Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Uk independent exploration and production company (Aminex) the operator has applied for 25 years development license of Notary field, Ruvuma basin in Tanzania. The development plan involves...
0 Reactions
1 Replies
894 Views
Kamishna wa kodi za ndani wa TRA,Ndg.Elijah Mwandumbya aamua kupigania maslahi ya wasanii wa taifa kwa ujumla kwa kuzuia ulanguzi wa kazi za wasanii unaopelekea serikali kupoteza mapato kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu zangu awali ya yote natanguliza tena msamaha kwenu iwapo nitakuwa nimefanya kosa lolote ktk kuumba huu uzi wangu aidha kama nimepost ktk ukumbi ambao sio wake au kama nimeurudia baada ya...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Tunaweza kutumia utajiri wa madini kuleta uchumi wa viwanda? Angalia kinachotokea katika nchi zenye utajiri wa mafuta! Petrol-producing countries Oil-rich countries saw similar failures in their...
0 Reactions
0 Replies
615 Views
Uchumi wetu upo kwenye hatua ipi?Recovering,Recession,Peak ama Depression? Leo humu mtandaoni nimeona matangazo ya kampuni moja kubwa ya simenti na benki moja zikitangaza hasara huku jana...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari wana Jukwaa, Kama kichwa cha habari hapo juu, Siku chache zilizo pita Dar kulikuwa na mvua za hapa na pale, kwenye pita pita zangu nikakutana na muuza makoti ya mtumba, nikalipenda moja...
1 Reactions
39 Replies
7K Views
[emoji144][emoji404][emoji383]⚙[emoji144][emoji404] KUFANIKIWA KATIKA MAISHA SIO ELIMU TU, BALI NA UJASIRI WA KUJIAMINI NA KUTHUBUTU! [emoji116][emoji116][emoji116] Ukichunguza katika jamii...
4 Reactions
8 Replies
6K Views
What happening Jamani. ....???
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Katika jiji kama hili la DSM nashangaa sana kuona bado hatujaweza kuwa na mfumo wa kuwa na maduka yetu kufanyakazi hadi angalau saa 4 usiku. Inakuwaje main shoping area inayojulikana sana hata...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Op Msaada kulipiwa mafunzo ya TMT, yatayofanyika Dar es salaam tareh 23/10/2017-27/10/2017 Mm ni kijana wa kiume, umri wangu ni late 20s naish Dar es salaam, mm ni mhitimu chuo fulani nchin...
9 Reactions
42 Replies
6K Views
GOLD (XAUUSD) Dominant Bias: Bearish Gold is a choppy market, though movement has generally been bearish. Last month, price went upward to test the resistance level at 1305.78, before dropping...
0 Reactions
1 Replies
604 Views
Ishu ni kwamba meme ni mjasilia mali nahitahi mkopo hata wa 2 m ili nikuze biashara yangi nifanyaje na je nipitie njia zipi
1 Reactions
0 Replies
787 Views
Habari, wana JamiiForums, Naomba wataalamu wanisaidie, mawazo, natakana kusuplly wi-fi, katika eneo lenyemsongamano mkubwa wa watu, hasa wanafunzi. Lengo kuu ni biashara, mfumo nataka uwe hivi...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
I don't know how to say b'se most of people. We struggle for poverty or financial problems b'se of ignorance and fear not the economy or government or other reason.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Poleni na majukumu ya hapa na pale wadau. Leo nimewaletea fursa niliyoiona nataka tushirikishane ideas. Iko wazi sasa hivi kuwa biashara ya mazao nchini imekua mbaya hii nikutokana na masoko ya...
3 Reactions
18 Replies
8K Views
Hatua ya kuamua kuingia katika biashara Kuamua kuingia katika biashara ni majumuisho ya utayari wa kisaikolojia, kiakili, kiuchumi na kukabiliana na hatari au vitisho vyote vitakavyojitokeza...
4 Reactions
14 Replies
11K Views
Naomba ushauri nataka kwenda mozambique au DRC congo kuanza biashara ya ununuzi wa madini na kuuza. Mtaji wangu ni USD $1000
0 Reactions
13 Replies
9K Views
Je kuna mtu yoyote anaeweza kunisaidia kuhusu kampun yoyote iliyoko tanzania inayojihusisha na utengenezaji na uuzaj wa mabus makubwa kwa hapa tanzania. Nnataka nifanye tathmin either kuimport au...
0 Reactions
33 Replies
21K Views
Nimepata shida ya ghafla biashara imeyumbaa. Si unajua msimuu wa Magufuli huu So nina uhitaji wa Tsh laki moja au elfu 80 naomba mnikopeshe. Nipo kwenye kipindi cha mpitoo biash ara imeyumba...
0 Reactions
72 Replies
10K Views
Imeripotiwa na gazeti la Mwananchi kuwa, bei za mafuta ya dizeli, petroli na mafuta ya taa zimepanda kuanzia Novemba Mosi, 2017. Chanzo gazeti la Mwananchi: Bei za petroli, dizeli na mafuta ya...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom