Omary Ndama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 3,367
- 4,056
Katika kupambana na hali zetu ajira hamna sasa tunatakiwa kujiajiri.
Kuna jiko limepatikana katika bar maarufu Mbagala na kwa uzoefu wangu jiko hilo linalipa sana. Jiko hilo limeachiwa kutokana na ugomvi binafsi baina ya meneja wa bar na wamiliki wake.
Nimekuja jukwaani hapa kuhitaji mfadhili katika biashara hiyo. Narudia tena "inalipa" na nathibitisha hilo kutokana na ninavyoijua bar hiyo ilivyokuwa ilivyo na inavyoelekea, ila tu jiko liliyumba kutokana na msimamizi kutokuwa na uzoefu na kazi hiyo.
Hivyo mwana jukwaa yeyote aliye tayari kuwekeza katika hilo namkaribisha sana kuwekeza. Tatizo kinachotusumbua vijana wa Magufuli ni mtaji. Mfadhili aliye tayari aje PM tuyajenge tupunguze tatizo la ajira nchini maana jiko lile linakamata ajira ya vijana wasiopungua kumi wenye uhakika wa kuendesha maisha yao pasipo tatizo lolote.
Nawasilisha....
Kuna jiko limepatikana katika bar maarufu Mbagala na kwa uzoefu wangu jiko hilo linalipa sana. Jiko hilo limeachiwa kutokana na ugomvi binafsi baina ya meneja wa bar na wamiliki wake.
Nimekuja jukwaani hapa kuhitaji mfadhili katika biashara hiyo. Narudia tena "inalipa" na nathibitisha hilo kutokana na ninavyoijua bar hiyo ilivyokuwa ilivyo na inavyoelekea, ila tu jiko liliyumba kutokana na msimamizi kutokuwa na uzoefu na kazi hiyo.
Hivyo mwana jukwaa yeyote aliye tayari kuwekeza katika hilo namkaribisha sana kuwekeza. Tatizo kinachotusumbua vijana wa Magufuli ni mtaji. Mfadhili aliye tayari aje PM tuyajenge tupunguze tatizo la ajira nchini maana jiko lile linakamata ajira ya vijana wasiopungua kumi wenye uhakika wa kuendesha maisha yao pasipo tatizo lolote.
Nawasilisha....