DEGREE AU MITIHANI YA BODI

DEGREE AU MITIHANI YA BODI

icca

Senior Member
Joined
Nov 8, 2014
Posts
187
Reaction score
177
Habarini wakuu.
Msaada kidogo.
Nina elimu ya Diploma ya ugavi na manunuzi.
Sasa nataka kurudi kusoma,ipi nianze nayo niende kusoma shahada alafu baadae nimalizie mitihani ya bodi au niingie kwenye mitihani ya bodi moja kwa moja na shahada niachane nayo?
Wazoefu ninaomba ushauri
 
Diploma ndio kila kitu mkuu
Achana na Degree
Utasoma degree baada ya kupata kazi yako
 
Back
Top Bottom