Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Anonymous
Niishi Geita, nilisoma katika Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Mafinga (Mafinga College of Health and Allied Sciences – MACHAS), ambacho awali kilijulikana kama Clinical Officer Training Centre...
0 Reactions
3 Replies
111 Views
Shule ya Sekondari Nsongwi Juu (Mbeya Vijijini) imekuwa shule yenye utawala mbovu imefikia hatua mpaka Walimu wanashindwa kufanya kazi kwa sababu ya utawala huo. Kesi zimekuwa nyingi zimefika...
1 Reactions
3 Replies
60 Views
Habari ndugu zangu. Naomba ushauri wa chuo bora kusoma Masters katika fani ya Mazingira, au waste management na course ipi nzuri ukiachana na Environment Management, Disaster management na...
3 Reactions
23 Replies
404 Views
Habari Tangu Tarehe 9 tumelipia malipo ya serikali kutoka NMB kwenda kwenye control number UDOM NMB wamerudisha meseji malipo yamepokelewa lakini kwenye account ya KUOMBA CHUO UDOM hayajafika...
0 Reactions
2 Replies
54 Views
Anonymous
Ninaomba kuwasilisha changamoto inayojitokeza katika Hospitali ya Rufaa ya St. Francis, Ifakara-Morogoro (St. Francis Referral Hospital), ambayo pia hutumika kama hospitali ya mafunzo (teaching...
5 Reactions
25 Replies
626 Views
Anonymous
Naomba ufafanuzi kuhusu vigezo vya udahili wa kozi ya Doctor of Medicine (MD). Mwongozo wa TCU unaeleza kuwa mwombaji anatakiwa awe alisoma somo la Physics katika ngazi ya O-Level. Je, wanafunzi...
2 Reactions
10 Replies
401 Views
Naombeni ushauri nisome cozi ipi ata ikitokea nimekosa ajira basi nijiajiri, nimehitibi tahasusi ya CBG
0 Reactions
2 Replies
867 Views
Nimemaliza form four, nina ufaulu wa division 1.16 Biology A Chemistry A Physics C Ninawish kusoma afya course ya clinical medicine. Je kwa hali ya ajira sasa hivi inaweza kuwa niko sahihi...
10 Reactions
113 Replies
17K Views
Anonymous
Vijana wengi nikiwemo mimi mwenyewe ni wahanga, tunakosa fursa na tunabanwa na kujiunga vyuo vikuu kusoma degree baada ya kuhitimu diploma za afya kama ifuatavyo. Mtu unasoma Diploma in Clinical...
3 Reactions
20 Replies
517 Views
Anonymous
Sisi walimu tuliomaliza mafunzo ya ualimu ngazi ya Astashahada miaka iliyopita, baadaye tukaamua kujiendeleza hadi ngazi ya Shahada, tunaomba ufafanuzi kuhusu changamoto inayotukabili katika...
1 Reactions
3 Replies
121 Views
Hii ni Shule ya Msingi KIBISI iliyopo katika kata ya Kyimo Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya na hii ndiyo hali halisi ya madarasa wanayosomea watoto wetu. Pia soma: ~ Halmashauri ya...
1 Reactions
12 Replies
436 Views
HUYU KIJANA NI CLINICAL OFFICER MUAJIRIWA, ALISOMA CBG AKAPATA DIV 2 YA 12 mwaka 2016 ANAOMBA USHAURI AKASOME KOZI IPI KATI YA HIZI 1;Bach of land management and valuation 2; bach of project...
1 Reactions
9 Replies
569 Views
Anonymous
National Physical Address (NaPA) kwenye kutafuta barua ya utambulisho kwa ajili ya maombi ya mkopo (HESLB) inagoma kuendelea na kutoa notification ya hivi Toka last week till now. Contacts zao...
0 Reactions
7 Replies
258 Views
Hili jukwaa la Elimu ni moja ya jukwaa ambalo wasomaji wake ni wachache sana ila naomba kwa wale watakao pata nafasi ya kuona huu uzi naombeni msaada wenu. Naomba msaada juu ya hili jambo, Mwaka...
1 Reactions
8 Replies
85 Views
Kwa nyakati tofauti nimeona watanzania wakilalamika kukosa usajili wa mabaraza ya kitaaluma hasa manesi na wafamasia pale wanapohutimu masomo yao ughaibuni na kurudi nchini kwajili ya kufanya kazi...
6 Reactions
46 Replies
692 Views
Anonymous
Mabasi ya chuo hayana seatbelts, na inatokea safari za masafa marefu kuenda kwa mfano Tanga, Moshi, Pwani, kitu ambacho sio salama Wanafunzi tunatamani waboreshe hayo mabasi au wabadilishe...
0 Reactions
0 Replies
71 Views
Anonymous
Wahitimu wa UDOM 2025 hatujarudishiwa overpayment zetu licha ya kuandika barua za kuomba kurudishiwa. Wengine waliokuwa wanadai kuanzia laki moja walilipwa ila sisi wenye tunaodai kuanzia laki...
0 Reactions
0 Replies
57 Views
Anonymous
Wanafunzi tunaosoma hiyo kozi tunapata changamoto sana yani kwanza wanachelewesha kusubmit kqzi kwa external kwa kudai kuwa ili kusubmit kuna malipo ya 150,000 kwa ajili ya kuandaa document ili...
0 Reactions
1 Replies
73 Views
Wanabodi, Mimi mwanabodi mwenzenu, nilihudhuria maonesho ya 88 kitaifa Dodoma, japo maonesho hayo yalishirikisha taasisi mbalimbali, kwa upande wangu, Banda la VETA ndio lilikuwa funga kazi...
0 Reactions
0 Replies
35 Views
Msaada juu ya application zozote za Avn number, Vyuo, pamoja na Leseni za Clinical officers Contacts 0622569980
0 Reactions
0 Replies
36 Views
Back
Top Bottom