Uk independent exploration and production company (Aminex) the operator has applied for 25 years development license of Notary field, Ruvuma basin in Tanzania.
The development plan involves...
Kamishna wa kodi za ndani wa TRA,Ndg.Elijah Mwandumbya aamua kupigania maslahi ya wasanii wa taifa kwa ujumla kwa kuzuia ulanguzi wa kazi za wasanii unaopelekea serikali kupoteza mapato kwa...
Ndugu zangu awali ya yote natanguliza tena msamaha kwenu iwapo nitakuwa nimefanya kosa lolote ktk kuumba huu uzi wangu aidha kama nimepost ktk ukumbi ambao sio wake au kama nimeurudia baada ya...
Tunaweza kutumia utajiri wa madini kuleta uchumi wa viwanda?
Angalia kinachotokea katika nchi zenye utajiri wa mafuta!
Petrol-producing countries
Oil-rich countries saw similar failures in their...
Uchumi wetu upo kwenye hatua ipi?Recovering,Recession,Peak ama Depression?
Leo humu mtandaoni nimeona matangazo ya kampuni moja kubwa ya simenti na benki moja zikitangaza hasara huku jana...
Habari wana Jukwaa,
Kama kichwa cha habari hapo juu,
Siku chache zilizo pita Dar kulikuwa na mvua za hapa na pale, kwenye pita pita zangu nikakutana na muuza makoti ya mtumba, nikalipenda moja...
[emoji144][emoji404][emoji383]⚙[emoji144][emoji404]
KUFANIKIWA KATIKA MAISHA SIO ELIMU TU, BALI NA UJASIRI WA KUJIAMINI NA KUTHUBUTU!
[emoji116][emoji116][emoji116]
Ukichunguza katika jamii...
Katika jiji kama hili la DSM nashangaa sana kuona bado hatujaweza kuwa na mfumo wa kuwa na maduka yetu kufanyakazi hadi angalau saa 4 usiku. Inakuwaje main shoping area inayojulikana sana hata...
Op Msaada kulipiwa mafunzo ya TMT, yatayofanyika Dar es salaam tareh 23/10/2017-27/10/2017
Mm ni kijana wa kiume, umri wangu ni late 20s naish Dar es salaam, mm ni mhitimu chuo fulani nchin...
GOLD (XAUUSD)
Dominant Bias: Bearish
Gold is a choppy market, though movement has generally been bearish. Last month, price went upward to test the resistance level at 1305.78, before dropping...
Habari, wana JamiiForums,
Naomba wataalamu wanisaidie, mawazo, natakana kusuplly wi-fi, katika eneo lenyemsongamano mkubwa wa watu, hasa wanafunzi.
Lengo kuu ni biashara, mfumo nataka uwe hivi...
I don't know how to say b'se most of people. We struggle for poverty or financial problems b'se of ignorance and fear not the economy or government or other reason.
Poleni na majukumu ya hapa na pale wadau.
Leo nimewaletea fursa niliyoiona nataka tushirikishane ideas.
Iko wazi sasa hivi kuwa biashara ya mazao nchini imekua mbaya hii nikutokana na masoko ya...
Hatua ya kuamua kuingia katika biashara
Kuamua kuingia katika biashara ni majumuisho ya utayari wa kisaikolojia, kiakili, kiuchumi na kukabiliana na hatari au vitisho vyote vitakavyojitokeza...
Je kuna mtu yoyote anaeweza kunisaidia kuhusu kampun yoyote iliyoko tanzania inayojihusisha na utengenezaji na uuzaj wa mabus makubwa kwa hapa tanzania. Nnataka nifanye tathmin either kuimport au...
Nimepata shida ya ghafla biashara imeyumbaa. Si unajua msimuu wa Magufuli huu
So nina uhitaji wa Tsh laki moja au elfu 80 naomba mnikopeshe. Nipo kwenye kipindi cha mpitoo biash
ara imeyumba...
Imeripotiwa na gazeti la Mwananchi kuwa, bei za mafuta ya dizeli, petroli na mafuta ya taa zimepanda kuanzia Novemba Mosi, 2017.
Chanzo gazeti la Mwananchi: Bei za petroli, dizeli na mafuta ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.