JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kuna watu huku ni member wanaogopa kusema na kushare ambitious zao wanajua wakifanya hivyo watakutana na ukosoaji mkubwa sana matokeo yake tuna kizazi cha watu waoga kupita maelezo 👉👉nashukuru...
21 Reactions
171 Replies
4K Views
Wakuu habari ya leo,. (Chit-chats and jokes) Leo em mniambie kwanza Kuna uhusiano gani kati ya hali ya hewa (baridi) na kula sana. kipindi cha baridi nakuwa njaa mda wote,. Yaani nakula kama...
9 Reactions
123 Replies
2K Views
Kwema wakuu baada ya kutumia pombe kwa kipindi cha miaka 11 tarehe 7.3.2025 nimeacha pombe Rasmi na pia nachagua Marafiki ambao hawanywi pombe bahati nzuri Mpenzi wangu Hanywi Pombe Nakushauri...
8 Reactions
51 Replies
2K Views
Babu zetu wangejua haya leo tusinge kuwa tunashindana na Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa kama babu zao walivyo wafanya baba zao kuzaa hao ID zao.
1 Reactions
4 Replies
330 Views
Yaani NI Raha ipost kitu WhatsApp halafu baada ya lisaa views 60 aisee halafu kiwe kitu Una proud of kama Mimi mwenzenu mwanangu alivyo mzuri na Baba yake mwema aisee kwenye hii point hunambii...
9 Reactions
65 Replies
2K Views
Wale wa mkoa wa Njombe,mbeya,Iringa Nipeni majina ya kibena kwa ajili ya mapacha. Haya ni baadhi ila si ya mapacha 1.Atupele 2.Atugavie 3.Alatuhiga 4.Alanzawe 5.Amsho 6.Tulazabihwa NB...
3 Reactions
36 Replies
944 Views
Kwanza ifahamike wanaume tunapata utulivu wa ubongo na burudani ya macho kupitia hawa wadada wenye maumbo mazuri. Ninaposema wadada wenye maumbo mazuri sihusishi sura, namaanisha kunzia shingo...
8 Reactions
49 Replies
2K Views
Kuanzia jana jioni nilianza kuona maruweruwe (halucinations) na muda mwingine nasikia watu wanatembea nikiwa nimekaa, ila nikigeuka siwaoni. Nikachukulia poa. Usiku nimekunywa maji ya moto yenye...
3 Reactions
17 Replies
903 Views
Baada ya kupata hela akaamua kwenda kulamba asali kwenye mzinga wa mtu na hali ikawa hivi
4 Reactions
15 Replies
753 Views
Habari ndugu zangu. Wale wapenz na members wangu wado penda kufatilia therd zangu sasa ivi nabanwa sana n mda ivyo sipo online uku mda mrefu masomo yanaendelea Kila siku na Kila mda.
3 Reactions
15 Replies
292 Views
Nani yuko macho muda huu Katika mazingira gani Ya furaha? Ya huzuni? Ya dharura? Ya sintofahamu Hospital au nyumbani? Gesti ama safarini? Peke yako ama...
4 Reactions
48 Replies
635 Views
Wiki ilikua ndefu hii, alhamdulillah imeisha, nimewamiss, njooni tuzogoe. Umeshawahi kushikwa na hamu ya kufanya kitu chochote mpaka ikabidi ubadili ratiba yako yote ili tu ukifanikishe...
9 Reactions
312 Replies
2K Views
Wadada wa JF mpo? Kwa hiyo huyo mhalifu mwenzako ameshakunulia Pashmina au utasubiri tu mwakani? Wifi yenu ataendelea tu kuvaa madera na vijora Binafsi napata ukakasi kumnunulia hayo mashuka...
5 Reactions
18 Replies
306 Views
"Kwaraha zetu peke zetu, na maprimitivu na maparalize" "Nimeshaongea na Elon Musk amesema atatupatia Internet bure" "Nimeshaongea na mkuu wa Satellite akasema atatusogezea satellite siku hiyo"...
3 Reactions
10 Replies
172 Views
Nini kimeondoa utaratibu wa wageni kuja nyumbani ?
5 Reactions
8 Replies
227 Views
Tupime macho wakuu, unaona paka wangapi kwenye picha?
3 Reactions
18 Replies
211 Views
Mvuta bangi mwanaume alivuta bangi akajiona uchi akadhani amevaa suti. akaenda kwa wenzake akawauliza suti imemtoa aje .mmoja wao akamjibu Poa sana ila tu tai umefungia chini sana
1 Reactions
3 Replies
153 Views
Ni aibu sana kitu unafanya kwa siri ghafla kikajulikana hadharani🙌. Upande wangu kama ambavyo ilivyo kwa watoto wengi hasa wa kike nilikatazwa kutumia simu mpaka nifike kidato cha nne,jambo ambalo...
11 Reactions
44 Replies
696 Views
Back
Top Bottom