Kuna watu huku ni member wanaogopa kusema na kushare ambitious zao wanajua wakifanya hivyo watakutana na ukosoaji mkubwa sana matokeo yake tuna kizazi cha watu waoga kupita maelezo 👉👉nashukuru...
Wakuu habari ya leo,.
(Chit-chats and jokes)
Leo em mniambie kwanza Kuna uhusiano gani kati ya hali ya hewa (baridi) na kula sana. kipindi cha baridi nakuwa njaa mda wote,. Yaani nakula kama...
Kwema wakuu baada ya kutumia pombe kwa kipindi cha miaka 11 tarehe 7.3.2025 nimeacha pombe Rasmi na pia nachagua Marafiki ambao hawanywi pombe bahati nzuri Mpenzi wangu Hanywi Pombe
Nakushauri...
Yaani NI Raha ipost kitu WhatsApp halafu baada ya lisaa views 60 aisee halafu kiwe kitu Una proud of kama Mimi mwenzenu mwanangu alivyo mzuri na Baba yake mwema aisee kwenye hii point hunambii...
Wale wa mkoa wa Njombe,mbeya,Iringa
Nipeni majina ya kibena kwa ajili ya mapacha.
Haya ni baadhi ila si ya mapacha
1.Atupele
2.Atugavie
3.Alatuhiga
4.Alanzawe
5.Amsho
6.Tulazabihwa
NB...
Kwanza ifahamike wanaume tunapata utulivu wa ubongo na burudani ya macho kupitia hawa wadada wenye maumbo mazuri.
Ninaposema wadada wenye maumbo mazuri sihusishi sura, namaanisha kunzia shingo...
Kuanzia jana jioni nilianza kuona maruweruwe (halucinations) na muda mwingine nasikia watu wanatembea nikiwa nimekaa, ila nikigeuka siwaoni. Nikachukulia poa. Usiku nimekunywa maji ya moto yenye...
Habari ndugu zangu.
Wale wapenz na members wangu wado penda kufatilia therd zangu sasa ivi nabanwa sana n mda ivyo sipo online uku mda mrefu masomo yanaendelea Kila siku na Kila mda.
Nani yuko macho muda huu
Katika mazingira gani
Ya furaha?
Ya huzuni?
Ya dharura?
Ya sintofahamu
Hospital au nyumbani?
Gesti ama safarini?
Peke yako ama...
Wiki ilikua ndefu hii, alhamdulillah imeisha, nimewamiss, njooni tuzogoe.
Umeshawahi kushikwa na hamu ya kufanya kitu chochote mpaka ikabidi ubadili ratiba yako yote ili tu ukifanikishe...
Wadada wa JF mpo?
Kwa hiyo huyo mhalifu mwenzako ameshakunulia Pashmina au utasubiri tu mwakani?
Wifi yenu ataendelea tu kuvaa madera na vijora
Binafsi napata ukakasi kumnunulia hayo mashuka...
"Kwaraha zetu peke zetu, na maprimitivu na maparalize"
"Nimeshaongea na Elon Musk amesema atatupatia Internet bure"
"Nimeshaongea na mkuu wa Satellite akasema atatusogezea satellite siku hiyo"...
Mvuta bangi mwanaume alivuta bangi akajiona uchi akadhani amevaa suti. akaenda kwa wenzake akawauliza suti imemtoa aje .mmoja wao akamjibu Poa sana ila tu tai umefungia chini sana
Ni aibu sana kitu unafanya kwa siri ghafla kikajulikana hadharani🙌. Upande wangu kama ambavyo ilivyo kwa watoto wengi hasa wa kike nilikatazwa kutumia simu mpaka nifike kidato cha nne,jambo ambalo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.