Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Salam wakuu Baada ya kuvutiwa na bidhaa za aliexpress na mimi nikaagiza bidhaa moja hivi Nimeagiza toka tarehe 27/6 mpaka leo tarehe 9/7 bado mzigo wanadai upo hongkong Najaribu kutrack inagoma...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu, nimefanya taratibu zote TRA sasa bado kurenew leseni yangu ya biashara ila nahisi nitakuwa mbali na manispaa husika sasa nauliza unaweza kumuagiza mtu akakuchukulie leseni ya biashara...
0 Reactions
0 Replies
837 Views
habari wakuu ningependa kujuzwa juu ya biashara ya kuandaa na kuprint magazine ya bure kila mwezi ya matangazo tu.changamoto zake na namna gani ya kuifanya upate kampuni za kutangaza,mtaji wake na...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu, ninataka kufanya biashara ya uvuvi baharini kwa kutumia boti. Nauliza mwenye ujuzi na hii biashara anijuze kuhusu aina za boti zinazotakiwa,ukubwa wa injini,kama petroli au dizeli ndiyo...
1 Reactions
9 Replies
8K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish The market was engaged in a bearish correction from Monday through Wednesday and then rallied on Thursday, to close on...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Lindi LNG plant may be non-starter, experts warn ippmedia.com/en/business/lindi-lng-plant-may-be-non-starter-experts-warn One cause for concern is that the country’s fiscal and external...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
AUS200 Dominant bias: Bearish This market has gone bearish since May and the bearishness has remained till now. There is a huge volatility in the market, which does not push price in a...
0 Reactions
1 Replies
508 Views
Wakati tunasubiri ujenzi wa njia ya reli na upanuzi wa barabara ya Dar _ Chalinze kwa sasa tunaweza kupunguza msongamano kwenye kipande hiki cha barabara kwa kuyaamuru mabasi na magari yote...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Napenda kuuza bidhaa tajwa nje ya nchi hasa ulaya na uarabun. Uwezo wangu ni kuexport lita 1200 kwa mwezi. Anayejua nifanyeje kupata soko na taratibu stahiki za kisheria anipe maarifa. Na...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Maduhuli ni bidhaa na huduma zinazoingizwa nchini Tanzania kutoka nje ya nchi. Taratibu za maduhuli zinapaswa kufuatwa ili kukomboa bidhaa kutoka Forodhani kulingana na Sheria ya Usimamizi wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tanzania’s Ugandan oil coup East African producers now have a timetable for exports. Their oil will reach the sea by 2020 EIGHT months is a long time in the East African energy sector. Last...
0 Reactions
59 Replies
12K Views
Soko la ndani ni dogo sababu ya uwezo mdogo wa wananchi kununua bidhaa. Uwezo mdogo wa wananchi kujiwekea akiba inapelekea uwekezaji mdogo na viwanda kutokukua n.k. Ugumu wa upatikanaji mitaji na...
0 Reactions
2 Replies
737 Views
In SUMMARY Kenya Airways has agreed to inject $10 million into Tanzania’s Precision Air in a bailout plan. The private carrier hopes proposed bailout will boost its turnaround. KQ agreed to the...
1 Reactions
34 Replies
6K Views
Naomba mnisaidie kitaalamu mti wa miaka kumi wa mbao unaweza kutoa mbao ngapi za 1×8 na unakuwa na kipenyo kiasi gani kwa vipimo
0 Reactions
12 Replies
7K Views
1.Kwa wadau waliopo kyela sasa hivi naomba kujua bei ya SUKARI YA MALAWI kwa kg(iliyo vuka daraja) 2.Kwa wadau walioko SINGIDA na MAKAMBAKO sasa hivi, naomba kujua bei ya mafuta ya alizet...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Mabilioni na mabilioni ya fedha za wananchi zinaibiwa kila siku na wafanyabiashara kwa njia ya Mizani zisizoweza kupima kile kinachotakiwa kupima. Mara zote Mizani yetu inapima pungufu ya kile...
13 Reactions
39 Replies
9K Views
Tangu mwaka 2014 nilikuwa nahangaika jinsi ya kuweka subtitle za kiswahili katika movie za nje kwa sababu nilipokuwa nyumbani na wadogo zangu nilikuwa napata tabu sana kuanza kuwasimulia kila kitu...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
GOLD (XAUUSD) Dominant Bias: Bearish Gold has turned bearish, owing to the protracted bearish movement that occurred in June. Price reached a high of 1295.87 on June 6, and then began to drop...
0 Reactions
2 Replies
631 Views
Ni mawazo yangu tu kuhusu mpango wa Serikali ya Awamu ya Tano ya kujenga uchumi wa viwanda. Tangu mpango huo uanze kumekuwa na hisia na uelewa tofauti katika jamii yetu, kiasi kwamba kuna mikakati...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Leo nimehangaika kutafuta kwio kwa ajili ya kesho ni balaa kuku anauzwa 15000-20000 heri ya cow meat 6000 Mmmh!
0 Reactions
22 Replies
9K Views
Back
Top Bottom