Mzee MWENYE gari aina ya land cruiser 70 hardtop lc78.
ALIKUWA mwanasheria nguli, alipiga hela sana MIAKA hiyo basi bhana ALIKUWA na tabia yake mbaya SIJUI nzuri.
Mzee ALIKUWA anang'oa viti...
Kuna namna wazazi wa kiswahili au uswahilini huwa na majibu yao ambaye mengine yanachekesha, kukera au walivurugwa zaidi hujibu bila kushirikisha ubongo yaani kutumia lugha nyeusi.
Mfano...
Akili nyingi ni kufanya kitu ambacho wengine wote wameshindwa kufanya, ila wewe ukaweza kufanya na kikaonekana. Iwe ni kwenye teknolojia, biashara, maamuzi magumu n.k...
Njoo tushare yale ambayo tumeamka tunajivunia na yanatupa furaha kwa siku ya leo.
Binafsi, leo kwenye safari yangu ya kupunguza uzito, rasmi nimeshuka chini ya 70kg, najivunia na nimefurahi sana...
Wakuu wakrislam wote nawasalimia Asalam haleluya 🫱🫲 nataka kuuliza hivi aliegundua asali alikuwa anawaza Nini.... Je kwa kabila mnaitaje,kwetu tunaiita.........
Watu wengi wakikuona wanakuchukulia kama uko mzembemzembe wakiona ngozi yako laini na haina kash kash au mikwaruzo n.k, kumbe hawajui mtu unaweza ukawa na ngozi laini lakni ukawa mtu mgumu kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.