Ningependa tu share ujuzi juu ya hii biashara ya uuzaji wa bidhaa na kampuni tajwa apo juu, Je! kuna ukweli wowote na sio utapeli jamani???
Mwenye kitu tafadhali usisite kudondosha apo chini
Habari wadau,
Niko napitia gharama za licensing fees pamoja na taratibu.Ninavyoona ni kama vile hii kazi kuwapa halamashauri ni matumizi mabaya ya rasilimali watu na ni gharama za ziada kwa...
Habari wakukaya!.
Niliamua kuiupdate whatsapp yangu nikakutana na application ya whatsapp business hii application nilianza isikia muda wakati ilipokuwa kwenye beta stage lakini sikuifatilia...
A newCanadian cryptocurrency that will be launched on March 1, 2018. Register now and get free 1000 tokens. Each token could be worth a few cents up to about $1 when launched in March which means...
Habari za muda huu.
Napenda kuja kwenu kwa mara nyingine tena, baada ya kufanya marekebisho ya mpango wa biashara (business plan) nahitaji mwekezaji ambaye atanipatia mkopo wa $ 332,825 nataka...
kuna kaka alikuja kutoa shuhuda humu, kuna mwenzetu alimsaidia basi kakimbia, amekula hela pasipo kutekeleza kilichomfanya aombe hela.
mm nikaomba hela nifungue kijiwe cha kahawa, ili nikuze...
Hivi karibuni kulikuwa na vinywaji vya MO mtaani ambavyo vilikuwa vinafanya vizuri sana sokoni kutokana na ujazo wake mkubwa wa ml 400 kwa kila chupa na kwa bei ile ile ya sh 500 kama vinywaji...
Habari za muda huu.
Napenda kuomba kusaidiwa kwa yule mwenye ufahamu au kujua ni wapi naweza kupata muwekezaji mtu binafsi au kampuni.
Kwa yule ambaye anaweza kunisaidia nitashukuru sana.
Nitaomba...
Wakuu kuna utafiti nafanya wenye lengo la kufahamu mtizamo wa vijana na nini kifanyike kuhakikisha vijana wengi wanaingia kwenye social entrepreneurship. Nahitaji msaada wa mawazo yenu...
Ikiwa una ujuzi wa fani fulani mfano( Ufundi Umeme, Ufundi Mekanika, Ufundi Bomba n.k). Andiko hili litakufaa namna ambavyo unaweza kushughulikia hali hiyo na kukuwezesha kupata mteja wa kwanza...
MATUKIO @ MICHUZI BLOG: LESENI MADUKA KUBADILISHA FEDHA ZA KIGENI KAA LA MOTO
*Maduka yamepungua,baadhi ya wamiliki waingia mitini
*Kati ya maduka 297 ya awali sasa yamebaki 70,matawi 40
*BoT...
Tafadhali naomba msaada kwawenye uuzoefu au madereva wa malori,nina mzigo nataka kusafirisha kutoka bandarini mpaka Rwanda, ni tani moja na container litafika mwishoni mwa wiki hii.
Ningependa...
Khabari wadau, yeyote mweny mchango hatua zinazopaswa kuchukuliwa ili kuanzisha kiwanda, unapataje eneo linalotakiwa kisheria kwa ajili ya kiwanda, na je utupaji majitaka kutoka kiwandani (...
Wakati business plan nyingi huandikwa kuzishawishi benki au wawekezaji ili kukopesha pesa, business plan nyingine nyingi huandaliwa ili kuangalia kama business idea iliyopendekezwa inaweza kuwa...
Habari wadau;
Kwa wanofahamu kuhusu hii biashara ya insurance Agency ningependa kujua;
Taratibu za kufuata kabla ya kuanzisha
Kodi zake huko TRA
Gharama ya Leseni
Kiasi cha mtaji
Jinsi faida...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
This pair did nothing significant last week: It only moved sideways. However, the bullish bias on the market has been...
Habari wadau.
Naomba kuelimishwa kidogo, au tuelimishane,
Mtanzania anakatwa kodi kwenye mapato yake (mshahara) then akienda kununua vitu au kupata huduma kutumia pesa ile ambayo amekatwa kodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.