Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Manji jeuri, amefungiwa ofisi za Quality Center sasa leo kaitisha press anasema anainunua Nakumatt Supermarket. Taarifa Zaidi Kufuata
16 Reactions
142 Replies
16K Views
It is not a map, this is a house model.contact : 0763269695 to get your own house map with it's model.
1 Reactions
2 Replies
861 Views
Habari ya Mchana huu wadau. Naomba Niende moja kwa moja Kwenye hoja Mimi Napenda kujifunza namna ya kuandaa mihuri yaani uchapaji kwa mfano kama vile Kwenye tshet za shule au vikundi mbali...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kama uasherehe za kiislamu zinazo husiana na KUMTOA MTOTO HARUSI KITCHEN MADA NADHIRI HAKIKA ARUBAINI YA MTOTO Madrasa hii inafanya vizur kabisa katika maadili ya dini ni madrasat da-awat ssayf...
0 Reactions
1 Replies
895 Views
Wakuu poleni na majukumu Mi nikijana ambae nataka kujiajiri sasa napata tatizo kidogo, nimeweza kuanzisha website yangu na pages kadhaa tayari kwaajili ya advertisements sasa nimefika kati kati...
1 Reactions
2 Replies
844 Views
Stanzania
0 Reactions
8 Replies
811 Views
0 Reactions
1 Replies
693 Views
Wadau amani kwenu, nimekuwa nina ndoto ya kufungua kampuni ya consultancy, nimepitia website ya BRELA, lakini naomba uzoefu kwa wale waliofanikiwa hasa kuhusu mtaji, maana hii ndio changamoto...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Nimeichukua mahali, Inaweza kukusaidia, Ushawahi kuwaza kwanini kuna watu maisha yetu daily yanakua yanasukumwa na Mikopo? Ni kwa sababu tunakopa kununua vitu ambavyo baada ya muda wa mkopo na...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi naomben msaada wa maelezo kuhusiana na UTT Nilinunuaga units 100 mwaka 2005 walipokuwa wanazitangaza by then I was a student in kilimanjaro nikasuggest badala ya Kuwa napewa pesa...
0 Reactions
7 Replies
12K Views
Kwa wanachama wa NSSF, hakikisha unakwenda sambamba na mwajiri wako kwa michango yako ya kila mwezi' kwa kufuata utaratibu huu hapa chini: KUJUA KIASI ULICHO CHANGIA KWA WANACHAMA wa NSSF: Fuata...
1 Reactions
34 Replies
47K Views
Wakuu jamvini nataka kupiga hatua kwenye hii biashara yangu ya kuuza maziwa fresh, kwa kuanzisha kiwanda kidogo cha kuyapack kwenye vigaloni vya lita tano na packing ndogondogo za kupreserve kwa...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Kampuni ya Ante BV. ya Uholanzi inajishughulisha na utengenezaji na uuzaji wa mashine na Mitambo ya kilimo na usindikaji wa Maziwa na vyakula vinginevyo. Mashine hizi ni mipya kwa oda maalum toka...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Napenda kuchukua nafasi hii kuwataadhalisha Mihan gas kwa ujinga wa mipango isiokuwa na manufaa kwa jamii wala kampuni yenyewe Kwanza kabisa bado ni wachanga katika usambazaji wa mitungi na gas...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Baada ya Kukosa kazi nikawa nawaza. Unga kllo 50 kwa mwezi tsh 65,000/=, kwa mwaka 780,000/=. Maharage kilo tsh 2,000, kwa siku @265 530,000/=, nyama kilo 6500, kwa siku 100 650,000 (jumla siku...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Neutral Price went down on Monday and Tuesday, went up on Wednesday and Thursday, and came down again on Friday. This kind of...
2 Reactions
3 Replies
833 Views
Za mda huu wakuu, Naanza hoja bila kupoteza mda, Kwa kawaida huwa tuna siku za kitaifa ambazi watu huwa wanatumia kupumzika Au kutokwenda kazini lakini kwa wakati huo huo siku hiyo watu huwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Anajifanya kuwa ni mfanyakazi wa Airtel huduma kwa wateja kwa jina la Peter Dickson. Ukifuata anachokuelekeza unaibiwa pesa kwenye account yako ya airtel money.
3 Reactions
18 Replies
4K Views
Wakuu nataka kujikita katika uagizaji wa spare za magari madogo na makubwa, tatizo sielewi hawa jamaa wa TRA wanachaji vipi kama unaleta used spare parts
0 Reactions
1 Replies
3K Views
The question above is common whenever I come across people who used to be traders. They started trading because they thought it was easy and because they thought they’d strike it rich...
6 Reactions
1 Replies
901 Views
Back
Top Bottom