Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Za asubuhi nyote. Naombeni msaada kidogo wa kupatiwa maeneo ambayo kuna wakulima wengi wenye kulima mazao ya biashara. Na wakulima wenyewe wanauza kwa vikundi au wanauzia makampuni moja kwa moja...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari wandugu, poleni na mihangaiko. Kusudio langu kwa wale wanaofahamu gharama ya kupata CRDB visa or master card inagharimu sh ngapi. Lengo ni kufanya malipo ya nje ya nchi na pia kuunganishwa...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Uhali gani mwana Jamii Forum, natumaini umzima kabisa. Husika sana na title hapo, napenda kuuliza: Inawezekana kwa mtu binafsi kuanzisha sehemu ya biashara zinazofanyika hasa vijijini ambazo...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakati Gazeti laThe Citizen likiripoti kushuka kwa ukuaji wa uchumi kulingana na projection ya Benki ya Dunia, Gazeti la Daily News lenyewe linaandika: "Dar economy is flying high" huku yote...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hii ni kwa wale wageni wanao kuja jijini mwanza, rejea kichwa cha habari hapo juu na kupiga namba hii 0763269695 ili ujipatie usafiri na mapokezi yenye uhakika mpaka sehemu utakapo fikia. TUNAKU...
0 Reactions
0 Replies
810 Views
Team manyumbu najua povu litawatoka tu Dola imerud mle mle 224..
0 Reactions
1 Replies
967 Views
Wadau naipongeza sana Serikali ya Awamu ya 5 Kwa sera yake ya ufufuaji VIWANDA.Furaha yangu itakuwa pale Kiwanda cha nyama na nguo vitakapo fufuliwa.(TANGANYIKA Packers na Urafiki) Sent using...
3 Reactions
33 Replies
4K Views
Nahitaji kununua gari ya biashara aina ya coster, najua kuna wajuzi wa haya mambo nahitaji kufahamu gharama za uendeshaji wa hii biashara, itanilipa baada ya muda gani, na hasara zake ni zipi...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Maswali 1. Elezea ni kwanini riba za bank za Tanzania ni 18%-25% wakati nchi nyingine wana riba za 5% kwa sasa? 2. Je hii inapunguza vipi kupanuka kwa uchumi? 3. Je tufanyaje kupunguza riba na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu salaam, Nina wazo la kuanzisha kiwanda kidogo cha uchapishaji vitabu (Micro Press). Ninaomba msaada kwa mwenye uzoefu na shughuli hizi katika mambo yafuatayo: 1. Aina za Mashine za muhimu...
1 Reactions
14 Replies
7K Views
Kila nchi ina vigezo vyake vya kiuchumi na ina mambo ambayo yanategemewa sana ,katika kuendeleza uchumi wake.Kwa mfano mambo yanayoufanya uchumi wa Marekani kukua ni wingi wa Maliasili kama...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
example of mbeya coal power plant . Kibo Mining the listed Company on the AIM market in London and the AltX in Johannesburg. The Company focused on exploration and development of mineral projects...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni kweli kuwa kuna huduma nzuri mnazitoa, Ila mnatakiwa kujua kuwa sisi ni wateja wenu na tunaweza kuwahama muda wowote, 1. Vifurushi vyenu vinasumbua ku- extend kama hamna huduma iyo ni bora...
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Most Forex brokers aren't your traditional financial intermediaries found on Wall Street. When operating in international currency and CFD markets, full understanding of the structure and...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarini wadau wa JF ! Nahitaji msaada wa mfumo mzuri wa uongozi wa kampuni. Kama kuna watu wa utawala humu, raslimali watu nk wanisaidie. Ikiwa kampuni ndogo tu au ya kati na hususani kwenye...
0 Reactions
23 Replies
13K Views
Wakubwa shikamoooooo !!, wa rika langu habari za jioni ??, ninaowazidi marhaba wakuu ni kwamba nimenunua kiwanja kama nusu ekari karibu na hospitali ya mkoa huko kwetu Njombe, Sasa nipeni ushauri...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wadau hivi inawezekana kupata mkopo kwenye mabenki esp. NMB na CRDB kwa dhamana ya nyumba isiyo na hati? ila hiyo nyumba ipo kwenye kiwanja kilichopimwa na kina offer/leseni ya kiwanja. Msaada kwa...
0 Reactions
13 Replies
11K Views
Pyramid schemes might not be quite as old as the pyramids themselves, but they’ve been around for a long time. Most people know the telltale signs — promises of fast money, pressure to recruit...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
REFA AKITOA KADI ANAANDIKA KWENYE KITABU CHA KUMBUKUMBU ILA WEWE NA MIMI TUKITO Pesa TUNAANDIKA KICHWANI.. Hapa leo ngoja tuchanane ukweli, Wengi wetu hatuna utamaduni wa Kurecord kiasi cha Fedha...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom