Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Wakuu, Naomba kufahamu kwa undani mji wa Katoro. Fursa zake za kiuchumi, kilimo, ufugaji, biashara, miundombinu, makazi n.k. Je ni sehemu salama pia? Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Sawa, najua mnaambiana kuwa hakuna tajiri aliyeajiriwa. Acheni upotoshaji, kila tajiri kaajiriwa na biashara yake na anafuata masharti na matakwa ya biashara yake la sivyo hio biashara itampiga...
4 Reactions
32 Replies
5K Views
Wajameni mnijuze kama ndege yeu pendwa iko tayari matengenezo ya wi fi nataka kuwahi mwanza kesho mapema
1 Reactions
0 Replies
2K Views
habari humu, nahitaji partner wakuanzisha nae biashara ya salon yakike, Nipo Dar.. Mimi najua kuseti, kufanya Makeup, kushonea weaving zote na kutengeneza wigs vizuri kabisa. Mtu nnaemuhitaji awe...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Naombeni msaada wa kujua haya ni madini gani na soko lake likoje,kwenye shamba la bibi yangu Tanga mombo wakati analima amekutana na mawe meusi halafu jembe limetanasa kama sumaku.Je hayo ni...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Dreamliner to make debut landing at JKIA The Dreamliner Boeing 787 - which first took to the skies in September The Dreamliner Boeing 787 - which first took to the skies in September - will...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jipatie saa za ukutani za mapambo yaani decorative wall clock kupendezesha muonekano wa nyumba/ofisi yako whatsapp/call 0672671066
1 Reactions
3 Replies
6K Views
Baada ya kuhamasika na kulima zaidi mihogo badala ya mahindi waliyoyazoea kama zao la biashara na chakula. Baada ya mafanikio ya wakulima wa kijiji cha Kwamsisi kupitia mihogo na wengine kuiga...
1 Reactions
23 Replies
7K Views
Heshima yenu wana JF..[emoji112] Mimi ni mwanafunzi wa chuo naomba kufahamishwa biashara au fursa gani naweza kufanya yenye mtaji mdogo. Naamini kuna wadau walisha soma na wengine wanasoma ila...
2 Reactions
9 Replies
9K Views
Habari za majukumu wakuu, Naomba mwenye ujuzi na uzoefu juu ya masuala ya ujenzi anisaidie. Nahtaji kujenga nyumba ya vyumba vitatu kiwanja tayari ninacho na mshahara wangu ni laki 7 kwa mwezi...
2 Reactions
59 Replies
19K Views
Nilikuwa naangalia KTN hapa; naona twiga cement wame suspend uzalishaji wa cement kwa kipindi kisichojulikana kuanzia leo. Tutegemee bei ya cement kwenda chini zaidi. Wanyonge wa tz wanaendelea...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hi wanajukwaa,nimekua nikituma mizigo Botswana kwa njia ya DHL ,ni garama sana hii njia kwa kweli, naombeni njia nyingine rahisi kwa wenye uzoefu kusafirisha mizigo kwenda Botswana kutoka Tanzania.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wakuu habar zenu. Mimi nilikua mfanyakazi wa kampuni flani ya uchimbaji migodini . Mimi ni mkazi wa Mwanza.Niliacha kazi na kuanza kufatilia mafao yangu NssF na hatimaye baada ya mwaka mmja...
1 Reactions
54 Replies
5K Views
Walionunua ving'amuzi vya Azam, DStv, Zuku walifahamu kabla ya kuvinunua kuwa ni vya kulipia. Walivinunua kwa kazi nyingine, sio kwaajili ya kuangalia TBC, ITV, Channel ten, Clouds na Star tv...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari! Napenda kuuliza Hivi kwa mtu ambaye anaprofit consistently kwenye DEMO ACCOUNT na akaamua kuingia kwenye REAL ACCOUNT na kuanza kutradr atamake the same profit ? au kuna urahisi kwenye DEMO??
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Mambo yamenifika shingoni wakubwa tunaosoma chuo bila mkopo ni shida tupu. Nimeamua kuweka vyeti vyangu bond kwa mtu atakae nisaidia laki saba nilipe chuo ili niweze kufanya mtihan ulioanza leo...
2 Reactions
28 Replies
7K Views
Mikopo ya bure kutoka ''Tala' Hongera lakini kuwa makini na wabongo! Wana bodi, Kuna kampuni moja ktoka Kenya inatoa mikopo bure kupitia simu bila muomba mkopo kutoa vielelezo kama kampuni...
3 Reactions
44 Replies
11K Views
Wadau salaam zenu, Najua hiki ni kisima cha maarifa na ndo maana nimeweka wazi nia yangu ya muda mrefu ili nipate mawazo yenu. Mpaka sasa nimeshanunua ardhi yenye ukubwa wa ekari tatu...
0 Reactions
22 Replies
9K Views
Katika kupambana na hali zetu ajira hamna sasa tunatakiwa kujiajiri. Kuna jiko limepatikana katika bar maarufu Mbagala na kwa uzoefu wangu jiko hilo linalipa sana. Jiko hilo limeachiwa kutokana...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Za kwenu wapendwa,, nna vitz yangu hapa sema nlikua naomba ushauri niiunge taxify au niiunge uber na je huwez kujiunga zote mbili? wenye uzoefu wanisaidie
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Back
Top Bottom