Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Habari wakuu,, natumaini ni wazima wa afya njema,, kwa wenye matatzo Mungu awafanyie wepesi mpone tuendelee na harakati za kujikwamua kimaisha. Naitwa Brown Job wazo langu kuhusu biashara ya...
1 Reactions
11 Replies
8K Views
Habari, Mimi ni kijana mwenzenu mwenye ndoto ya kufanikiwa nakufika mbali kimaisha na kusaidia watu wasiojiweza,watoto yatima,mama wajane,wazee wasiojiweza. Nimemaliza Chuo kikuu mwaka 2015,kwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wadau heshima kwenu.. Kichwa cha habari hapo juu kinahusika kwa asilimia zote 100% Wajuvi wa busness Nikiwa na mtaji wa Million 10 biashara gani naweza kuifanya nikiwa nchini Marekani?
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Kijiji Kimoja Alikuja Mchina Akasema Anahitaji Paka (Cat/ Nyau)[emoji250], Ananunua Mmoja Kwa Bei Ya 20,000/=, Basi Wanakijiji Wanahaha Kusaka Paka[emoji250], Wanawaleta, Mchina Ananunua Wote...
12 Reactions
19 Replies
5K Views
Habar wadau? Mimi nina kqmpuni,nina ofisi kubwa ,nina vibali vya kufanya kazi za serikali kweny taasisi zake! Wakati nafungua nilikuwa natafta wau nipate 10m kwa ajili ya biashara ya lending...
0 Reactions
5 Replies
798 Views
Naomba nifahamu changamoto na faida ya kufuga mbuzi kibiashara. Maana leo nimetazama kwenye TV habari kwamba mbuzi wa elfu sabini ameuzwa lakj na sabini. Hivyo nimetamani kufuga mbuzi kuanzia leo
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, naomba mwenye uelewa wa kununua kupitia Alliexpress naomba msaafa plx. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari Naomba kuuliza hivi kwa kutumia usafiri wa ndege inachukua muda gani kutok Dar es salaam mpak Kigali-Rwanda? Na ni ndege zip zina root hyo
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi si mtaalamu wa uchumi lakini naweza kusoma nyakati, kiukweli umma hauna pesa mifukoni hali ambayo kimsingi inatokana na utekelezaji wa serikali iliyopo madarakani (Maisha yamebana bhana)...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau wengi nliopata kuzungumza nao walio fanikiwa kupitia mikopo walineleza kanuni moja ambayo waliitumia mpaka kufikia mafanikio waliyo nayo (nao waliipata jwa wataalamu wengine waliokwisha...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Hapa naongelea biashara zote ambazo zinakatazwa na Serikali kama vile bangi, madawa ya kulevya, biashara za watu n.k Ukianza kufanya hizi biashara utakuwa tajiri sana. Naombeni wenye ujuzi wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Tatizo la wabungo hili Mbongo alieajiriwa ofisini, mwenye kipato cha shilingi laki tano au pungufu kwa mwezi anamdharau mtu aliejiajiri kuuza nyanya anaepata kipato cha mpaka millioni 2 kwa...
1 Reactions
2 Replies
820 Views
August 23, 2028 LONDON -- Aminex has provided the following update on its operations in Tanzania. Ruvuma PSA The tendering process for a rig to drill Chikumbi-1 (CH-1) is now complete and the...
0 Reactions
0 Replies
506 Views
Wakuu salaam. Kuanzia mwezi February 2017 nilianza ufugaji wa kuku wa mayai, kwa fedha ndogo ya akiba niliyokua nayo na nilifanikiwa kuanza na kuku 300, kutokana na ugeni ktk eneo hili na hadi...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Ujenzi wa awamu ya kwanza wa reli ya kisasa (Standard Gorge) umefikia asilimia 16 na unatarajiwa kukamilika ndani ya miezi 30 ifikapo Novemba 2019. Reli hiyo ya kisasa itakuwa ya treni yenye kasi...
4 Reactions
55 Replies
14K Views
Wakuu,anaandika Edo kumwembe Hivi ile fashion ya vijana wa dar kwenda kulima vitunguu Ruaha imeishia wapi.... Acheni kuchezea kazi za watu.... Sent using Jamii Forums mobile app
6 Reactions
23 Replies
4K Views
Jamani Nina kreti 20 nahitaji kujiunganisha na coca-cola ili waniletee na niuze jumla... Je inawezekana vipi..! Msaada wapendwa..? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
999 Views
Habarini ndugu zangu,mimi najishughulisha na ufundi cm je nitatakiwa nami kwenda kukata lesen ya biashara kutokana na kazi hiyo ya ufundi au la?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana JF. Kwa yeyote ambaye ameshawahi kutembelea Kigali - Rwanda au wenyeji wa huko wanaweza kunijulisha juu ya haya yafuatayo: Usafiri wa kuelekea huko kwa njia ya barabara (basi) kutokea Dar...
1 Reactions
33 Replies
10K Views
Any Tanzanian living in Solwezi Zambia let us meet here, To discuss business opportunity and challenges of living here. mtanzania anayeishi Solwez Zambia tukutane hapa tupeane fursa na...
0 Reactions
2 Replies
711 Views
Back
Top Bottom