Tuanzishe mradi wa kuchimba mafuta

Tuanzishe mradi wa kuchimba mafuta

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
39,596
Reaction score
61,018
Jf ina wanachama wengi, nadhani hatuko pungufu ya laki 5; leo hii kila mwanachama tukiamua kujichangachanga laki laki, hatuwezi kweli kuanzisha mradi wetu wa kuchimba mafuta na kuwauzia nchi zingine tukawa tunagawana faida?​
 
Pesa itakayopatikana haitoshi hata kununua mtambo mmoja wa kisasa wa offshore drilling, sembuse kulipia leseni.!

JF tunaaminiana kwa ID fake. Nani atakuwa mweka hazina wa hizo pesa zote?

Kwa niaba ya members wote, naomba niwe muweka hazina, ahsante 🤝🏾
 
Jf ina wanachama wengi, nadhani hatuko pungufu ya laki 5; leo hii kila mwanachama tukiamua kujichangachanga laki laki, hatuwezi kweli kuanzisha mradi wetu wa kuchimba mafuta na kuwauzia nchi zingine tukawa tunagawana faida?​
Wazo zuri ila tatzo ni sehemu ya kuchimba. Yapo wapi hayo mafuta?
 
Mafuta inaweza kuwa ngumu kutokana na startup budget iko juu sana, ila madini mengine inawezekana kutokana geospatial and remote sensing technology, platforms kama Earth AI,KoBold etc ni cheaper and very fast katika mineral discovery and development, kama uko serious create a company, build a team, anza then uje utuuzie share if it’s worth it
 
Count me out of this. Bora hata ungesema tuombe yale mavi x ya ikulu tufanyie daladala/tax maana wao watakua wanatumia kibasi kimoja.
 
Pesa itakayopatikana haitoshi hata kununua mtambo mmoja wa kisasa wa offshore drilling, sembuse kulipia leseni.!

JF tunaaminiana kwa ID fake. Nani atakuwa mweka hazina wa hizo pesa zote?

Kwa niaba ya members wote, naomba niwe muweka hazina, ahsante 🤝🏾
Inatakiwa kama kiasi gani?
 
Mafuta inaweza kuwa ngumu kutokana na startup budget iko juu sana, ila madini mengine inawezekana kutokana geospatial and remote sensing technology, platforms kama Earth AI,KoBold etc ni cheaper and very fast katika mineral discovery and development, kama uko serious create a company, build a team, anza then uje utuuzie share if it’s worth it
Mafuta inahitaji kiasi gani
 
Back
Top Bottom