Jenganajeco
Member
- Apr 28, 2017
- 16
- 9
Kama unajenga sasa au unataka kujenga ni vizuri kuyajua haya:
1.Kabla hujajenga omba ushauri kwa wataalamu wa ujenzi(Mfano wakandarasi) ili kuepuka kujenga nyumba isio na ubora kuepuka hasara za ukarabati
2.Jua gharama za vifaa vya ujenzi kuepuka utapeli au madalali
3.Wasiliana na mkandarasi wa nyumba yako kabla huja nunua vifaa visivyo sahihi kwa ujenzi wa nyumba yako
4. Pata ushauri kwa Manispa au Mtendaji juu ya viwanja vilivyo na mgogoro au vilivyo kwenye utata kama karibu na vyanzo vya maji au reli. Kupitia JENGA NA JECO tunakuonganisha na wakandarasi wa bei nafuu na vifaa vya ujenzi na kupata ushauri bure.
Kupitia sisi unaweza kupata discount hadi 50% ukajenga kwa gharama nafuu zaidi ya ulivyofikiria au chini ya bajeti uliopanga. Wasiliana nasi kupitia simu: 0684322 333 au 0766 313 300 au Email: jecoarusha@gmail.com
1.Kabla hujajenga omba ushauri kwa wataalamu wa ujenzi(Mfano wakandarasi) ili kuepuka kujenga nyumba isio na ubora kuepuka hasara za ukarabati
2.Jua gharama za vifaa vya ujenzi kuepuka utapeli au madalali
3.Wasiliana na mkandarasi wa nyumba yako kabla huja nunua vifaa visivyo sahihi kwa ujenzi wa nyumba yako
4. Pata ushauri kwa Manispa au Mtendaji juu ya viwanja vilivyo na mgogoro au vilivyo kwenye utata kama karibu na vyanzo vya maji au reli. Kupitia JENGA NA JECO tunakuonganisha na wakandarasi wa bei nafuu na vifaa vya ujenzi na kupata ushauri bure.
Kupitia sisi unaweza kupata discount hadi 50% ukajenga kwa gharama nafuu zaidi ya ulivyofikiria au chini ya bajeti uliopanga. Wasiliana nasi kupitia simu: 0684322 333 au 0766 313 300 au Email: jecoarusha@gmail.com