Differential Equations
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 204
- 200
Ndg zangu Amani ya bwana iwe nanyi, naomba niweke wazo langu na nia yangu ya muda mrefu inayochoma moyo wangu.
Nimekuwa nikiangalia kwa muda mrefu sana juu ya busara za Dada yetu maarufu kama MISS NATAFUTA Wa humu jf namna alivyo na hoja nzuri, anajitambua, mwenye mawazo mapana zaidi na mwenye uelewa Wa hali ya juu sana hivyo kuweza kunivutia mm na nimeamua rasmi kuanza urafiki Wa karibu na miss natafuta.
Kama ataona hii post naomba aje pm please au kama uko karibu nae naomba unisaidie kufikisha ujumbe wangu kwake.
Nakupenda sana miss natafuta.
Nimekuwa nikiangalia kwa muda mrefu sana juu ya busara za Dada yetu maarufu kama MISS NATAFUTA Wa humu jf namna alivyo na hoja nzuri, anajitambua, mwenye mawazo mapana zaidi na mwenye uelewa Wa hali ya juu sana hivyo kuweza kunivutia mm na nimeamua rasmi kuanza urafiki Wa karibu na miss natafuta.
Kama ataona hii post naomba aje pm please au kama uko karibu nae naomba unisaidie kufikisha ujumbe wangu kwake.
Nakupenda sana miss natafuta.