hahahahahahaWe angalia isije ikawa hio sehemu paliwahi kufukiwa spika...
Wataalam watakujibu
Piga picha nzuri kwenye mwanga tuma tuoneNaombeni msaada wa kujua haya ni madini gani na soko lake likoje,kwenye shamba la bibi yangu Tanga mombo wakati analima amekutana na mawe meusi halafu jembe limetanasa kama sumaku.Je hayo ni madini gani na soko lake likoje kwani yako mengi sana.
geologistNaombeni msaada wa kujua haya ni madini gani na soko lake likoje,kwenye shamba la bibi yangu Tanga mombo wakati analima amekutana na mawe meusi halafu jembe limetanasa kama sumaku.Je hayo ni madini gani na soko lake likoje kwani yako mengi sana.
geologist
napatkana 0767334778
nipo arusha
Sunstone hot sana sahv huko Hong Kongbiashara hiyo sunstone
sasa tunapataje soko au wewe unanunua mimi ninayo ya chamkoromaSunstone hot sana sahv huko Hong Kong
Inatakiwa sana sana ya gairo....kitati na chamkoroma
Sema ugumu usafirishaji sahv wa madini ni issue especially mawe ya kilo serikali bado imezuia
Ova
Wewe si mmojawapo?Ungewekaa pichaa ili wa geologia wakusaidie...hivyo itakua ngumu ku predict..
Connection ipo nairobi wanunuzi wengi wako huko sahivi shida kutoa mawe vibalikwa hiyo tunafanyaje sasa mkubwa hatuwezi kupata konnection
na mimi nitafutie connection huko GairoConnection ipo nairobi wanunuzi wengi wako huko sahivi shida kutoa mawe vibali
Mimi nko gairo kesho ntakupigia sim
Ova
Una order ya sunstone ninina mimi nitafutie connection huko Gairo
yap.kilo kuanzia hamsiniUna order ya sunstone nini
Wewe tu
Ova
quality?...high quality.....pink ,yellowQuality gani unataka
Ova