Kozi Nzuri za Kusoma Chuo Kikuu katika Mwaka wa masomo 2024/25
Makala hii inasaidia kuelewa ni kozi zipi ambazo ni chaguo bora, hasa kama bado hujaamua unataka kusoma nini. Shahada...
NECTA wametangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2026 huku wakieleza kuwa, ufaulu umeongezeka. unaweza kuyatazama matokeo hayo kwa Kugusa Hapa.
Baada ya kuona matokeo, unaweza kuuliza swali...
I’m a new student starting college soon and I’m trying to figure out what to wear on a daily basis. Does anyone have recommendations for comfortable and stylish outfits for campus life? I’d love...
Wenye ufahamu tupeane maujuzi kwani waswahili husema Fikiri kabla ya kutenda
Mtumishi akishafanyiwa recategorization, kutoka utumishi wa idara moja kwenda nyingine, nini hatima ya daraja la...
Nina ndugu yangu katoka kijijini hakubahatika kupata elimu ya msingi
Naombeni msaada kama mpango wa MEMKWA bado upo?
Nahitaji kujua wapi anaweza kupata msaada.
Habarini wakuu.
Msaada kidogo.
Nina elimu ya Diploma ya ugavi na manunuzi.
Sasa nataka kurudi kusoma,ipi nianze nayo niende kusoma shahada alafu baadae nimalizie mitihani ya bodi au niingie kwenye...
Jana, Jumatatu tarehe 29 Juni, na leo Jumanne tarehe 30 Juni, Chuo kinaendesha uchaguzi wa Serikali ya Wanafunzi. Hata hivyo, ukifuatilia namna uchaguzi huo unavyoendeshwa, kuna maswali mengi...
Ujumbe aliopewa musa wa kuvua kiatu alichotoka nacho kwa farao,kwamba mahala pale ni patakatifu ulimaanisha kiatu Gani?je ni kiatu kama kiatu Cha kuvaliwa mguuni au ni Nini kililengwa.Je mahala...
Sasa natimiza mwaka wa pili tangu niajiriwe serikalini.
Nataka kuongeza elimu maana niliajiriwa na Form Six.
Nafanya kazi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, nipo Zanzibar. Kwa mujibu wa kazi...
Kuna mambo yanaendelea chuoni hapo mpaka unajiuliza, hiki chuo kina wenyewe kweli? Na wanafunzi wamekaa kimya, mpaka unajiuliza tunazalisha wasomi wa namna gani?
Jumanne tarehe 30 June, wamefanya...
Habari za Leo wakuu,
Naombeni kuuliza kati ya hizo kozi mbili tajwa ni ipi ina uwanja mpana wa ajira kwa hapa Tanzania?
Na ni ipi ipo wide?
Natanguliza shukrani.
Habari za muda huu wakuu
Naomba ushauri, mtu mwenye diploma ya forensic science anaweza kusoma degree ipi hasa kama anataka kujikita kwenye uchunguzi wa maiti
Viongozi walioteuliwa kuingoza TAHLSO wengi wao si wanafunzi wa vyuo washamalza masomo wapo mtaani jambo ambalo ni kinyume na katiba ya TAHLSO.
Kuna matumizi mabaya ya madaraka na ufujaji mwingi...
Naomba kuwasilisha Jambo hili.
Serikali iliyopo madarakani ambayo inakwenda kumaliza muda wake, imefanya ubadhirifu mkubwa wa fedha za wanafunzi.
Naomba takukuru waweze kufika na kulifanyia kazi...