Mwongozo wa Kozi Nzuri za Kusoma Chuo Kikuu katika Mwaka wa masomo 2025/26
Kama bado hujafanya uamuzi wa nini usome chuo kikuu, makala hii ni mwongozo sahihi kwako. Inakuletea orodha ya kozi bora...
Madereva tuli itikia wito wa serikali wa kututaka turudi darasani kupata elimu ya usalama bara barani lakini shida inakuja kwamba sisi tumesoma intake ya 9 kuanzia tar 18 mwezi wa tano mpaka leo...
Masters of education in assessment and evaluation.
Naomba Tushauriane wanazuoni hii kozi nahitaji kuongeza ujuzi. kabla sijajitosa rasmi, kama yupo wa kuniboreshea kwa kujenga kozi nyingine nzuri...
Kama umemaliza Form Six mwaka huu na combination yako ilikuwa CBG, tafadhali usipite kwenye caption hii bila kuisoma.
Miaka ya nyuma, CBG ilikuwa moja ya combination zilizokuwa zinapendwa sana...
Wakuu samahani msaada, mwenye uelewa kuhusu hii course ya MEDICAL PHYSICS.. kwasasa naiona inatolewa UDSM kwa level ya master
Hivi mtu ukisoma master unaweza tambulika na serikali hii bila kua na...
Mimi ni mwanafunzi wa Arusha Technical College (ATC), na napenda kuwasilisha changamoto kubwa inayolikabili chuo chetu kwa sasa, hususan katika suala la upatikanaji wa wakufunzi na rasilimali za...
Habari viongozi na poleni na uchovu wa kazi, kama kichwa hapo juu kinavyosema kwahiyo ningependa kujua viongozi kati ya ATC na MUST ni wapi life yake ni cheap kuliko mwenzie?
Dodoma, Kata ya Makulu wanachuo wananyanyasika kwa kuombwa pesa ili kuweza kupata fomu ya NaPA kwa ajili ya ku-appy vyuo, kwanini iwe hivyo?
Ofisini kwa Mtendaji wanakwambia acha namba tutakuja...
Unakumbuka nini baada ya Kupata daraja la kwanza
Nakumbuka mwaka **** nikiwa kijijini nimemaliza Shule, matokeao bado yanaandikwa kwenye magazeti
Jina langu linaanza na Herufi za Mwishoni ...
Hello wanajukwaa. Naombeni ushauri wenu kulingana na uzoefu wenu wataalamu.
Nina mdogo wangu kamaliza kidato Cha nne mwaka jana, amepangiwa Kozi ya ICT chuo Cha Taifa Cha usafirshaji.
Mimi...
Mimi ni mzazi mwenye mtoto anayesoma katika Shule ya Msingi Bonyokwa iliyopo Wilaya ya Ilala, Kata ya Segerea, Dar es Salaam. Ninaomba kuwasilisha kilio changu kuhusu hali ya mazingira ya...
Wakuu salama,
Natumai mko wote heri. Nina ndugu yangu wa karibu amefanya maombi ya chuo mwaka huu na katika matokeo ya kwanza (Batch One) amefanikiwa kuchaguliwa kujiunga na Chuo cha Teknolojia...
Wakuu, nina ndugu yangu ambaye anamaliza la darasa la saba mwaka huu, kama ndugu tumeona tumtafutie shule ambayo haitakuwa mbali sana na makazi yetu. Ni mtoto yatima
Jibu likaja ni kibaha...
Habari kuna mfanyakazi mmoja wa Mwalimu Nyerere Memorial Academy yupo department ya Examination ana majibu ya dharau sana hasa kwa watu wanaoenda hapo wakiwa na uhitaji mbalimbali.
Tulienda...
General study E, history C, geography B, english C. Naomba mnisaidie ushauri ni kozi gani bora na chuo gani bora cha mimi kwenda kusoma. Na ufaulu wangu wa o level ni mathematics C.
Naomba mamlaka husika kuchunguza malalamiko kuhusu utaratibu wa usajili kwenye mfumo wa NaPA kwa waombaji wa mikopo ya elimu ya juu katika Wilaya ya Sengerema, Mwanza.
Kuna malalamiko kwamba...
Mimi nimhitimu wa chuo cha ualimu x ngazi ya kati yaani diploma nimepata GPA ya 3.6
SWALI: Je, kwa ufaulu huu naweza kupata nafasi yakusoma shahada i.e. Bachelor chuo kikuu UDSM main kampasi...
Kuna makosa ambayo mwanafunzi akiyafanya shuleni, adhabu yake haishughulikiwi na mwalimu mmoja tu. Unakuta umeitwa mbele ya walimu kadhaa, kila mmoja anauliza alichofanya, na mwisho unaondoka na...
Wakuu salama,
Natumai mko wote heri. Nina ndugu yangu wa karibu amefanya maombi ya chuo mwaka huu na katika matokeo ya kwanza (Batch One) amefanikiwa kuchaguliwa kujiunga na Chuo cha Teknolojia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.