Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Habari wanajamvi, Siku za karibuni kulikuwa na mtikisiko wa soko la cyrptocurrency hasa katika coin yao pendwa ya Bitcoin (BTC), kutokana na mtikisiko ule waekezaji wakubwa au makampuni mengi...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish Last week, this pair rose from the support line at 1.2250 and tested the resistance line at 1.2550 (a movement of 300...
2 Reactions
3 Replies
722 Views
Wateja wangu wanataka maji matamu ( baridi) kisima changu kina maji chumvi, nifanyaje wana jf? Nimeshauriwa niweke dawa ila hizo dawa sizijui.
0 Reactions
50 Replies
29K Views
Nataka kufungua mradi huo,nahitaj mchanganuo na mawazo sana jf
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Jamani wana jamii nini nahitaji kufanya biashara ya saluni ya kike (kutengeneza kucha+kupaka rangi + pamoja na kuweza kope za bandia) lakinini abroad nchi mbili hizi za Zambia[/USER] +Mozambique...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Nenda mjini kwenye maduka ya jumla, nunua yeboyebo fasion za kisasa, yebo 1 kwa bei ya jumla utainunua kwa sh elf 2, wewe mtaani kwako utaiuza elf 2500,-ukiuza pea 10 maana yake una faida ya elf...
2 Reactions
15 Replies
7K Views
Wadau habarini za muda huu, naomba mwenye uelewa na madini yafuatayo anipe shule kidogo juu ya aina ya madini, soko lake na bei. Kuna rafiki yangu amepata sehemu yapo lakini hajui yanatumika kwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu Kuna ambaye amewahi kukopa UTT Microfinance kupitia umiliki wake wa vipande au share alizonazo DSE? Naombeni kufahamu interest yao ni asilimia ngapi Asanteni
0 Reactions
1 Replies
1K Views
[emoji777]
1 Reactions
40 Replies
3K Views
For anyone who want to be V-pesa agency and make more money every single day, Please call now on 0718371221 / 0764705712 Paul Alex) au 0684666945 Edwin chapa) or email paulchapa0744@yahoo.com for...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
habar zenu wakuu Kuna kijana katoka kijijin kaja kwangu kwa lengo nimtaftie kazi ila kwa haraka haraka vyuma vimekaza mno so nikaona ni bora nimuwekee hata ki biashara tu kidogo ili...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Salaam wanajamvi, ni matumaini yangu mko wazima wa afya mkiendelea na mihagaiko ya kila siku kwa ajili ya kujipatia mkate. Kama kichwa cha habari kinavyoeleza ninaomba mwenye uelewa na hawa watu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Za asubuhi waungwana, Nadhani wote tunafahamu hizi namba za malipo ambazo tunatumia kuzilipa kampuni mbalimbali, zinakuaga tarakimu sita kama sikosei. Mfano kwa wale wanaobet, Premier Betting ni...
0 Reactions
3 Replies
10K Views
Naomba msaada na ushauri jinsi gani unaweza kufund brokerage account nje ya nchi kama vile Hong Kong!
0 Reactions
31 Replies
8K Views
Wana JF wa uwanja huu naomba msaada kidogo kwa wenye kuelewa wanisaidie Kwa mfano nataka kufungua biashara yangu kitu muhimu kwenye biashara ni Leseni ya Biashara. Lakini naomba kujua je ni...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Kuwa makini sana na hawa watu wanaojiita Focus bikoba,ni matapeli sana na wanatoa matangazo kuwa wanakopesha ukiwafatilia wanakudanganya unatuma hela ili wakusajili alafu wanakugeuka,watu wengi...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
A newCanadian cryptocurrency that will be launched on March 1, 2018. Register now and get free 1000 tokens. Each token could be worth a few cents up to about $1 when launched in March which means...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kutoa ni moyo na siyo utajiri kijana mwenzetu ameliona hili kua mwaka ndio kwanza unaanza.Ni bora kupambana mapema kabisa ju ya kesho yako ya mafanikio. Na katika maisha kushikwa mkono imo tena na...
6 Reactions
158 Replies
14K Views
University is supposed to be the best time of your life - you have the chance to broaden your horizons and bolster your chance at a better life. The reality is that most poor students are facing...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
GOLD (XAUUSD) Dominant Bias: Bearish Gold is bearish in the short-term, and bullish in the long-term. The second half of December 2017 was very bullish, and the bullishness continued last...
0 Reactions
1 Replies
483 Views
Back
Top Bottom