Elimu ya MEMKWA bado ipo?

Elimu ya MEMKWA bado ipo?

NIBOO

Senior Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
120
Reaction score
260
Nina ndugu yangu katoka kijijini hakubahatika kupata elimu ya msingi

Naombeni msaada kama mpango wa MEMKWA bado upo?

Nahitaji kujua wapi anaweza kupata msaada.
 
Kisarawe.kwa D.C Magoti mwenye kizabazabina na kiherehere.....!
 
Nina ndugu yangu katoka kijijini hakubahatika kupata elimu ya msingi

Naombeni msaada kama mpango wa MEMKWA bado upo?

Nahitaji kujua wapi anaweza kupata msaada.
Ipo.. Mwone steve mweusi
 
Nina ndugu yangu katoka kijijini hakubahatika kupata elimu ya msingi

Naombeni msaada kama mpango wa MEMKWA bado upo?

Nahitaji kujua wapi anaweza kupata msaada.
nenda TAMISEMI kuna maelekezo yote
 
Nina ndugu yangu katoka kijijini hakubahatika kupata elimu ya msingi

Naombeni msaada kama mpango wa MEMKWA bado upo?

Nahitaji kujua wapi anaweza kupata msaada.
Umri wake? Maana MEMKWA inadahili kuanzia umri wa miaka 9-17. MEMKWA inapatikana Wilaya zote, anzia Kwa Afisa Elimu Kata iliyopo atakupa msaada.
 
Back
Top Bottom