Habari wakuu,, natumaini ni wazima wa afya njema,, kwa wenye matatzo Mungu awafanyie wepesi mpone tuendelee na harakati za kujikwamua kimaisha.
Naitwa Brown Job wazo langu kuhusu biashara ya...
Habari,
Mimi ni kijana mwenzenu mwenye ndoto ya kufanikiwa nakufika mbali kimaisha na kusaidia watu wasiojiweza,watoto yatima,mama wajane,wazee wasiojiweza.
Nimemaliza Chuo kikuu mwaka 2015,kwa...
Wadau heshima kwenu..
Kichwa cha habari hapo juu kinahusika kwa asilimia zote 100%
Wajuvi wa busness Nikiwa na mtaji wa Million 10 biashara gani naweza kuifanya nikiwa nchini Marekani?
Kijiji Kimoja Alikuja Mchina Akasema Anahitaji Paka (Cat/ Nyau)[emoji250],
Ananunua Mmoja Kwa Bei Ya 20,000/=, Basi
Wanakijiji Wanahaha Kusaka Paka[emoji250],
Wanawaleta, Mchina Ananunua Wote...
Habar wadau?
Mimi nina kqmpuni,nina ofisi kubwa ,nina vibali vya kufanya kazi za serikali kweny taasisi zake!
Wakati nafungua nilikuwa natafta wau nipate 10m kwa ajili ya biashara ya lending...
Naomba nifahamu changamoto na faida ya kufuga mbuzi kibiashara.
Maana leo nimetazama kwenye TV habari kwamba mbuzi wa elfu sabini ameuzwa lakj na sabini.
Hivyo nimetamani kufuga mbuzi kuanzia leo
Mimi si mtaalamu wa uchumi lakini naweza kusoma nyakati, kiukweli umma hauna pesa mifukoni hali ambayo kimsingi inatokana na utekelezaji wa serikali iliyopo madarakani (Maisha yamebana bhana)...
Wadau wengi nliopata kuzungumza nao walio fanikiwa kupitia mikopo walineleza kanuni moja ambayo waliitumia mpaka kufikia mafanikio waliyo nayo (nao waliipata jwa wataalamu wengine waliokwisha...
Hapa naongelea biashara zote ambazo zinakatazwa na Serikali kama vile bangi, madawa ya kulevya, biashara za watu n.k
Ukianza kufanya hizi biashara utakuwa tajiri sana.
Naombeni wenye ujuzi wa...
Tatizo la wabungo hili
Mbongo alieajiriwa ofisini, mwenye kipato cha shilingi laki tano au pungufu kwa mwezi anamdharau mtu aliejiajiri kuuza nyanya anaepata kipato cha mpaka millioni 2 kwa...
August 23, 2028
LONDON -- Aminex has provided the following update on its operations in Tanzania.
Ruvuma PSA
The tendering process for a rig to drill Chikumbi-1 (CH-1) is now complete and the...
Wakuu salaam.
Kuanzia mwezi February 2017 nilianza ufugaji wa kuku wa mayai, kwa fedha ndogo ya akiba niliyokua nayo na nilifanikiwa kuanza na kuku 300, kutokana na ugeni ktk eneo hili na hadi...
Ujenzi wa awamu ya kwanza wa reli ya kisasa (Standard Gorge) umefikia asilimia 16 na unatarajiwa kukamilika ndani ya miezi 30 ifikapo Novemba 2019.
Reli hiyo ya kisasa itakuwa ya treni yenye kasi...
Wakuu,anaandika Edo kumwembe
Hivi ile fashion ya vijana wa dar kwenda kulima vitunguu Ruaha imeishia wapi....
Acheni kuchezea kazi za watu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani Nina kreti 20 nahitaji kujiunganisha na coca-cola ili waniletee na niuze jumla... Je inawezekana vipi..! Msaada wapendwa..?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana JF.
Kwa yeyote ambaye ameshawahi kutembelea Kigali - Rwanda au wenyeji wa huko wanaweza kunijulisha juu ya haya yafuatayo:
Usafiri wa kuelekea huko kwa njia ya barabara (basi) kutokea Dar...
Any Tanzanian living in Solwezi Zambia let us meet here, To discuss business opportunity and challenges of living here.
mtanzania anayeishi Solwez Zambia tukutane hapa tupeane fursa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.