Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Mwongozo wa Kozi Nzuri za Kusoma Chuo Kikuu katika Mwaka wa masomo 2025/26 Kama bado hujafanya uamuzi wa nini usome chuo kikuu, makala hii ni mwongozo sahihi kwako. Inakuletea orodha ya kozi bora...
2 Reactions
14 Replies
10K Views
Anonymous
Madereva tuli itikia wito wa serikali wa kututaka turudi darasani kupata elimu ya usalama bara barani lakini shida inakuja kwamba sisi tumesoma intake ya 9 kuanzia tar 18 mwezi wa tano mpaka leo...
0 Reactions
1 Replies
67 Views
Masters of education in assessment and evaluation. Naomba Tushauriane wanazuoni hii kozi nahitaji kuongeza ujuzi. kabla sijajitosa rasmi, kama yupo wa kuniboreshea kwa kujenga kozi nyingine nzuri...
3 Reactions
65 Replies
3K Views
Kama umemaliza Form Six mwaka huu na combination yako ilikuwa CBG, tafadhali usipite kwenye caption hii bila kuisoma. Miaka ya nyuma, CBG ilikuwa moja ya combination zilizokuwa zinapendwa sana...
4 Reactions
10 Replies
423 Views
Wakuu samahani msaada, mwenye uelewa kuhusu hii course ya MEDICAL PHYSICS.. kwasasa naiona inatolewa UDSM kwa level ya master Hivi mtu ukisoma master unaweza tambulika na serikali hii bila kua na...
0 Reactions
2 Replies
76 Views
Anonymous
Mimi ni mwanafunzi wa Arusha Technical College (ATC), na napenda kuwasilisha changamoto kubwa inayolikabili chuo chetu kwa sasa, hususan katika suala la upatikanaji wa wakufunzi na rasilimali za...
4 Reactions
3 Replies
263 Views
Habari viongozi na poleni na uchovu wa kazi, kama kichwa hapo juu kinavyosema kwahiyo ningependa kujua viongozi kati ya ATC na MUST ni wapi life yake ni cheap kuliko mwenzie?
3 Reactions
20 Replies
235 Views
Anonymous
Dodoma, Kata ya Makulu wanachuo wananyanyasika kwa kuombwa pesa ili kuweza kupata fomu ya NaPA kwa ajili ya ku-appy vyuo, kwanini iwe hivyo? Ofisini kwa Mtendaji wanakwambia acha namba tutakuja...
0 Reactions
1 Replies
55 Views
Unakumbuka nini baada ya Kupata daraja la kwanza Nakumbuka mwaka **** nikiwa kijijini nimemaliza Shule, matokeao bado yanaandikwa kwenye magazeti Jina langu linaanza na Herufi za Mwishoni ...
5 Reactions
58 Replies
6K Views
Hello wanajukwaa. Naombeni ushauri wenu kulingana na uzoefu wenu wataalamu. Nina mdogo wangu kamaliza kidato Cha nne mwaka jana, amepangiwa Kozi ya ICT chuo Cha Taifa Cha usafirshaji. Mimi...
1 Reactions
4 Replies
550 Views
Anonymous
Mimi ni mzazi mwenye mtoto anayesoma katika Shule ya Msingi Bonyokwa iliyopo Wilaya ya Ilala, Kata ya Segerea, Dar es Salaam. Ninaomba kuwasilisha kilio changu kuhusu hali ya mazingira ya...
1 Reactions
1 Replies
79 Views
Wakuu salama, Natumai mko wote heri. Nina ndugu yangu wa karibu amefanya maombi ya chuo mwaka huu na katika matokeo ya kwanza (Batch One) amefanikiwa kuchaguliwa kujiunga na Chuo cha Teknolojia...
1 Reactions
2 Replies
126 Views
Wakuu, nina ndugu yangu ambaye anamaliza la darasa la saba mwaka huu, kama ndugu tumeona tumtafutie shule ambayo haitakuwa mbali sana na makazi yetu. Ni mtoto yatima Jibu likaja ni kibaha...
2 Reactions
7 Replies
158 Views
Anonymous
Habari kuna mfanyakazi mmoja wa Mwalimu Nyerere Memorial Academy yupo department ya Examination ana majibu ya dharau sana hasa kwa watu wanaoenda hapo wakiwa na uhitaji mbalimbali. Tulienda...
5 Reactions
10 Replies
262 Views
General study E, history C, geography B, english C. Naomba mnisaidie ushauri ni kozi gani bora na chuo gani bora cha mimi kwenda kusoma. Na ufaulu wangu wa o level ni mathematics C.
1 Reactions
11 Replies
321 Views
Habari Nimeomba chuo UDSM postgraduate, nawezaje kupata provisional admission?
0 Reactions
0 Replies
59 Views
Naomba mamlaka husika kuchunguza malalamiko kuhusu utaratibu wa usajili kwenye mfumo wa NaPA kwa waombaji wa mikopo ya elimu ya juu katika Wilaya ya Sengerema, Mwanza. Kuna malalamiko kwamba...
0 Reactions
5 Replies
181 Views
Mimi nimhitimu wa chuo cha ualimu x ngazi ya kati yaani diploma nimepata GPA ya 3.6 SWALI: Je, kwa ufaulu huu naweza kupata nafasi yakusoma shahada i.e. Bachelor chuo kikuu UDSM main kampasi...
9 Reactions
124 Replies
10K Views
Kuna makosa ambayo mwanafunzi akiyafanya shuleni, adhabu yake haishughulikiwi na mwalimu mmoja tu. Unakuta umeitwa mbele ya walimu kadhaa, kila mmoja anauliza alichofanya, na mwisho unaondoka na...
2 Reactions
19 Replies
160 Views
Wakuu salama, Natumai mko wote heri. Nina ndugu yangu wa karibu amefanya maombi ya chuo mwaka huu na katika matokeo ya kwanza (Batch One) amefanikiwa kuchaguliwa kujiunga na Chuo cha Teknolojia...
0 Reactions
0 Replies
65 Views
Back
Top Bottom