sis ni mawakala wa bima za aina zote, tukiudumia bima kutoka makampuni yote ya nchi nzima
1. magari na pikipiki
2. bima za afya
3. bima za moto
4. bima za wizi
5.bima za mizigo...
Mashine ya kukamulia juice ya miwa inauzwa ni ya umeme,ina roller mbili,ipo na kibanda chake kabisa,ni Tsh 2,000,000....bei inaongeleka,mashine ipo DAR ES SALAAM,SALASALA kwa mawasiliano 0693208482
*OPTIMAL FIRMING LOTION*
Page 31 code 31314
[emoji830]Hii ni seti nyingine ya optimals body ambayo hutumika kwa ajili ya ku tight mahali ambapo kuna nyama za uzembe./nyama zilizotepeta...
Tuungane ili Tufanikiwe Katika hili!
Natafuta makampuni au taasisi mbalimbali zitakazokuwa tayari kudhamini project hii niliyoandaa ya biashara na habari.
SageWap ni website itakayofanya kazi...
Hanari za leo wakuu! Kama kichwa kinavyosema hapo juu, naombeni msaada kwa yeyote anayejua anisaidie kunipa taarifa ya gharama za kusafirisha ng'ombe kutoka maeneo ya Karagwe, Mwanza, Shinyanga...
Jamani wana Jamii naombeni msaada wa kimawazo nahitaji kwenda Nairobi kwa kazi ya saluni ya kike but sijajua ni sehemu ipi inafaa ,hata kodi zao za nyumba zikoje kwa mwezi
habari zenu wakuu.. naomba msaada wa mawazo, nko njia panda kidogo.
Mimi ni kijana 25yrs nlianza maisha ya kujitegemea kama miaka 2 iliopita baada ya kumaliza elimu yangu ya diploma, makazi yangu...
We understand that SWALA OIL AND (T) plc is in the process of acquiring 40% of ORCA EXPLORATION PLC/PAN AFRCAN ENERGY TANZANIA. After SWALA acquired its first tranche, TPDC and Controller Auditor...
Wana JF secta hii ya Microcredit ni nzuri sana, kuna fursa kwa anayehitaji kuwekeza kwa masharti ya kwamba
1. awe na mtaji wa sh 400,000 - 1,000,000, kila sh 100,000 atapata faida ya sh 5,000 kwa...
Kuna mtu ananishawishi sana niingie kwenye hii kitu.
Naomba kuna watu walishajiunga na wakafanikiwa walete ushuhuda kabla sijaingiza Pesa zangu.
*BITWORLD CENTER* ni kampuni iliyosajiriwa *Rio...
Salaam Wakuu,
Kadri siku zinavoenda kunatokea mabadiliko kadha wa kadha katika sector mbali mbali za kiuchumi kuanzia usafirishaji , kilimo,biashara na Huduma, n.k katika taifa letu.
Mabadiliko...
Habari ndugu watanzania,
natumaini munaendelea vyema na jitihada za ujenzi wa taifa letu hili changa kiuchumi,
nikiwa kama mtanzania kijana ninapambana kwa ustawi wa taifa langu na familia yangu...
Air Tanzania needs a radical changes if it wants to make a profit, stay afloat and beat the competition.
One of the things it should do, is to convert its engines to function on LNG (liquefied...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.