JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ni aibu sana kitu unafanya kwa siri ghafla kikajulikana hadharani🙌. Upande wangu kama ambavyo ilivyo kwa watoto wengi hasa wa kike nilikatazwa kutumia simu mpaka nifike kidato cha nne,jambo ambalo...
11 Reactions
44 Replies
696 Views
John Sanga alikuwa ni mwanafunzi Mchoraji, Siku mwoja alichora Noti ya shilingi elfu kumi kwenye sakafu, Mwalimu alipo ingia Darasani ghafla akajikwaa na kupasuka pua.... Wakati alipo kuwa...
7 Reactions
4 Replies
244 Views
Mwamba hazeeki kabisa!
7 Reactions
29 Replies
487 Views
Tafakari ya babu na Swaleh Mdoe "Nikiangalia kopo langu la mkono, lasema ni saa moja na dakika takribani kumi na kenda." Tafakari ya babu... "Mtoto mmoja alianza kujipaka mate kichwani katika...
3 Reactions
4 Replies
237 Views
Hivi n mchezo upi uliupenda kucheza ukiwa mtoto.
1 Reactions
6 Replies
111 Views
Jamaa mmoja alikuwa akifika bar anaagiza bia tatu tofauti safari, castle na kilimanjaro kisha anatafata meza yenye viti vitatu anakaa nakunywa zile bia moja bada ya nyingine zote tatu nakuondoka...
23 Reactions
30 Replies
825 Views
Wengi wanaamini ukiwa na akili nyingi ndio utafanikiwa katika maisha, kitu ambacho si kweli; bali wenye akili nyingi wanawasaidia wengine kufanikiwa huku wao wakiishi kwenye maisha ya kawaida...
6 Reactions
11 Replies
324 Views
Alhamudulilah😂
0 Reactions
0 Replies
83 Views
Hivi inakuaje hawa wachina wanakuja huku kwetu huku hawajui hata lugha ya kiingereza wala kiswahili ambazo zinakutanisha watu wengi?
0 Reactions
3 Replies
167 Views
  • Poll Poll
Mimi kama raisi wa ma jobless pro max, nime ona niitishe kikao hiki cha dharura. Lengo la kuitisha kikao hiki ni kujua idadi ya ma jobless tusio na nyumba , maana humu jf kila niki zunguka kila...
23 Reactions
220 Replies
5K Views
Tunahitaji funguo nyingine za maisha, elimu sio ufunguo wa maisha tena !!
2 Reactions
2 Replies
109 Views
Wanajukwaa, hivi kuna kampuni ya bima ambayo naweza kukatia bima kiungo changu kimoja tu kama mambele uko Ulaya? Maana toka nimefika DSM kuna kiungo changu nakitumia hadi nakihurumia!
2 Reactions
5 Replies
162 Views
Kumbe nateseka tu hapa kumbe Nina ndugu za kiarabu, embu niwajue wanipe hata bilioni 20 pesa za mafuta nifungue biashara.
7 Reactions
8 Replies
243 Views
Mwamba baada ya Nzega kumnyoosha ameanza kuiboresha CV Kusaka ajira mpya HALMASHAURI ili angalau asikose kitu kila mwezi. TEUZI ndo basi tena. Asanteni Nzega
9 Reactions
75 Replies
4K Views
Ni binti mwenye umbo la pekee na sura ya kuvutia. Mrembo na mzuri wa aina Yake. Kaumbika toka kwenye unyayo hadi utosini. Her eye catching undisputed beauty makes heads turn. Despite her good...
10 Reactions
111 Replies
7K Views
Asubuhi na mapema nakutana na huu ujumbe. Naomba kuuliza kama usingesoma na kupata kibarua ulichonacho sasahivi ungekuwa wapi na unafanya nini? Au na wewe ungesema Bora ningesoma😌
8 Reactions
34 Replies
548 Views
Small pleasures - mambo gani yanatokea mara kwa mara na yanakufurahisha kwenye maisha ya kila siku? Acha nianze :) Kutoa bra na nguo za kubana bana baada ya kufika nyumbani
. Kuwa peke yangu...
20 Reactions
311 Replies
9K Views
Nipo hapa mjini nashangaa shangaa tu, sina uelekeo wowote ule, nahitaji kampani ya pisi inayojitambua yenye IQ kubwa. Awe ana uwezo wa kunywa na kumeza mapande ya nyama. Muhimu tu, tuweze kufurahi...
5 Reactions
23 Replies
220 Views
Ushawahi kufikiria kama kuna sehemu wanaume wanakaa kisha wanawake wanakuja kuwanunua? sio lazima iwe tz, nauliza hata globaly, hili suala lipo kweli?
6 Reactions
65 Replies
1K Views
Huwa sina tabia ya kujipost status, Facebook, au Instagram lakini ikitokea nimebahatisha picha moja kali siwezi kutulia nayo kwenye simu. Sasa wakuu naombeni caption kali ambayo ipo neutral na...
4 Reactions
7 Replies
170 Views
Back
Top Bottom