Nimeangalia muktadha wa nchi yetu kwa hali ya sasa,upungufu wa vyakula muhimu,kutokana na tabia nchi,mvua kuchelewa,wakulima kuchelewa kupanda na ukame ulioikumba nchi miez kadhaa nyuma,bei za...
Wakuu nimeshangaa bei ya Matikiti Jana nilivyopita Sokoni na Kununua Tikiti kubwa kwa Tsh. 300/= tofauti na Maneno Mengi ya Kwenye Keyboard yanayosimuliwa na watu wengi ambao wamezaliwa Dar es...
machine
Nataka niwaoneshe material yanayotengeneza bati,inayoingizwa hapa kwetu ni coil ambayo ikipitishwa kwa mashine ndio inakata bati,kila mkunjo kila aina ya bati ina machine yake na...
Ndugu zangu wana JF naomba mnisaidie ili nifanikishe malengo yangu:
Nina kiasi cha fedha kama million 4.5 sasa nahitaji nianzishe biashara yoyote ile itakayonipa faida sasa je
1: mambo gani...
Nina mtu juzi kaniambia yeye haweki pesa yake bank za TZ
sababu zina wizi saana
Anadai bank zetu kama crdb na NMB zina charge pesa kila mwezi
na wakati huo huo zina charge pesa kila unapotoa pesa...
Habari wana jf,
Ni msomaji wa muda mrefu wa jukwaa hili pendwa lkn sijawahi weka bandiko,.
Leo naomba ushauri kutoka kwenu.Nina pesa kama 22m.Kiasi nimechukua Mkopo na kiasi kingine kutoka kwe...
The entry of a Tanzania-based miller into the local flour production industry is causing jitters among established milling companies and some cereal farmers.
There are fears that the milling...
Salaaam Wakuuu Tafadhali Naomba
Muongozo kwa wataalamu kabla sijachukuwa maamuzi
Kuna line ya Tigo pesa inauzwa Mkoani Arusha
Nilihitaji kuinunua ili Nije kufanyia kazi huku Dar es salaam...
Naitwa Dalali Mtembezi tokea jijini Dar Salaam, natafuta muwekezaji au mnunuzi katika vitu vifuatavyo.
Nina eneo la kutosha mjini posta karibu na Majani ya Chai ni Mali ya kampuni inahitajika...
Wakati hapa nyumbani viongozi wetu, wanafanya siasa za kitoto, kuchagua watu wasio na uwezo mkubwa kwenda bunge LA EA, China viongozi wamekuja na mradi mkubwa was biashara utakaounganisha nchi 65...
Naomba kwa mwenye uelewa wa wapi na kwa bei gani zao la Mwani linapatikana kwa hapa Tanzania,natanguliza
shukrani zangu kwa wanajamiiforum wenzangu ahsanteni.
je, unaifahamu supercomputer na faida zake kibiashara na uchumi? angalia video hii fupi kuhusiana na uwekezaji unaoweza kufanyika katika technology ya supercomputer kukuza uchumi na viwanda
Habari wadau wote jamvini. Radio mpya ya kisasa inategemewa kufunguliwa mkoani Tanga mwanzoni mwa 2015 hivyo tunaomba mawazo yenu kwenye jina la Radio. Tumeona ni vyema tukachanganya mawazo kwenye...
Kwanza niwape pole kwa kufungiwa utengenezaji wa kinywaji pendwa konyagi ndogo aka kiloba.
Toka kiloba kimefungiwa hali imekuwa ngumu kwa wadau ukizingatia life ilivyo bana.
Ushauri wangu ni...
Wasalaam
Wadau ninatafuta ushauri /mmbia wa kushirikiana tuanzishe day care maeneo ya Pugu.
Nina eneo lenye fence ya ukuta na jengo dogo. ...kuna maji umeme liko barabarani na daladala zinapita
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
This pair is bullish in the medium-term, but neutral in the short-term. Price tested the support line at 1.0850, closing...
Habari wana bodi,
Unaruhusiwa kuuliza swali lolote linalohusu ujasiriamali na marketing/sales nawaahidi kuwajibu maswali yenu yote kama Mungu atakavyonijaalia. Pia hata kama wewe unaweza kujibu...
Wanabodi,
Tanzania kama nchi, tunakabiliwa na tatizo kubwa la Wafanyabiashra wa Tanzania, kushindwa kuingiza bidhaa zetu kwenye masoko ya kimataifa!, tatizo ni nini?!.
Mifano.
Tanzania ndiye...