Wadau Kwema??,
Nilikua nawaza kuongeza gari ndogo home, Shemeji yenu atalitumia pia hata mimi inaweza kunisaidia pale hela ya wese ikigoma kupatikana kwenye gari ya sasa. Sasa katika kuzunguka...
Habari zenu wakuu, napenda kuwajulisha kwamba kama kuna mtu au kampuni inasumbuka kupata filter yeyote ile kwa ajili ya gari, generator, compressor, roller, excavator, crane, motor grader au...
Kama mwezi hivi au wiki 3, nikiweka gear ya reverse inachelewa kutembea (tofauti na nikiweka D-Drive), nikiongeza mafuta inaondoka kwa kushituka kwa nguvu. Nilipeleka kwa fundi wa 1 akasema...
Habari zenu wana Jamii wenzangu, i hope mko poa....
Kuna hili jambo huwa linanishangaza sana hasa katika hiz daladala zetu hapa Dar es salaam...utakuta Traffic Police anamsimamisha dereva wa...
Habari zenu wana Jf wa jukwaa hili ,
Awali ya yote ningependa kupongeza juhudi na jitihada za mwasisi wa Jf pamoja na uongozi kwa ujumla kwa kutuweka pamoja kwa mambo yenye tija kwetu sote...
Habari za asubuhi wakuu, nimeangalia taa za mbele za gari nyingi hususani toyota naona nyingi zinaukungu, nishawahi kwenda gereji moja wakaziosha ila ndani ya miezi 3 naona zinarudia ile hali.
Na...
Habari!!
Kuna machine nahitaji nitengeneze locally, hivyo basi naomba kwa ambaye mwenye karakana ya kuchomelea ya kisasa (maana machine yenyewe inahitaji vifaa vya kisasa) au kama una mfahamu...
Ninaomba kufahamu haya yafuata2001
1.Gari Toyota Prado engine 1kz 2001.
Ukiendesha km140 p/h inapandisha temperature ila ukizima aircon tempreture inashuka ila ukikimbia zaidi ya km 140 p/h...
Sina uzoefu sana na Magari hasa ya kisasa.
Ni hivi Jilani yangu anataka kuagiza gari Japani, sasa kulingana na tulivo zoeana amekuja hapa kuniomba ushauri. Ana kiasi cha TZS 8.5 hadi 10 M...
Habari wanajamiiforums!
Naomba ushauri nina gari aina ya Toyota Belta ambayo ina engine ya 2NZ-FE na ina CC 1297. Gari hii nimetembelea kilometa za kutosha na sasa naona imechoka sana ila bodi...
Kuna taa huwa inawaka kwenye raum new model inakuwa nyekundu ni triangle katikati ina alama ya mshangao. Watu wengi wamekuwa wanapigwa hela kwa mafundi huku wengine wakisema kuwa wana wapimia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.