Kila ninapohamisha fedha toka bank kwa njia ya simu ni lazima niwe na salio la kawaida kwenye simu, tatizo ni pale ninaporuhusu kukatwa salio la kawaida ili muamala ukamilike salio linakatwa...
Wakuu,
Hivi kwa wale wenye ujuzi naomba kueleweshwa faida na hasara za kuregister biashara Brela kama partnership ama company. Ni vitu gani hasa inatakiwa kuviangalia (kodi? capital? aina ya...
Wasalaam wapendwa, husika na kichwa cha habari, naomba yeyote mwenye nia ya kunisaidia mkopo wa kiasi cha laki 3 nina shida ya dharura naomba anisaidie. Napatikana arusha.
Asante
Bila shaka neno uchumi limebeba maana nzito yenye tafsiri rahisi katika maisha ya watu. Porojo za takwimu za mtakwimu Mkuu huwenda ni sehemu ya maana lakini tafsiri itabaki kwa Umma.
Tumeanza na...
Watalaam wa madini naomba mnisaidie kujua aina hii ya madini. Mi ninayo muda mrefu ndan. Kila nikijaribu kuuliza kwa kila mtu sipati jibu la uhakika na je kama ni madini wanauza wapi ili...
Nimeamua kujikita katika biashara ya mboga mboga kama vile pilipili hoho, karoti na mboga za majani etc. Ningefurahi sana kufanya biashara na soko la Ulaya.
Natambua kua soko la ulaya linahitaji...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
The market consolidated from Monday to Wednesday and then dropped sharply on Thursday and Friday. There is a Bearish...
Habari wakuu,
Ninataka kuuza biadhaa yangu(machine ya umwagiliaji) yenye thamani ya Tsh 3 millions.Sasa makubaliano yetu ni kwamba watanilipa pesa nusu na nyingine watamalizia kulingana na muda...
Haki mmelogwa..juzi nlizungumzia QNET haya nasikia kuna hawa wengine soma vile wanajitambulisha
Questra Holdings ni kampuni ya Uwekezaji.
Kampuni hii ilianzishwa mwaka 2009 ikijulikana kama SFG...
Kilimo/ufugaji Mende kina soko kubwa sana nchini China. Sisi huku mende si tunawaua?
Kazi Ni kwako katika kutumbua jipu la umasikini.
======
Wapo wafugaji nchini China wanajikita na ufugaji wa...
Wakuu habari za muda huu.
Nakuja mbele yenu na mambo kadhaa ambayo naomba mwenye kujua chochote juu yake anijuze.
Hivi, wachoraji wa picha za tingatinga zile rangi wanazotumia ni rangi za aina...
Habari za jumapili, poleni na kazi za wiki nzima. Nataka kuanzishaa biashara ya kuuza mayai ya kienyeje yale local kbss yani kiini cha njanoo na sio chotaraa. Naombeni ushauri ni wapi naweza pata...
Habari wanajamii forum..
Naomba kufahamishwa..
Nataka kuagiza basi aina ya Youtong kutoka china,,,
Nataka kujua kuhusu
1..bei
2..ghalama za usafirishaji
3..kodi kwa hapa Tz
4.. Na ghalama...
Waungwana poleni na majukumu!,nakusudia kuanza harakati naomba tujulishane nani amewahi kupata mtaji kamili au kuongezewa mtaji na taasisi ya fedha kupitia 'Business Plan' yake au ndo zimebakia...
AngloGold, African Barrick in Talks on Tanzanian Tax Refunds
2011-04-26
By David Malingha Doya
April 26 (Bloomberg) -- AngloGold Ashanti Ltd., African Barrick Gold Ltd. and other miners of...
Wapenzi wana jf hamjambo?
Nimekuwa nikitamani kufanya biashara za kijasiria mali na mda mwingi mimetamani kujua haya kama mada tajwa hapo juu.
A. SOKO LA SUNGURA.
Hii inamaama kuwa nataka kufuga...
Ni Kwa muda sasa nimekuwa nikiifuatilia hii biashara ambayo si maarufu hapa nchini kwetu Tanzania .Biashara hii imejikita katika ukusanyaji na uuzaji wa kazi mbalimbali za zanaa za ubunifu mfano ...
If you’re one of the many business owners spinning numerous plates and tackling everything that needs doing single-handed, or indeed if you’re a consultant helping said business owners in areas...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.