma HGE ama EGM.
Kwa sasa amechaguliwa HGL lakini shule hakuna combination za HGE na EGM.
Natanguliza shukrani.
Chuo Kikuu cha Dodoma kwa kushirikiana na Tume ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wameendesha programu maalum ya uhamasishaji kwa wanafunzi wa mwaka wa mwisho wa Tehama, ikiwa ni sehemu ya...
Hii imetokea leo Shule ya Sekondari Ifuunda Tech iliyoko mkoani Iringa majira ya saa nane mchana baada ya wanafunzi kuvunja baadhi ya samani za shule ikiwemo vioo na kuiba kengele na kuificha...
Habari za saivi wakuu naomba kujuzwa juu ya ubora na mazingira ya DIT mwanza compus ,hiki chuo kizur? na je coz ya science and laboratory techlogy ni nzur? Inaajira za kutosha?
Mimi ni mwanafunzi wa Open University of Tanzania (OUT) na pia ni kiongozi wa serikali ya wanafunzi katika chuo hicho.
Ninapenda kuwasilisha changamoto kubwa inayohusu uendeshaji wa serikali ya...
Katika Kijiji cha Matokeo, Kata ya Langiro wilayani Mbinga mkoani Ruvuma, kumeibuka tuhuma nzito zinazohitaji uchunguzi wa haraka kutoka kwa mamlaka husika.
Inadaiwa kuwa mwalimu mmoja wa Shule...
Mwanafunzi akishindwa kujibu maswali aliyoulizwa kwenye mtihani hufeli mtihani. Tatizo la kutojibu maswali kwa usahihi ni tatizo kubwa sana Tanzania.
Unamuuliza mtu unatoka mkoa gani anakujibu...
Wadau, wakiwemo baadhi ya wazazi wa wanafunzi katika shule ya sekondari ya wasichana ya 'Competence Girls' Islamic Seminary ' iliyopo Wilaya ya Kigamboni, Mkoa wa Dar es Salaam wameendelea kutoa...
Kuna kozi za education zinatutesa sana. Kozi hizi nyingi zinatolewa UDOM.
Mfano bachelor of education in psychology, education in administration and management, education in policy planning...
Tunapenda kuwasilisha kero yetu kama wanafunzi wa masomo ya Ubingwa na Ubingwa Bobezi katika Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS).
Wakati wa kujiunga na masomo...
Ninaomba kuwasilisha ombi kwa Serikali kuhusu hali ya miundombinu katika Shule ya Msingi Bumu iliyopo Mkoa wa Morogoro, Wilaya ya Mvomero, Tarafa ya Mgeta, Kata ya Langali, Kijiji cha Bumu.
Hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.