KERO
Mimi kama mzazi na mdau wa elimu shule ya sekondari mchungaji mwema iliyoko chini ya dayosisi ya Kagera nakelwa na mambo kama haya
1. Walimu KUNYIMWA MKATABA ambao ni silaha ya kulinda ajira...
Waombaji wa kozi za afya ngazi ya diploma kupitia NACTVET wanakumbana na changamoto kubwa ya mtandao wa maombi unaojulikana kama CAS kushindwa kufunguka.
Kwa sasa ni siku ya tano mfululizo mfumo...
Kwa niaba ya wanafunzi tuliohitimu mwaka 2025 katika Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka (SLADS), tunaomba kupaza sauti kuhusu changamoto kubwa tunayoipata ya kucheleweshewa vyeti vyetu.
Tangu...
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na tabia inayozidi kuonekana katika baadhi ya shule binafsi hapa Dar es Salaam ambapo wanafunzi, hata wale wa Darasa la Kwanza wenye umri wa miaka sita au...
Wanafunzi wa MUST Mbeya Tunaomba Majibu Kuhusu Kuchelewa kwa Boom ya HESLB kwa Watumiaji wa CRDB
Tunapaza sauti yetu kama wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kuhusu...
Watu naona wanauliza uliza siri ya mafanikio ya baadhi ya shule binafsi za sekondari hapa nchini, siri ziko 2 tu, kwanza sio siri maana hizi mbinu japo sikubaliani nazo ila zinafahamika na...
Chuo cha afya cha paradigms hakitaki kuwaacha wanafunzi wahame au kujitoa kwenye mfumo wa NACTVET hata kama hawadaiwi msajili wao anaitwa SHABANI MRINGO ni mtoto wa mkurugenzi anajiona ni mungu...
Ikumbukwe wahitimu wa vyuo vya afya diploma vyeti vyao huwa vinatoka NACTEVET nakupelekwa vyuoni.
Ila cha kushangaza wanafunzi wa vyuo vingine wameishapokea vyeti vyao toka mwezi wa pili mwaka...
Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha Kolandoto Colage of Health Science kilichopo Shinyanga Kolandoto, tunapitia changamoto zakutosha sana wanafunzi nitaje baadhi;
1. Wanafunzi tumekuwa tukifelishwa na...
Nina binti anayesoma Kidato cha Tatu katika Shule ya Bright Future Secondary School, iliyoko Msongola. Awali, shule hii ilikuwa chaguo letu bora kabisa—ndoto yangu na ya mwanangu ilikuwa asome...
ELIMU: Elimu ya Msingi
NGAZI YA MSHAHARA: TGTS C
KITUO NILIOPO: Tabora Municipal Council (Tabora MC) – Makao makuu ya mkoa, huduma na miundombinu iko vizuri sana.
KITUO UNACHOHITAJI: Dar es Salaam...
Kero yangu ni Shule za Private kuhamisha wanafunzi ambao wanaona hawatapata division one form 4, wanawaandikisha wafanye mtihani Shule zingine bila kuwashirikisha wazazi. Kwa kweli inakera sana...
Baadhi ya shule za sekondari za serikali katika kipindi hiki cha likizo, zipo ambazo zinaendelea kuwalazimisha wanafunzi kuhudhuria masomo bila utaratibu unaoeleweka.
Mfano, Shule ya Sekondari...
Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesaini hati tatu za makubaliano ya ushirikiano wa kielimu na Urusi zitakazowezesha kubadilishana wataalamu, kuimarisha tafiti za pamoja na...
ELIMU: Elimu ya Msingi
NGAZI YA MSHAHARA: TGTS C
KITUO NILIOPO: Tabora Municipal Council (Tabora MC) – Makao makuu ya mkoa, huduma na miundombinu iko vizuri sana.
KITUO UNACHOHITAJI: Dar es Salaam...
Jamani naomba nipate maelezo ya kina imekuwaje baadhi ya wanafunzi wamepangiwa somo la computer kwenye combination ya advance kwenye michepuo wa PMCs ilhali o level hawakuwahi kusoma Computer...
Kuna changamoto inayotusumbua sisi wanafunzi wa Chuo cha City College. Kila tunapotaka kufanya uhamisho kwenda vyuo vingine tunazuiliwa na kuambiwa kuwa chuo hakiruhusu kufanya uhamisho.
Hata...
Civilian-Coin Nalimi Kisandu, professionally known as Civilian-Coin is a Tanzanian researcher, journalist, artist, and former political figure. He was born on June 28, 1980, at the district...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.