Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Anonymous
KERO Mimi kama mzazi na mdau wa elimu shule ya sekondari mchungaji mwema iliyoko chini ya dayosisi ya Kagera nakelwa na mambo kama haya 1. Walimu KUNYIMWA MKATABA ambao ni silaha ya kulinda ajira...
0 Reactions
0 Replies
81 Views
Anonymous
Waombaji wa kozi za afya ngazi ya diploma kupitia NACTVET wanakumbana na changamoto kubwa ya mtandao wa maombi unaojulikana kama CAS kushindwa kufunguka. Kwa sasa ni siku ya tano mfululizo mfumo...
0 Reactions
0 Replies
92 Views
Anonymous
Kwa niaba ya wanafunzi tuliohitimu mwaka 2025 katika Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka (SLADS), tunaomba kupaza sauti kuhusu changamoto kubwa tunayoipata ya kucheleweshewa vyeti vyetu. Tangu...
0 Reactions
0 Replies
66 Views
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na tabia inayozidi kuonekana katika baadhi ya shule binafsi hapa Dar es Salaam ambapo wanafunzi, hata wale wa Darasa la Kwanza wenye umri wa miaka sita au...
0 Reactions
6 Replies
125 Views
Anonymous
Wanafunzi wa MUST Mbeya Tunaomba Majibu Kuhusu Kuchelewa kwa Boom ya HESLB kwa Watumiaji wa CRDB Tunapaza sauti yetu kama wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kuhusu...
0 Reactions
1 Replies
120 Views
Watu naona wanauliza uliza siri ya mafanikio ya baadhi ya shule binafsi za sekondari hapa nchini, siri ziko 2 tu, kwanza sio siri maana hizi mbinu japo sikubaliani nazo ila zinafahamika na...
26 Reactions
68 Replies
13K Views
Anonymous
Chuo cha afya cha paradigms hakitaki kuwaacha wanafunzi wahame au kujitoa kwenye mfumo wa NACTVET hata kama hawadaiwi msajili wao anaitwa SHABANI MRINGO ni mtoto wa mkurugenzi anajiona ni mungu...
2 Reactions
4 Replies
142 Views
Anonymous
Ikumbukwe wahitimu wa vyuo vya afya diploma vyeti vyao huwa vinatoka NACTEVET nakupelekwa vyuoni. Ila cha kushangaza wanafunzi wa vyuo vingine wameishapokea vyeti vyao toka mwezi wa pili mwaka...
3 Reactions
4 Replies
94 Views
Anonymous
Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha Kolandoto Colage of Health Science kilichopo Shinyanga Kolandoto, tunapitia changamoto zakutosha sana wanafunzi nitaje baadhi; 1. Wanafunzi tumekuwa tukifelishwa na...
2 Reactions
22 Replies
507 Views
Anonymous
Nina binti anayesoma Kidato cha Tatu katika Shule ya Bright Future Secondary School, iliyoko Msongola. Awali, shule hii ilikuwa chaguo letu bora kabisa—ndoto yangu na ya mwanangu ilikuwa asome...
1 Reactions
18 Replies
256 Views
  • Redirect
ELIMU: Elimu ya Msingi NGAZI YA MSHAHARA: TGTS C KITUO NILIOPO: Tabora Municipal Council (Tabora MC) – Makao makuu ya mkoa, huduma na miundombinu iko vizuri sana. KITUO UNACHOHITAJI: Dar es Salaam...
0 Reactions
Replies
Views
Kero yangu ni Shule za Private kuhamisha wanafunzi ambao wanaona hawatapata division one form 4, wanawaandikisha wafanye mtihani Shule zingine bila kuwashirikisha wazazi. Kwa kweli inakera sana...
2 Reactions
1 Replies
226 Views
Anonymous
Baadhi ya shule za sekondari za serikali katika kipindi hiki cha likizo, zipo ambazo zinaendelea kuwalazimisha wanafunzi kuhudhuria masomo bila utaratibu unaoeleweka. Mfano, Shule ya Sekondari...
0 Reactions
1 Replies
101 Views
Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesaini hati tatu za makubaliano ya ushirikiano wa kielimu na Urusi zitakazowezesha kubadilishana wataalamu, kuimarisha tafiti za pamoja na...
2 Reactions
5 Replies
134 Views
ELIMU: Elimu ya Msingi NGAZI YA MSHAHARA: TGTS C KITUO NILIOPO: Tabora Municipal Council (Tabora MC) – Makao makuu ya mkoa, huduma na miundombinu iko vizuri sana. KITUO UNACHOHITAJI: Dar es Salaam...
0 Reactions
0 Replies
79 Views
Nina mpango wa kuingia mjini Paris nipo Dar es Salaam, naomba anayejua sehemu naweza kujifunza kifaransa nielekeze tafadhali.
5 Reactions
16 Replies
192 Views
Jamani naomba nipate maelezo ya kina imekuwaje baadhi ya wanafunzi wamepangiwa somo la computer kwenye combination ya advance kwenye michepuo wa PMCs ilhali o level hawakuwahi kusoma Computer...
1 Reactions
12 Replies
304 Views
Anonymous (838e)
Kuna changamoto inayotusumbua sisi wanafunzi wa Chuo cha City College. Kila tunapotaka kufanya uhamisho kwenda vyuo vingine tunazuiliwa na kuambiwa kuwa chuo hakiruhusu kufanya uhamisho. Hata...
0 Reactions
4 Replies
181 Views
Civilian-Coin Nalimi Kisandu, professionally known as Civilian-Coin is a Tanzanian researcher, journalist, artist, and former political figure. He was born on June 28, 1980, at the district...
6 Reactions
25 Replies
356 Views
Back
Top Bottom