NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 26
Kuna tetesi kuwa ile Kampuni ya DECI (T) ltd imenyimwa kibali na Central Bank (BOT) cha kuanzisha Scheme nyingine inayoitwa Elimika Scheme inayohitaji mwanachama kutoa Sh milion tano upate sh. Milion 12.5 ndani ya wiki 22.
Tetesi hizi zinadai pia Deci inaweza kuingizwa kwenye adminstration na central bank very soon baada ya kuonekana mabosi wake wanafuja fedha za wanachama kwenye scheme yao ya TRF ambapo mwanachama anapaswa atoe kati ya sh laki mbili apate laki tano. Kwa mwenye taarifa zaidi amwage hapa tuwajadili kwa watz wengi wamewekeza kwenye huu mfuko......
Tetesi hizi zinadai pia Deci inaweza kuingizwa kwenye adminstration na central bank very soon baada ya kuonekana mabosi wake wanafuja fedha za wanachama kwenye scheme yao ya TRF ambapo mwanachama anapaswa atoe kati ya sh laki mbili apate laki tano. Kwa mwenye taarifa zaidi amwage hapa tuwajadili kwa watz wengi wamewekeza kwenye huu mfuko......